Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Sasa ulivyo wa hovyo unataka ulete subgroups ndan ya wachaga ...akili za kijinga sana hz ....Nature itabaki kuwa nature.....lisemwalo lipo

Ghaiiiiii
Siwezi kubishana na wewe mwenye akili za kikabila karne hii
Pathetic!!!!!!
Baki na werevu wako mkuu tuache uchagga na ujinga wetu
 
Ni Tanzania pekee ambapo mtu anaweza kutambua gonjwa/magonjwa yanayokusumbua kwa kukutazama tu!

Maoni yangu ni huru jombaa. Sio kila MTU anamacho anaona wewe tulia tuu. Uzoefu tuu ata huko unapo pawaza tushapita sana. Shukuru Mungu kuna Atlas unajua majina ya inchi. Sina mengi sana ila kuwa mpolee.
 
Ghaiiiiii
Siwezi kubishana na wewe mwenye akili za kikabila karne hii
Pathetic!!!!!!
Baki na werevu wako mkuu tuache uchagga na ujinga wetu
Aina yako ya utetezi ilitaka kutenga kundi flan la wachaga. ....we ujitoe ...umekosa uzalendo kwa wachaga

By the way me pia mchaga ..... Combination ya machame na marangu
 
Hao dada zake na ndugu wengine walitakaje kulazimisha kumzika mume wa Riziki
 
Mrejesho no 1

Tukio lenyewe liko hivi.

Huyo Dr Buberwa aliingia msukosuko na mkewe huyo Riziki baada ya familia kuingilia kati juu ya mambo ya mali maana alikuwa na watoto 3 wa kike kwa huyo dada Riziki na mtoto mkubwa wa kiume mkubwa aliyekutwa wakati anaolewa.

Ilikuja kubainika kuwa huyo Dr buberwa mali zote ikiwemo maduka ya dawa, nyumba zote za Dar na huko kwao ukweni walikokuwa wamejenga zilkuwa kwa jina la mke huyo.

Tangu day one huyo mama anaolewa alikuwa na one mission ya mali na kumfilisi huyo dr.

Huyo mwanamke alikimbilia mahakamani kuonesha vielelezo baada ya ndugu kuchachamaa. Mahakama ilitoa hukumu na kuonesha Dr buberwa hakuwa na kitu chochote bali usajili wa kampuni ambaye naye huyo mama ana hisa ndani.

Hivyo Dr buberwa alifukuzwa hata kwa nyumba akaanza maisha mapya kupanga. Aliishi kwa msaada wa ndugu na akaanza kuzunguka mikoani kutoa huduma mbalimbali.

Alianza kubadili huduma ikiwemo kuuza bidhaa za ulinzi kama cctv camera nk pamoja na mambo ya unabii.

Baadaye alianza kuugua magonjwa mbalimbali hadi kukatwa mguu mmoja. sijui chanzo cha ugonjwa uliosababisha ukatwe ila inasemekana ni kansa.

Kutokana na kuangaika mikoa mbalimbali mauti yalimkuta akiwa guest dodoma ambapo haijulikani kama aliuawa,alijiua au alikufa kifo cha kawaida. wahudumu walikuja kushtukia mteja wao hafungui mwishowe ikabanika amekufa.

Sasa ndugu walipopata taarifa walimtafuta mkewe naye akasema anazo taarifa. Wakakubaliana kuwa kwa kuwa maiti iko dodoma basi wapitie maiti waipeleke Bukoba direct kuzika.

Dadake na marehemu aitwaye Jen na ndg wengine walianza safari kuelekea dodoma lakini walipofika wakaambiwa maiti imechukuliwa na mkewe kwenda Dar.

Mzozo ulianza lakini hawa ndg walipitiliza hadi Bukoba huku mke akisema ameipeleka kwake ili aagwe then watarudisha mwili bukoba.

Huyu dada alianza visa na visa na mwishowe akashirikiana na mdogo wake na marehemu wa kiume wakazika huko dar.

