Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Mkuu usiwaogope wanawake wachaga…..ujue tu unasimamia wapi kuanzia mwanzo na utakuwa na uhakika watoto wako watasimama hata kama haupo… uchagani wanawake wamefundishwa kukimbiza kama umetokea kasa huko na spidi yako haiendani na yake lazima ukimbizwe Tu…. Bravo kwa dada zetu wa uchagani kimbiza tu watu wa kasa hao ila sasa msiwadedishe daaah…
Wanawake wa kichaga sio wa kuoa ni kuzalisha tu..ukiweka ndani kama mke siku zako za kuishi zinahesabika hasa ukiwa na mali..hata wanaume wenzao wa kichaga wanawakimbia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume tunafeli wapi,unaanzaje kuandika majina ya Mali kwa jina la mkeo!?,mke ni sawa na rafiki, anytime anaweza akavunja urafiki,na akakutupa Kama hakujui vile.kila siku wanasikia hivi visa still hawajifunzi .Swain!
 
Wrong again.

Kwanza nikurekebishe mtazamo wako kuhusu maisha. Maisha ni UTU kwanza mali ni jambo la nyakati na ni auxiliary element ya maisha. Ulichokisema hicho cha 'wealth is the only thing that can relatively make human life.........' hiyo ni biased perception ya maisha na ni matokeo ya bad experience za watu katika maisha.

Its okay kutafuta mali , kuwa na mali na kuzimiliki ila ikifika moment unaweka rehani utu wako na utu,furaha na uhai wa mwenzako ili kuvipata hivyo then wewe huna unalolijua kuhusu maisha na utakuja kuelewa umri ukishaenda.


Kuhusu kuolewa sidhani kama u have all the statistics kuhusu ndoa hapa Tanzania, so don't sell yourself cheap with those social media and social network arrogant cheap stories. Wachagga ni jamii tu kama jamii nyingine ya watanzania nothing magical about them to be the marriage trophies and 1st class citizens. Ukiongelea wanawake 1st class wife material nadhani kila mtu anajua habari ya jamii ya wabena, wahehe, wasukuma ambapo mwanamke amekunzwa kumuweka mume mbele kabla ya chochote ila hautasikia wanamajigambo mitandaoni.

So kuoa mwanamke wa kichagga inakuwa ni issue sababu ya hizi tabia za ubinafsi na ndio maana utaona watu huwa wanakuza sana mijadala kuwahusu.

But kama wanafamilia na watoto wa taifa moja hatuwezi waachia jamii ya wachagga wachafuke hivyo kwenye baya tutasema kwenye zuri tutasifia.....

Ila tabia mbaya iliyopo ni hiyo mwanamke kuhusudu pesa kabla ya utu. Na hii ndio upelekea mwanamke kufeki maisha yote akiwa anatafuta na mumewe ila wakishapata mwanamke anaanza ubinafsi na kuona yeye anastahiki kumiliki kila kitu kwa 100%. Huu ndio upopoma na undezi wa wanawake wa kichagga hata washkaji wa kule wengi hii kitu wameiona wanakimbia kuoa huko wanaoa wanawake wa jamii zingine.

So usiwe mzembe hadi unashindwa kuobserve mambo rahisi kiasi hicho. Mimi nimeishi sana wilayani Moshi na mkoani Arusha nimeona hizi tabia.

Ukimpelekesha mtoto wa mwenzako atafute pesa ambazo hata wewe baba yako na kaka zako na ukoo wako wote mkijumlishwa hamjawahi kuwa nazo ni ukatili wa kijinsia na ni roho ya tamaa.

Tafuta huku ukiridhika na kile kinachopatikana. Usisahau hivi vitu vyote tunaviacha hapa duniani. Sasa mimi niache kujichana, kula mikuku, kusafiri na kufanya kazi na biashara ninayopenda nikae kupelekeshwa na mwanamke eti kisa mchagga na anapenda hela. Kubabake hela akachukue walipomuwekea wazazi wake hapa atapata penzi na matunzo stahiki ya mke wa ndoa baaaasi.

Am out.
Comment yako iko poa sana. Very logical and retional.
 
Wanasema nature inatunzwa na nature.

