Kifo cha Ulomi: Taarifa ya Polisi imezua maswali magumu na mabaya. Haya hapa baadhi...

Damu ya mtu ni ya kuiogopa sana,Soma Biblia kama story kuhusu Mungu akimwambia kaini!Damu ya ndugu Yako Abel inanililia.Kulilia kwangu ni muhisika pia kustahili ADHABu.Hii haikubaliki.
 
Ajali ikitokea siyo rahisi majeruhi kumkuta na kitu chochote mfukoni Kwa sababu ya uporajinna hilo ni jambo la kawaida

Ofisa wa tra baada ya kumkosa ulomi aliwasiliana na mkewe na kukubaliana zoezi husika lifanyike siku inayofuata

Kuhusu wasamaria wema Huwa wapo tu na siyo lazima wajitambulishe wanapomfikisha majeruhi hospital
 
Nchi hii
1. Ukiwa na mfanyabiashara tabu.
2. Ukiwa mwanaharakati tabu.
3. Ukiwa mwanasiasa wa upinzani tabu.
4. Ukiwa mkosoaji tabu.

Mtu pekee anayeishi kwa amani hapa Tanzania ni maskini aliye mpumbavu
Hata huyo "mpumbavu" hana nafuu anapo ingia kwenye maandamano ya CHADEMA kwa "upumbavu" wake.

Mtu mwenye nafuu pekee ni "chawa". Nionyeshe mahali popote chawa alipo bughudhiwa kwa uchawa wake!
 
Kamanda wa political Kanda Maalumu ajiusulu au aondolewe na mamlaka ya uteuzi kwa kutoa taatifa za uongo na isio na welding kwa Emma.
Afikishwe mahakamani kwa kuficha taarifa na kutoa taarifa za uongo kinyume na kiapo chake cha uteuzi
 
Kamanda wa political Kanda Maalumu ajiusulu au aondolewe na mamlaka ya uteuzi kwa kutoa taatifa za uongo na isio na welding kwa Emma.
Afikishwe mahakamani kwa kuficha taarifa na kutoa taarifa za uongo kinyume na kiapo chake cha uteuzi
what if hio mamlaka ya uteuzi ndio imemtuma?>
 
Usichokijua ni kwamba hata hao wasamaria wema wakishamgikisha mgonjwa hospital wanatakiwa kitoa taarifa polisi na Kuna hospital nyingine mgonjwa wa ajali hawamdhughulikii kabisa mpaka ipatikane PF3.
 
Kwani hawa Fa Fa Fa wanajitambua basi, wameandaa ripoti yenye maswali kuliko majibu.
 
Maskini Olomi!
RIP Mwamba, Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo akakulipie kisasi dhidi ya watesi wako.
maisha yao na uzao wao ukajae mateso, dhiki na taabu milele, damu yako ikawasumbue na kuwanyima usingizi milele. 😭 😭
 
Kazi ya kutoa mgonjwa hospitali ni ya polisi? Kwani wamekua ambulance? Maana mgonjwa akishakadhiwa hospitali ni jukumu la madaktari. Je wao walimsafirishaje? Manifest ya kumtoa ubungo external ipo wapi?
Mtiririko wa simu zake zote za mwisho ziwekwe hadharani tutapata majibu
 
Nchi hii
1. Ukiwa na mfanyabiashara tabu.
2. Ukiwa mwanaharakati tabu.
3. Ukiwa mwanasiasa wa upinzani tabu.
4. Ukiwa mkosoaji tabu.

Mtu pekee anayeishi kwa amani hapa Tanzania ni maskini aliye mpumbavu
Chawa kama mwijaku baba levo doto magari juma lokole: na chawa wengine wengi kama kina Lukas Mwashambwa, hoa ndio wanaoishi bila wasiwasi tz ya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…