Kule Bukoba wakasubiri wapeleke udongo ( kulingana na taratibu za mila zao) pamoja na watoto lakini udongo ulitumwa lakini huyo mama na watoto hawakwenda.

Ilikuja kubainika kuwa hadi mauti yanamkuta marehemu alishakuwa maskini wa kutupwa na hata yule kijana mkubwa alikuwa anaishi kwa huyo riziki hana chochote kile kutoka kwa baba.

Hitimisho.
Tutumie tukio hili kuishi vema na wake zetu siyo kwa kuwa huyu alikuwa mchaga bali dunia ya tamaa za mali imeongezeka sana.

Asante
Inasononesha mno!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Thats your problem and your rules not mine

Dont impose it on me,nimeweka response yangu hapo,haipo kwenye your frequencies then pita hivi

Mimi hivi,mimi that,nina allerge ya kelele,ninataka hivi mara vile,etc..thats on you my nigga!
Nani my nigga?! [emoji34][emoji34]
 
Mrejesho no 1

Tukio lenyewe liko hivi.

Huyo Dr Buberwa aliingia msukosuko na mkewe huyo Riziki baada ya familia kuingilia kati juu ya mambo ya mali maana alikuwa na watoto 3 wa kike kwa huyo dada Riziki na mtoto mkubwa wa kiume mkubwa aliyekutwa wakati anaolewa.

Ilikuja kubainika kuwa huyo Dr buberwa mali zote ikiwemo maduka ya dawa, nyumba zote za Dar na huko kwao ukweni walikokuwa wamejenga zilkuwa kwa jina la mke huyo.

Tangu day one huyo mama anaolewa alikuwa na one mission ya mali na kumfilisi huyo dr.

Huyo mwanamke alikimbilia mahakamani kuonesha vielelezo baada ya ndugu kuchachamaa. Mahakama ilitoa hukumu na kuonesha Dr buberwa hakuwa na kitu chochote bali usajili wa kampuni ambaye naye huyo mama ana hisa ndani.

Hivyo Dr buberwa alifukuzwa hata kwa nyumba akaanza maisha mapya kupanga. Aliishi kwa msaada wa ndugu na akaanza kuzunguka mikoani kutoa huduma mbalimbali.

Alianza kubadili huduma ikiwemo kuuza bidhaa za ulinzi kama cctv camera nk pamoja na mambo ya unabii.

Baadaye alianza kuugua magonjwa mbalimbali hadi kukatwa mguu mmoja. sijui chanzo cha ugonjwa uliosababisha ukatwe ila inasemekana ni kansa.

Kutokana na kuangaika mikoa mbalimbali mauti yalimkuta akiwa guest dodoma ambapo haijulikani kama aliuawa,alijiua au alikufa kifo cha kawaida. wahudumu walikuja kushtukia mteja wao hafungui mwishowe ikabanika amekufa.

Sasa ndugu walipopata taarifa walimtafuta mkewe naye akasema anazo taarifa. Wakakubaliana kuwa kwa kuwa maiti iko dodoma basi wapitie maiti waipeleke Bukoba direct kuzika.

Dadake na marehemu aitwaye Jen na ndg wengine walianza safari kuelekea dodoma lakini walipofika wakaambiwa maiti imechukuliwa na mkewe kwenda Dar.

Mzozo ulianza lakini hawa ndg walipitiliza hadi Bukoba huku mke akisema ameipeleka kwake ili aagwe then watarudisha mwili bukoba.

Huyu dada alianza visa na visa na mwishowe akashirikiana na mdogo wake na marehemu wa kiume wakazika huko dar.

Kule Bukoba wakasubiri wapeleke udongo ( kulingana na taratibu za mila zao) pamoja na watoto lakini udongo ulitumwa lakini huyo mama na watoto hawakwenda.

