Kifo hakipangwi na Mungu

Kifo hakipangwi na Mungu

Hiyo miaka 70 wewe umeitoa wapi? Kwa nini siyo 90 au 100?

Au na wewe umekuja na TIMELY MESSAGE FROM HEAVEN kama Kibwetele?

Kama na wewe huna ushahidi basi unapaswa upuuzwe tu maana huna tofauti na hao unaowakosoa.

Hizi siyo zama za kuaminishana.
 
Mungu anakitabu na anapanga na kupangua baya na zuri.
 
mauti yanaletwa na mtu na uzima unaletwa na mtu, Mungu si muuaji bali ni muumbaji..
 
Kanuni za asili haziwezi kubadilishwa na chochote. Nafurahi kusikia watu wanaona Mungu sio muweza wa yote.Tukiondoa nadharia hii vichwani basi tutatatua matatizo mengi ila tukiendelea kungoja huruma za mungu tutahangaika maishani
 
Siku zako hakika sizifahamu mkuu,hata zangu pia.

Ile ningekuwa maarufu ungezisikia kama na zako zingekuwa hazijafika.
 
Mtanisamehe wadau,hiyo post ya juu nilitaka kuattach post ya mtu ila nikachemsha.
 
Nimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba.

Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.

Mungu hana kitabu ameandika aina ya kifo cha mtu chini ya miaka 70. Watu wanakufa kutokana na aina ya maisha wanayo ishi, mazingira wanayoishi na imani za kishetani.
Yes hakuna kifo kinachopagwa na Mungu hata uwe na miaka zaidi ya 70
Wala sijawahi kupata sababu za kuridhisha ya kwanini mtu akifa wanasema kazi ya Mungu haina makosa.
 
Kanuni za asili haziwezi kubadilishwa na chochote. Nafurahi kusikia watu wanaona Mungu sio muweza wa yote.Tukiondoa nadharia hii vichwani basi tutatatua matatizo mengi ila tukiendelea kungoja huruma za mungu tutahangaika maishani
Watu wameanza kuelimika sasa
 
Huenda akawa apangi yeye lkn kakiumba yeye...!
 
So They say every thing happens is GOD engineering...

So hata lifestyle ni God Engineering...
 
Yes hakuna kifo kinachopagwa na Mungu hata uwe na miaka zaidi ya 70
Wala sijawahi kupata sababu za kuridhisha ya kwanini mtu akifa wanasema kazi ya Mungu haina makosa.
duh cha yesu kilipangwa na nani..? na shetani ama..
 
duh cha yesu kilipangwa na nani..? na shetani ama..
Mi nnachojua ni kuwa kifo ni law of Nature sasa mambo ya kuniorodheshea mtu mmoja mmoja nayo[emoji134] [emoji134]
 
Aliesababisha kifo kwa mwanadam ni shetani na mtawala wa dunia kwa sasa ni shetani baada ya kufukuzwa mbinguni naamini kuwa anuwezo wa kuua.Mungu alimwambia mjaribu lakini usiguse maisha yake (Ayubu)
 
So They say every thing happens is GOD engineering...

So hata lifestyle ni God Engineering...

God did not preplanned your future or Lifestyle
But he knew it before your existence

That's why we have freewill
Don't get it twisted!
 
Kama Mungu ni muasisi Wa maisha yetu,
Sioni ugumu kuamini kila kitu maishani, pamoja na kifo ni kazi yake,

Huku kuchambua matendo ya Mungu ni kumlimit Mungu aliye mwazilishi na mkamilishaji mwendo wetu hapa duniani.

Uzima na kifo yote kazi ya Bwana.
 
Ni upuuzi uliopikwa na waliopanga kuzitawala akili na nyoyo za watu kupitia upuuzi uitwao dini.
 
Aliesababisha kifo kwa mwanadam ni shetani na mtawala wa dunia kwa sasa ni shetani baada ya kufukuzwa mbinguni naamini kuwa anuwezo wa kuua.Mungu alimwambia mjaribu lakini usiguse maisha yake (Ayubu)
Kama shetani anaweza kuua watu basi hakuna sababu ya uwepo wa mungu.yaani mungu na miguvu yake ashindwe na kidubwana kishetani.niungane na wasioamini uwepo wa mungu.
 
Nimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba.

Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.

Mungu hana kitabu ameandika aina ya kifo cha mtu chini ya miaka 70. Watu wanakufa kutokana na aina ya maisha wanayo ishi, mazingira wanayoishi na imani za kishetani.
Mungu hapangi kifo kwa sababu hayupo.

Kama yupo naomba kuthibitishiwa.
 
Back
Top Bottom