Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kwa kweli nami nashangaa sana. Alikuwa mtu maarufu ndiyo leo nasikia kifo hiki. Wanaume muwe waangalifu katika hili kuna wanawake hawafuati mapenzi bali ni mali ni mbaya sana. Ni muhimum kuandika Mirathi. Kwa hili nawasifu sana dini ambayo ina utaratibu unaoeleweka. Maana wengine wanaona mali ni za mke na watoto tu hata Mama aliyye suffer kumsomehsa hapati kitu. Tunajidai kuwaiga wazungu ambao wenyewe wana majumba ya kuwatunza wazee wao. Maanda,ano yaanze ili kushughulikia hili suala la mirathi kuna watu ni majambazi!
 
Huo upande wa pili uta justfy kitu gani?! Mume anataabika mwenyewe , anadhulumiwa, kuna cha justfy hapo?! &
Hapo bosi tayari umesha jaji bila kusikiliza upande wa pili. Mpaka sasa tumesikia mume alitaabika na kudhulumiwa. Inasikitisha.

Watu walipendana wakaoana, tatizo lilianzaje? Hapo unaweza kuta marehemu naye ana yake yaliyosababisha haya. Usiangalie mwisho wa movie tu.
 
View attachment 1837507
View attachment 1837769

Wadau. Nafikiri mnamkumbuka huyu tatibu aliyekuwa maarufu Jijijini Dar Es salaam hasa miaka ya 2010 hadi 2017 .

Huyu mwamba amefariki dunia akiwa katika nyumba ya kulala wageni Jijijini Dodoma na tayari amezikwa Jijini Dar huku kukuiwa na utata wa familia ya mkewe aitwaye Riziki mwenyeji wa Kilimanjaro na ndugu wa marehemu. Mengine yatasemwa baadaye lakini tambua kuwa huyu mwamba amakwisha zikwa wiki mbili zimepita.

RIP DR Buberwa

Tazama video zake hapa.


Mrejesho no 1

Tukio lenyewe liko hivi.

Huyo Dr Buberwa aliingia msukosuko na mkewe huyo Riziki baada ya familia kuingilia kati juu ya mambo ya mali maana alikuwa na watoto 3 wa kike kwa huyo dada Riziki na mtoto mkubwa wa kiume mkubwa aliyekutwa wakati anaolewa.

Ilikuja kubainika kuwa huyo Dr buberwa mali zote ikiwemo maduka ya dawa, nyumba zote za Dar na huko kwao ukweni walikokuwa wamejenga zilkuwa kwa jina la mke huyo.

Tangu day one huyo mama anaolewa alikuwa na one mission ya mali na kumfilisi huyo dr.

Huyo mwanamke alikimbilia mahakamani kuonesha vielelezo baada ya ndugu kuchachamaa. Mahakama ilitoa hukumu na kuonesha Dr buberwa hakuwa na kitu chochote bali usajili wa kampuni ambaye naye huyo mama ana hisa ndani.

Hivyo Dr buberwa alifukuzwa hata kwa nyumba akaanza maisha mapya kupanga. Aliishi kwa msaada wa ndugu na akaanza kuzunguka mikoani kutoa huduma mbalimbali.

Alianza kubadili huduma ikiwemo kuuza bidhaa za ulinzi kama cctv camera nk pamoja na mambo ya unabii.

Baadaye alianza kuugua magonjwa mbalimbali hadi kukatwa mguu mmoja. sijui chanzo cha ugonjwa uliosababisha ukatwe ila inasemekana ni kansa.

Kutokana na kuangaika mikoa mbalimbali mauti yalimkuta akiwa guest dodoma ambapo haijulikani kama aliuawa,alijiua au alikufa kifo cha kawaida. wahudumu walikuja kushtukia mteja wao hafungui mwishowe ikabanika amekufa.

Sasa ndugu walipopata taarifa walimtafuta mkewe naye akasema anazo taarifa. Wakakubaliana kuwa kwa kuwa maiti iko dodoma basi wapitie maiti waipeleke Bukoba direct kuzika.

