Nimekuelewa kuwa huna uzoefu wa ndoa kama Mapadre kila siku kutheorize kuhusu ndoa. Barikiwa na kwaheriNaijua mkuu na moja ya vitu vinavyoimarisha ndoa mojawapo ni hiyo ya kila mtu kuwa na chumba chake so ina create desire ya kupiga moto,sasa una mtoto mdogo mnalala naye wote kitanda kimoja r u serious? Mke ana mimba unalala naye kitanda kimoja ,really?
Familia zilizoendelea wana zaidi ya sitting room/living room moja ,wengi wanazo mbili , mbona kipindi cha uchumba anakuja tu unampa moto kisha anarudi kwao sasa ina tofauti gani na wakati mkiwa kwenye ndoa?
Sawa Mkuu tukubaliane katika kutokukubaliana ,kila mtu ana mtazmo wake hatuwezi wote kuwaza sawa! Na kila mtu aheshimu maamuzi ya mtu.Nimekuelewa kuwa huna uzoefu wa ndoa kama Mapadre kila siku kutheorize kuhusu ndoa. Barikiwa na kwaheri
Nimekuelewa kuwa huna uzoefu wa ndoa kama Mapadre kila siku kutheorize kuhusu ndoa. Barikiwa na kwaheri
au kavp pumeni zipigwe.Sawa Mkuu tukubaliane katika kutokukubaliana ,kila mtu ana mtazmo wake hatuwezi wote kuwaza sawa! Na kila mtu aheshimu maamuzi ya mtu.
Hata vyumba viwili ni sawa tu kwanini mlale kwa kubanana wakati kuna space ya kutosha
Kumbe ni aged kiasi Cha kustaafu? Halafu anapiga vikali! Kuzimika ni kawaida. RIP BWM.Marehemu amebakiza mwaka mmoja kustaafu, alikuwa anafanya kazi mwenge TRA wakamrudisha makao makuu kusubiri kustaafu
Kuna dada mmoja mumewe alifariki kwa ajali sasa mme alikuwa na uwezo uwezo ukilinganisha na ndugu zake. Yaani live wanadai amemroga ili arithi mali. Ukiangalia ndio kwanza walikuwa wanaanza maisha hata ujenzi hawajamaliza.Ukute hajafanya kitu chochote huyo mama , Baba kafariki kwa wakati wake aliopangiwa na muumba wake, lakini daa jamani mfiwa ndiye anakuwa muuaji Mungu awasaidiye wanawake!
Pale pale kwenye utataHuo utata uko wapi?
Acheni unazi, yule mkewe ni mgogo mwenzake!Kama jibu ni ndiyo...itakua mwanamke walimsema kwenye kikao Cha familia walivokutana kwao Moshi kua achangamke achukue chake mapema
Sawa mangi marealleAcheni unazi, yule mkewe ni mgogo mwenzake!
Hapa nikiwa kazini....
Duh, wrong question to a wrong person! Mie sijui KabisaHivi shanga huwa zinatakiwa zitulie kiunoni au zishuke Kama hivyo Am just kushangaa mambo ya dunia[emoji102]
Ongeza wasambaa na wapare ni noma.
Tena ujinga wa hali juu kupita kiwango cha lami, yaani sijui nani alituroga waafrikaKuna dada mmoja mumewe alifariki kwa ajali sasa mme alikuwa na uwezo uwezo ukilinganisha na ndugu zake. Yaani live wanadai amemroga ili arithi mali. Ukiangalia ndio kwanza walikuwa wanaanza maisha hata ujenzi hawajamaliza.
Tukabaki tunajiuliza hizo mali atakazorithi ni zipi? Waafrika bado tuna ujinga wa hali ya juu sana