Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Naijua mkuu na moja ya vitu vinavyoimarisha ndoa mojawapo ni hiyo ya kila mtu kuwa na chumba chake so ina create desire ya kupiga moto,sasa una mtoto mdogo mnalala naye wote kitanda kimoja r u serious? Mke ana mimba unalala naye kitanda kimoja ,really?

Familia zilizoendelea wana zaidi ya sitting room/living room moja ,wengi wanazo mbili , mbona kipindi cha uchumba anakuja tu unampa moto kisha anarudi kwao sasa ina tofauti gani na wakati mkiwa kwenye ndoa?
Nimekuelewa kuwa huna uzoefu wa ndoa kama Mapadre kila siku kutheorize kuhusu ndoa. Barikiwa na kwaheri
 
Nimekuelewa kuwa huna uzoefu wa ndoa kama Mapadre kila siku kutheorize kuhusu ndoa. Barikiwa na kwaheri
Sawa Mkuu tukubaliane katika kutokukubaliana ,kila mtu ana mtazmo wake hatuwezi wote kuwaza sawa! Na kila mtu aheshimu maamuzi ya mtu.
 
Ukute hajafanya kitu chochote huyo mama , Baba kafariki kwa wakati wake aliopangiwa na muumba wake, lakini daa jamani mfiwa ndiye anakuwa muuaji Mungu awasaidiye wanawake!
Kuna dada mmoja mumewe alifariki kwa ajali sasa mme alikuwa na uwezo uwezo ukilinganisha na ndugu zake. Yaani live wanadai amemroga ili arithi mali. Ukiangalia ndio kwanza walikuwa wanaanza maisha hata ujenzi hawajamaliza.

Tukabaki tunajiuliza hizo mali atakazorithi ni zipi? Waafrika bado tuna ujinga wa hali ya juu sana
 
Kuna dada mmoja mumewe alifariki kwa ajali sasa mme alikuwa na uwezo uwezo ukilinganisha na ndugu zake. Yaani live wanadai amemroga ili arithi mali. Ukiangalia ndio kwanza walikuwa wanaanza maisha hata ujenzi hawajamaliza.

Tukabaki tunajiuliza hizo mali atakazorithi ni zipi? Waafrika bado tuna ujinga wa hali ya juu sana
Tena ujinga wa hali juu kupita kiwango cha lami, yaani sijui nani alituroga waafrika
 
Back
Top Bottom