Dadake na marehemu aitwaye Jen na ndg wengine walianza safari kuelekea dodoma lakini walipofika wakaambiwa maiti imechukuliwa na mkewe kwenda Dar.

Mzozo ulianza lakini hawa ndg walipitiliza hadi Bukoba huku mke akisema ameipeleka kwake ili aagwe then watarudisha mwili bukoba.

Huyu dada alianza visa na visa na mwishowe akashirikiana na mdogo wake na marehemu wa kiume wakazika huko dar.

Kule Bukoba wakasubiri wapeleke udongo ( kulingana na taratibu za mila zao) pamoja na watoto lakini udongo ulitumwa lakini huyo mama na watoto hawakwenda.

Ilikuja kubainika kuwa hadi mauti yanamkuta marehemu alishakuwa maskini wa kutupwa na hata yule kijana mkubwa alikuwa anaishi kwa huyo riziki hana chochote kile kutoka kwa baba.

Hitimisho.
Tutumie tukio hili kuishi vema na wake zetu siyo kwa kuwa huyu alikuwa mchaga bali dunia ya tamaa za mali imeongezeka sana.

Asante
Inasikitisha sana,wanasema kosea vitu vyote lakini sio kukosea kuoa/kuolewa.It is a very touching story,anyway we learn through mistakes.Tamaa ya mali haijawahi kuleta amani kwenye maisha ya binadamu hata siku moja,na ukikuta mmoja wa wana ndoa anafikiria mali zaidi kuliko utu unatakiwa umuogope kama ukoma.....
 
Wrong again.

Kwanza nikurekebishe mtazamo wako kuhusu maisha. Maisha ni UTU kwanza mali ni jambo la nyakati na ni auxiliary element ya maisha. Ulichokisema hicho cha 'wealth is the only thing that can relatively make human life.........' hiyo ni biased perception ya maisha na ni matokeo ya bad experience za watu katika maisha.

Its okay kutafuta mali , kuwa na mali na kuzimiliki ila ikifika moment unaweka rehani utu wako na utu,furaha na uhai wa mwenzako ili kuvipata hivyo then wewe huna unalolijua kuhusu maisha na utakuja kuelewa umri ukishaenda.


Kuhusu kuolewa sidhani kama u have all the statistics kuhusu ndoa hapa Tanzania, so don't sell yourself cheap with those social media and social network arrogant cheap stories. Wachagga ni jamii tu kama jamii nyingine ya watanzania nothing magical about them to be the marriage trophies and 1st class citizens. Ukiongelea wanawake 1st class wife material nadhani kila mtu anajua habari ya jamii ya wabena, wahehe, wasukuma ambapo mwanamke amekunzwa kumuweka mume mbele kabla ya chochote ila hautasikia wanamajigambo mitandaoni.

So kuoa mwanamke wa kichagga inakuwa ni issue sababu ya hizi tabia za ubinafsi na ndio maana utaona watu huwa wanakuza sana mijadala kuwahusu.

But kama wanafamilia na watoto wa taifa moja hatuwezi waachia jamii ya wachagga wachafuke hivyo kwenye baya tutasema kwenye zuri tutasifia.....

Ila tabia mbaya iliyopo ni hiyo mwanamke kuhusudu pesa kabla ya utu. Na hii ndio upelekea mwanamke kufeki maisha yote akiwa anatafuta na mumewe ila wakishapata mwanamke anaanza ubinafsi na kuona yeye anastahiki kumiliki kila kitu kwa 100%. Huu ndio upopoma na undezi wa wanawake wa kichagga hata washkaji wa kule wengi hii kitu wameiona wanakimbia kuoa huko wanaoa wanawake wa jamii zingine.

So usiwe mzembe hadi unashindwa kuobserve mambo rahisi kiasi hicho. Mimi nimeishi sana wilayani Moshi na mkoani Arusha nimeona hizi tabia.