Ilikuja kubainika kuwa hadi mauti yanamkuta marehemu alishakuwa maskini wa kutupwa na hata yule kijana mkubwa alikuwa anaishi kwa huyo riziki hana chochote kile kutoka kwa baba.

Hitimisho.
Tutumie tukio hili kuishi vema na wake zetu siyo kwa kuwa huyu alikuwa mchaga bali dunia ya tamaa za mali imeongezeka sana.

Asante
Dah wanawake wa pande zile ni faken kabisa c
 
Wrong again.

Kwanza nikurekebishe mtazamo wako kuhusu maisha. Maisha ni UTU kwanza mali ni jambo la nyakati na ni auxiliary element ya maisha. Ulichokisema hicho cha 'wealth is the only thing that can relatively make human life.........' hiyo ni biased perception ya maisha na ni matokeo ya bad experience za watu katika maisha.

Its okay kutafuta mali , kuwa na mali na kuzimiliki ila ikifika moment unaweka rehani utu wako na utu,furaha na uhai wa mwenzako ili kuvipata hivyo then wewe huna unalolijua kuhusu maisha na utakuja kuelewa umri ukishaenda.


Kuhusu kuolewa sidhani kama u have all the statistics kuhusu ndoa hapa Tanzania, so don't sell yourself cheap with those social media and social network arrogant cheap stories. Wachagga ni jamii tu kama jamii nyingine ya watanzania nothing magical about them to be the marriage trophies and 1st class citizens. Ukiongelea wanawake 1st class wife material nadhani kila mtu anajua habari ya jamii ya wabena, wahehe, wasukuma ambapo mwanamke amekunzwa kumuweka mume mbele kabla ya chochote ila hautasikia wanamajigambo mitandaoni.

So kuoa mwanamke wa kichagga inakuwa ni issue sababu ya hizi tabia za ubinafsi na ndio maana utaona watu huwa wanakuza sana mijadala kuwahusu.

But kama wanafamilia na watoto wa taifa moja hatuwezi waachia jamii ya wachagga wachafuke hivyo kwenye baya tutasema kwenye zuri tutasifia.....

Ila tabia mbaya iliyopo ni hiyo mwanamke kuhusudu pesa kabla ya utu. Na hii ndio upelekea mwanamke kufeki maisha yote akiwa anatafuta na mumewe ila wakishapata mwanamke anaanza ubinafsi na kuona yeye anastahiki kumiliki kila kitu kwa 100%. Huu ndio upopoma na undezi wa wanawake wa kichagga hata washkaji wa kule wengi hii kitu wameiona wanakimbia kuoa huko wanaoa wanawake wa jamii zingine.

So usiwe mzembe hadi unashindwa kuobserve mambo rahisi kiasi hicho. Mimi nimeishi sana wilayani Moshi na mkoani Arusha nimeona hizi tabia.

Ukimpelekesha mtoto wa mwenzako atafute pesa ambazo hata wewe baba yako na kaka zako na ukoo wako wote mkijumlishwa hamjawahi kuwa nazo ni ukatili wa kijinsia na ni roho ya tamaa.

Tafuta huku ukiridhika na kile kinachopatikana. Usisahau hivi vitu vyote tunaviacha hapa duniani. Sasa mimi niache kujichana, kula mikuku, kusafiri na kufanya kazi na biashara ninayopenda nikae kupelekeshwa na mwanamke eti kisa mchagga na anapenda hela. Kubabake hela akachukue walipomuwekea wazazi wake hapa atapata penzi na matunzo stahiki ya mke wa ndoa baaaasi.

Am out.

UMEMALIZ... kweli huyo alokujibu mwanzo ni mchags kwao mali mbele kuliko utu
 
View attachment 1837507
View attachment 1837769

Wadau. Nafikiri mnamkumbuka huyu tatibu aliyekuwa maarufu Jijijini Dar Es salaam hasa miaka ya 2010 hadi 2017 .

