Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Una magonjwa ya akili wewe si bure!

Maana unafoka kila mahali!

Are you sure you are not crazy?

Hauokoti makopo kweli?
Halafu anajiita Wyatt Mathewson [emoji38] yule mchizi aliyemzingua Mahone kwenye PB akadakwa akajifanya mgumu alipewa mateso hakuwahi kuyapata na akatoa sorry kwa Pam (mke wa Mahone) fatilia nyuzi mbali mbali ambazo jamaa amechangia, kila mtu huwa anamshangaa.. nadhani hayupo sawa mentally

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Look at this motherfvcker

Kila anaeongea kwa ukali ni kichaa?

Wewe hapo juu umeongea kwa ukali towards me,hivyo na wewe ni kichaa?

Naongea kwa ukali towards stupid motherfvckers like you....I cant stand your level of stupidity aisee!

Na nikifoka,wewe inakuuma nini hasa?

Unajiekti wewe daktari wa kupima watu kwenye internet eeee?

Maajabu haya
Heeeeeeh!

Jamani wahusika wa mirembe njooni chukueni chizi lenu huku!

Limeiba smartphone!
 
Halafu anajiita Wyatt Mathewson [emoji38] yule mchizi aliyemzingua Mahone kwenye PB akadakwa akajifanya mgumu alipewa mateso hakuwahi kuyapata na akatoa sorry kwa Pam (mke wa Mahone) fatilia nyuzi mbali mbali ambazo jamaa amechangia, kila mtu huwa anamshangaa.. nadhani hayupo sawa mentally

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
He is bipolar.

Soon anaanza kuokota makopo huyu!
 
Maisha hayana formula, turudie mara ngapi, unaweza ukafanya everything ‘right’ ila matokeo yakawa yanavyokuwa. Hakuna kanuni ya kihisabati
 
Huyu jamaa sherehe yake ya harusi ilionyeshwa live TBC ikamponza Mkurugenzi Mshana akatumbuliwa.

Apumzike tu kwa amani.
 
HUO UPUMBAVU WAKEEE
WAAVHE WAFU WAZIKE WAFU WAO
UNAANDIKA IF NA LA MWANAMKE UMERIGWAA WEWE
HAJUI MKIACHANA UKITHIBITSHA VYAKO VINAUSHAHIDI UMEKWENDA KHA
MSIFANYE NIKAMWONGEZEE.SIRI MJANEE
Ukiambiwa usome ulichokiandika utaweza ?
 
Halafu anajiita Wyatt Mathewson [emoji38] yule mchizi aliyemzingua Mahone kwenye PB akadakwa akajifanya mgumu alipewa mateso hakuwahi kuyapata na akatoa sorry kwa Pam (mke wa Mahone) fatilia nyuzi mbali mbali ambazo jamaa amechangia, kila mtu huwa anamshangaa.. nadhani hayupo sawa mentally

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Jamaa yawezekana kweli Ni bipolar.

He has mental case.
 
Samson alimuua simba kiumbe anayesemekana ni hatari..
Na mwanamke alimsagia kunguni Samson..

Sasa umeshajua kiumbe hatari ni kipi..
 
Back
Top Bottom