Ukimpelekesha mtoto wa mwenzako atafute pesa ambazo hata wewe baba yako na kaka zako na ukoo wako wote mkijumlishwa hamjawahi kuwa nazo ni ukatili wa kijinsia na ni roho ya tamaa.

Tafuta huku ukiridhika na kile kinachopatikana. Usisahau hivi vitu vyote tunaviacha hapa duniani. Sasa mimi niache kujichana, kula mikuku, kusafiri na kufanya kazi na biashara ninayopenda nikae kupelekeshwa na mwanamke eti kisa mchagga na anapenda hela. Kubabake hela akachukue walipomuwekea wazazi wake hapa atapata penzi na matunzo stahiki ya mke wa ndoa baaaasi.

Am out.
Du hii habari naiscreen shot,
You nailed it,
Kongole zako
 
riziki2.jpg


riziki3.jpg

Mrejesho no 2
Maelezo ya Bi Riziki Buberwa yako wazi wakati akiongea na wawakilishi wa ndugu wa marehemu kwamba walianza kutafuta mali wote na walifunga ndoa na kupata watoto watatu .

Anasema kuwa hawakujua awali kama mumewe ana mtoto mkubwa.

Kwamba baada ya kutokea kutoelewana baina yao aliamua kwenda mahakamani kutafuta haki yake kisheria na mahakama iligawa mali sawa kwa sawa. Hata ofisi ya huduma za kitabibu iligawanywa kila mmoja akabaki na ya kwake.

Hivyo kila mmoja alianzisha maisha yake huku wote wakiwa na jukumu la kulea watoto

Anasema miaka kadhaa baadaye alikuja kugundua kuwa mumewe huyo amefilisika na hajui zile mali zake alipeleka wapi au kufanyia nini maana hata mtoto wake mkubwa alikosa mwelekeo. Aliamua kumchukua na kukaa naye.

Anasema maisha ya mumewe waliyetengana bila kuvunja ndoa yalikuwa hayaeleweki na kila mmoja aliishi kivyake hadi hapo mauti ilipomkuta akiwa dodoma.

Anasema taratibu za kumzika alizifanya yeye akishirikiana na badhi ya ndugu wa marehemu hasa mdogo wake wa kiume,watoto wake wote wanne na yeye.

'Dr Buberwa hakuwa na mama wala baba ,amezikwa na mkewe,baadhi ya ndugu zake na watoto wake wote hata mwanamke aliyezaa naye huyo mtoto alikuwepo' sasa mtasemaje familia yake haikuhusika?. alijibu wakati akihojiwa .

Kuhusu kutopeleka msiba bukoba Riziki anasema kuwa kulitokea sintofahamu iliyotokana na maziko ya mumewe lakini kwa sasa anajinga kupeleka msiba na watoto huko Bukoba.

Alipoulizwa alipo yule mtoto wa kiume kwa sasa amesema kuwa amepelekwa Morogoro kwa mamake.

Kuwajua vema wapendao hawa waliotikiza na kuvunja historia ya harusi za kifahari Jijijini Dar. unaweza kutazama hapa chini


Husikose mrejesho no 3
 
Mwenye akili unaongopeshwa na Kingereza?

This is oxymoronic

Yaani Kingereza ni so scary to you namna hii?

Wewe muongea Kiswahili huna bullet proof ya kutokuongea utumbo?

Utumbo sio function ya langauge used,language ni tool ya kufikisha ujumbe,ujumbe kua bora au utumbo haina uhusiano na mediam ya kufikisha huo ujumbe ambayo ni language!

Kiswahili hakikufanyi bora zaidi ya yeyote,na Kingereza likewise,sema wewe una personal phobia na lugha ya Kingereza,which it is your own problem not ours!

Fvck outta here!
Una magonjwa ya akili wewe si bure!

Maana unafoka kila mahali!

Are you sure you are not crazy?

Hauokoti makopo kweli?
 
Back
Top Bottom