Huyu mwamba amefariki dunia akiwa katika nyumba ya kulala wageni Jijijini Dodoma na tayari amezikwa Jijini Dar huku kukuiwa na utata wa familia ya mkewe aitwaye Riziki mwenyeji wa Kilimanjaro na ndugu wa marehemu. Mengine yatasemwa baadaye lakini tambua kuwa huyu mwamba amakwisha zikwa wiki mbili zimepita.

RIP DR Buberwa

Tazama video zake hapa.


Mrejesho no 1

Tukio lenyewe liko hivi.

Huyo Dr Buberwa aliingia msukosuko na mkewe huyo Riziki baada ya familia kuingilia kati juu ya mambo ya mali maana alikuwa na watoto 3 wa kike kwa huyo dada Riziki na mtoto mkubwa wa kiume mkubwa aliyekutwa wakati anaolewa.

Ilikuja kubainika kuwa huyo Dr buberwa mali zote ikiwemo maduka ya dawa, nyumba zote za Dar na huko kwao ukweni walikokuwa wamejenga zilkuwa kwa jina la mke huyo.

Tangu day one huyo mama anaolewa alikuwa na one mission ya mali na kumfilisi huyo dr.

Huyo mwanamke alikimbilia mahakamani kuonesha vielelezo baada ya ndugu kuchachamaa. Mahakama ilitoa hukumu na kuonesha Dr buberwa hakuwa na kitu chochote bali usajili wa kampuni ambaye naye huyo mama ana hisa ndani.

Hivyo Dr buberwa alifukuzwa hata kwa nyumba akaanza maisha mapya kupanga. Aliishi kwa msaada wa ndugu na akaanza kuzunguka mikoani kutoa huduma mbalimbali.

Alianza kubadili huduma ikiwemo kuuza bidhaa za ulinzi kama cctv camera nk pamoja na mambo ya unabii.

Baadaye alianza kuugua magonjwa mbalimbali hadi kukatwa mguu mmoja. sijui chanzo cha ugonjwa uliosababisha ukatwe ila inasemekana ni kansa.

Kutokana na kuangaika mikoa mbalimbali mauti yalimkuta akiwa guest dodoma ambapo haijulikani kama aliuawa,alijiua au alikufa kifo cha kawaida. wahudumu walikuja kushtukia mteja wao hafungui mwishowe ikabanika amekufa.

Sasa ndugu walipopata taarifa walimtafuta mkewe naye akasema anazo taarifa. Wakakubaliana kuwa kwa kuwa maiti iko dodoma basi wapitie maiti waipeleke Bukoba direct kuzika.

Dadake na marehemu aitwaye Jen na ndg wengine walianza safari kuelekea dodoma lakini walipofika wakaambiwa maiti imechukuliwa na mkewe kwenda Dar.

Mzozo ulianza lakini hawa ndg walipitiliza hadi Bukoba huku mke akisema ameipeleka kwake ili aagwe then watarudisha mwili bukoba.

Huyu dada alianza visa na visa na mwishowe akashirikiana na mdogo wake na marehemu wa kiume wakazika huko dar.

Kule Bukoba wakasubiri wapeleke udongo ( kulingana na taratibu za mila zao) pamoja na watoto lakini udongo ulitumwa lakini huyo mama na watoto hawakwenda.

Ilikuja kubainika kuwa hadi mauti yanamkuta marehemu alishakuwa maskini wa kutupwa na hata yule kijana mkubwa alikuwa anaishi kwa huyo riziki hana chochote kile kutoka kwa baba.

Hitimisho.
Tutumie tukio hili kuishi vema na wake zetu siyo kwa kuwa huyu alikuwa mchaga bali dunia ya tamaa za mali imeongezeka sana.

