Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata na mimi nimewaza hivyoMbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Halafu anajiita Wyatt Mathewson [emoji38] yule mchizi aliyemzingua Mahone kwenye PB akadakwa akajifanya mgumu alipewa mateso hakuwahi kuyapata na akatoa sorry kwa Pam (mke wa Mahone) fatilia nyuzi mbali mbali ambazo jamaa amechangia, kila mtu huwa anamshangaa.. nadhani hayupo sawa mentallyUna magonjwa ya akili wewe si bure!
Maana unafoka kila mahali!
Are you sure you are not crazy?
Hauokoti makopo kweli?
Heeeeeeh!Look at this motherfvcker
Kila anaeongea kwa ukali ni kichaa?
Wewe hapo juu umeongea kwa ukali towards me,hivyo na wewe ni kichaa?
Naongea kwa ukali towards stupid motherfvckers like you....I cant stand your level of stupidity aisee!
Na nikifoka,wewe inakuuma nini hasa?
Unajiekti wewe daktari wa kupima watu kwenye internet eeee?
Maajabu haya
He is bipolar.Halafu anajiita Wyatt Mathewson [emoji38] yule mchizi aliyemzingua Mahone kwenye PB akadakwa akajifanya mgumu alipewa mateso hakuwahi kuyapata na akatoa sorry kwa Pam (mke wa Mahone) fatilia nyuzi mbali mbali ambazo jamaa amechangia, kila mtu huwa anamshangaa.. nadhani hayupo sawa mentally
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Maisha hayana formula, turudie mara ngapi, unaweza ukafanya everything ‘right’ ila matokeo yakawa yanavyokuwa. Hakuna kanuni ya kihisabati
hutaki au wote 🔥🔥🔥Duuuh haahaa[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16] nachekaa japo sio mazuri[emoji848]
Ukiambiwa usome ulichokiandika utaweza ?HUO UPUMBAVU WAKEEE
WAAVHE WAFU WAZIKE WAFU WAO
UNAANDIKA IF NA LA MWANAMKE UMERIGWAA WEWE
HAJUI MKIACHANA UKITHIBITSHA VYAKO VINAUSHAHIDI UMEKWENDA KHA
MSIFANYE NIKAMWONGEZEE.SIRI MJANEE
Ajabu lakini Mkewe hajapost kifo cha mumewe katika page yake ya Instar yenye kuwakilisha ofisi za pale Ubungo.ukisoma mrejesho no 2 utaelewa chanzo cha kuhama.
Mke Mchagga?
Babu mwitore ule mchepuko wako unaendeleaje mlisha settle Mambo yenu.Du hii habari naiscreen shot,
You nailed it,
Kongole zako
[emoji3][emoji3]na huyo mke wa buberwa alikuwa mzuri banaNdiyo hapo ukienda kushoot hapo hapo una nasa
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Aliwahi elezea wakati fulani kwamba alisumbuliwa na kisukariMbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Jamaa yawezekana kweli Ni bipolar.Halafu anajiita Wyatt Mathewson [emoji38] yule mchizi aliyemzingua Mahone kwenye PB akadakwa akajifanya mgumu alipewa mateso hakuwahi kuyapata na akatoa sorry kwa Pam (mke wa Mahone) fatilia nyuzi mbali mbali ambazo jamaa amechangia, kila mtu huwa anamshangaa.. nadhani hayupo sawa mentally
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hahahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani my nigga?! [emoji34][emoji34]