Naweza kuwaita wababe wa NDOA, wanawake wa kichaga na hasa hasa wamachame, wameru, nk, hao wana tabia hiyo hasa kumuondoa binaadam mwanamme duniani kisa mali.

Hii ni asili yao na inapelekea wanaume flani not wanaogopa ila wanakimbia bila kugeuka kuoa kabila hizo.

Nimekuwa namsikia huyo Buberwa akijitangaza kupitia radio ila muda sasa sikuwahi kumsikia na kama ni hayo yaliyomkuta basi "dunia hadaa ulimwengu shujaa" wanaume hasa vijana mna la kujifunza sana hapo.


👉🏾*Bado naendelea kujifunza stadi za maisha ya binadamu'.
 
You are entitled to your own opinion mr dumbo!

Mimi boya,alright then,here's medal for you!

Nina akili zaidi yako wewe,thats my opinion,I'm entitled to it!

Usinielekeze jinsi ya kujibu watu maswali niliyoulizwa,ungeulizwa wewe ujibu unavyoona...stop this madness!
Mkuu huna akili zaidi yangu. Halafu kingereezaaa kingiiiii mwisho point unatoa utumbo [emoji38]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Uko sawa kabisa ata uyo mke wake uki mwangalia afya ina mgogoro!
Nilionana naye mwaka jana tu kusalimiana alionekana mgonjwa!
Mungu amlaze mahala pema
 
Kwahio Lissu alitumia kichupa hiko 😂😂😂
Mjini mipango. Nashangaa Graduate wanataka ajira Halmashauri. Bongo wajinga bado wengi mno. Hata ukiamua kupiga PROMO Basi luxury -VIP (feki) Dar -Arusha nauli 50,000/= utawapata wa kutosha.
 
Nonsense

Maana kwanini amuue wakati akibaki akafanya kazi muda mrefu bado hizo mali zitakua za huyo mwanamke regardless?

Mume afe au asife,hizo mali ultimately ni za huyo mwanamke,kumuua is counter productive!

Hawa wanataka mdhulumu huyo mwanamke inheritance,na kama ni Mmachame/Mchagga they should expect a godamn proper fight!
ukiangalia uyo mke wake tiari ana onekana mgonjwa jamaa atakuwa kamwachia na magonjwa nyemelezi pengine!
 
Mwenye akili unaongopeshwa na Kingereza?

This is oxymoronic

Yaani Kingereza ni so scary to you namna hii?

Wewe muongea Kiswahili huna bullet proof ya kutokuongea utumbo?

Utumbo sio function ya langauge used,language ni tool ya kufikisha ujumbe,ujumbe kua bora au utumbo haina uhusiano na mediam ya kufikisha huo ujumbe ambayo ni language!

Kiswahili hakikufanyi bora zaidi ya yeyote,na Kingereza likewise,sema wewe una personal phobia na lugha ya Kingereza,which it is your own problem not ours!

Fvck outta here!
Una shida fulani kichwani chief.. nguruwe ukipigana nae utachafuka tu bure, ngoja nikuache uchafuke peke yako.. points 3 zote zako chief.. [emoji111]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana na si wachagga wote wapo hivyo ila kweli ndugu hasa wa kiume wa wanawake wa kichagga wanawapotosha dada au mabinti zao!!!!!!
Kwani wanavyo wapotosha hawakumbuki kuwa na wao ni wanaume na wameoa au wataoa! Duu
 
Dr. Joseph K. Buberwa alikuwa Mgonjwa muda mrefu.

Ila pia kikubwa kinachosambaa ni kuwa Mkewe ambaye ni Mchaga amemuua kinamna ili arithi mali kwakuwa walikuwa na mgogoro

Mwanamke alikuwa anashirikiana na Kaka yake.

Hatuna uhakika kama ni tetesi au kweli.



View attachment 1837817
Duuh
Asante Mungu
 
Mkuu uko state gani ?!!

Mzee wa free world kama KIRANGA vile.....

Ninataka unifahamishe je ni experience zipi baadhi ya wadau hufuata mkondo wa free world wakiondoka bongo na kwenda kuishi "mbele" hususani US...kwani Kiranga alikuwa mtu wa dini sana kabla hajakuja huko.....

If you don't mind mkuu....

Peace
Kiranga
 
Back
Top Bottom