Asante
Mungu amrehemu. Nje ya mada, anadai alimpa dawa Tundu Lissu (sijui inaitwa Life) akawa anaitumia (toka 2014, sijui kama nimesikia vizuri) zikamzuia na mauti kupitia risasi. Nadhani yeye hakuwa anatumia hizo dawa. Kila nafsi na mwili vitaonja mauti (si roho)
 
Duh, mshikaji alikua anajiita Nabii kama Nabii Musa.

Alikua anatabiri mwisho wa Dunia mara nyingi tu.

Apumzike kwa amani.
Watu wangu wanaangamia kwa kikosa maarifa, inabidi ujitoe ufahamu kutumia bidhaa za huyu nabii
 
Mungu amrehemu. Nje ya mada, anadai alimpa dawa Tundu Lissu (sijui inaitwa Life) akawa anaitumia (toka 2014, sijui kama nimesikia vizuri) zikamzuia na mauti kupitia risasi. Nadhani yeye hakuwa anatumia hizo dawa. Kila nafsi na mwili vitaonja mauti (si roho)
Hoja imeungwa mkono
 
Wrong to who?

Ni wrong kikwako..

Utu ni mavi unayoyajua wewe...bebana nayo wewe mwenyewe!

Utu wako ni mali yako na ni none of other human's business!

Kama wanadamu kwa hiyari yake ameamua kukupa msaada akupe,ila usimlazimishe kwa lazima na maneno yenu ya hovyo ya "UTU" na sijui "MORALITY" which are so fake kwasababu yapo induced to you by the religion to start with.

Biased perception kivipi?Natoa perception yangu na sio yako,baised kutokana na kipimo kipi?Chako wewe?

Hizi hoja za fear ndio maana sisi watu wa free world hatuzitaki tena

Utu wangu haukuhusu,nikiiamua kujiumiza is it your business?

Nimeamua kwa utashi wangu kuharibu utu wangu,wewe ambae unao wako,unahusika vipi na umiliki wa utu wa mwanadamu mwingine?

Mali ni nini?Mali ni nyenzo za kunisaidia kuishi kwa comfortability as high as possible to sustain human life

Kwahiyo linapokuja suala la mimi kutafuta highest possible human comfortability for myself and my dependants I cant take in your nonsense!

Tayari msimamo wangu kuhusu mali ushauelewa,sasa tuache hilo turudi kwenye software part of human life:

Nachotaka ni free beings,as selfish as possible to sustain their happyness long term....

I can't kill you if I depend you to buy my products,I cant kill or harm anyone who is beneficial or not to me unless if you are threat or harmful to me!

Sitaki kufatana na moralities based on religion ambazo ni sacrificial in nature kwamba mimi nipo hapa duniani ku-benefit wanadamu wengine at my expense.

Mimi sio mali ya jamii,kwanza hakuna genge la watu linaloitwa jamii lenye kuleta uharamia wa ku-control maisha ya watu individually

Jamii ni abstract concept,duniani ni watu mmoja mmoja,na mali zinajengwa na mtu mmoja mmoja,majukumu ya kila siku yanayfanywa na mtu mmoja mmoja,hakuna cha "jamii" inafanya,hivyo kila mtu awe huru kwa matunda ya matendo yake na abebe adhabu ya mabaya matendo yake mwenyewe

Kafie huko na "umoja","jamii","utu","jamii inakudai",etc
Yaaani we boya umepigwa spana ya kiakili hapo juu badala uje ujibu kiakili unatapa tapa kurusha vijembe.. [emoji38]
 
Tunaowakwepa wake wakichaga siowajinga
Mkuu usiwaogope wanawake wachaga…..ujue tu unasimamia wapi kuanzia mwanzo na utakuwa na uhakika watoto wako watasimama hata kama haupo… uchagani wanawake wamefundishwa kukimbiza kama umetokea kasa huko na spidi yako haiendani na yake lazima ukimbizwe Tu…. Bravo kwa dada zetu wa uchagani kimbiza tu watu wa kasa hao ila sasa msiwadedishe daaah…
 
Back
Top Bottom