Kifo hakipangwi na Mungu

Kifo hakipangwi na Mungu

Mkuu kiranga naamini hata nikijibu maswali yako in details bado swali lako litabaki kuwa pale pale unajuaje! na haitaishia hapo. kila jibu litakuwa na swali hivyo tunaweza tusimalize leo. Mimi naona tukubaliane au kutokubaliana kuwa Mungu yupo. Kama wewe unalojibu la unajuaje nijuze ningependa kujua.
Swali la unajuaje, kama kweli mungu yupo, na wewe una mjua kikweli, halikosi jibu muafaka.

Ukweli kwamba umeshindwa kulijibu unaonyesha ama hayupo, au humjui.

Inawezekana kabisa humjui kwa sababu hayupo.
 
Mungu hapangi kifo kwa sababu hayupo.

Kama yupo naomba kuthibitishiwa.
Mi naona ingekuwa rahisi kama ungekuja na sababu ambazo zilikuwa zinakufanya uamini mungu wakati huo ili uzichambuwe hapa kwa kuonesha kuwa hizo sababu hazifanyi kuwe na uwepo wa mungu.



Maana hiyo njia yako ya siku zote ya kudai uthibitisho tu huishia kupata sifa kwa atheists wenzio kwa kuonekana mbishi bora,lakini bado njia yako hiyo haimfanyi mtu aseme nae hakuna mungu,maana haujaweza kupangua yenye kumfanya aamini kuwa kuna uwepo wa mungu.
 
Mi naona ingekuwa rahisi kama ungekuja na sababu ambazo zilikuwa zinakufanya uamini mungu wakati huo ili uzichambuwe hapa kwa kuonesha kuwa hizo sababu hazifanyi kuwe na uwepo wa mungu.



Maana hiyo njia yako ya siku zote ya kudai uthibitisho tu huishia kupata sifa kwa atheists wenzio kwa kuonekana mbishi bora,lakini bado njia yako hiyo haimfanyi mtu aseme nae hakuna mungu,maana haujaweza kupangua yenye kumfanya aamini kuwa kuna uwepo wa mungu.
Kuwepo kwa mungu hakujaweza kupita mtihani wa logical consistency.

Ukiwa mtoto, ni rahisi kuamini mungu, father Christmas, Santa Claus na vinyamkera vingine vingi. Kwa sababu akili inakuwa bado haijakua.

Ukikua, unatakiwa kuanza kuhoji habari za uwepo wa mungu kwa kuziweka katika mitihani ya logical consiatency.

Na mungu wenu anashindwa logical consistency.

Hayupo consistent. Anajipinga mwenyewe, kwa namna ambayo inaonyesha ni hadithi tu, hayupo kiukweli.
 
Naunga mkono 100%, me naamini MUNGU alisema tu kila chenye uhai lazima kife au kila nafsi itaonja umauti, full stop, vingine ziada ni kama ambavyo kuna utajiri na umasikini, pepo na moto na akatuelekeza jinsi ya kuvipata kisha akatuacha tuchague
Hii inaitwa free will ndio system Mungu aliyoitumia kuumba ulimwengu!
 
Swali la unajuaje, kama kweli mungu yupo, na wewe una mjua kikweli, halikosi jibu muafaka.

Ukweli kwamba umeshindwa kulijibu unaonyesha ama hayupo, au humjui.

Inawezekana kabisa humjui kwa sababu hayupo.
Kuwepo kwa mungu hakujaweza kupita mtihani wa logical consistency.

Ukiwa mtoto, ni rahisi kuamini mungu, father Christmas, Santa Claus na vinyamkera vingine vingi. Kwa sababu akili inakuwa bado haijakua.

Ukikua, unatakiwa kuanza kuhoji habari za uwepo wa mungu kwa kuziweka katika mitihani ya logical consiatency.

Na mungu wenu anashindwa logical consistency.

Hayupo consistent. Anajipinga mwenyewe, kwa namna ambayo inaonyesha ni hadithi tu, hayupo kiukweli.
Kwa nini unasumbuka kutafuta logical consistency ya "kitu" ambacho hakipo.

Wewe abudu tu katika ambavyo vina logical consistency, kama nature ina logical consistency abudu nature au kama laws zinazoongoza nature yenyewe zina consistency ziabudu hizo, kama wewe mwenyewe una logical consistency jiabudu mwenyewe, au wewe mwenyewe pia hupo au huajiamini kuwa upo?

Akili yako imekuwa sasa?
Kama ulipokuwa mtoto uliamini Mungu au Santa na sasa akili yako imekuwa na umebaini hakuna Mungu wala Santa, kuna/upo wewe, udongo, maji, miti, gari, pc, tv,kioo mbege na kitimoto jichagulie mungu wako katika hivyo na malizia muda wako kwa salama, amani na utulivu kama Watanzania. Karibuni utarudi huko ulikotoka, au umesahau kuwa miaka michache nyuma haukuwa ukijitambua,baadae ukaja(ukaletwa),ukakua kidogo kidogo mpaka umejitambua na utaondoka ukiwa unajitambua na story itakuwa imekwisha. Au story itaendelea?
Nature na laws zinazoongoza nature utaziacha au zitakuacha huku zikiendelea na consistency yake.

Kula maraha ndugu, muda wako unamalizika kwa kasi.

Link The Noble Qur'an - القرآن الكريم
 
Kwa nini unasumbuka kutafuta logical consistency ya "kitu" ambacho hakipo.

Wewe abudu tu katika ambavyo vina logical consistency, kama nature ina logical consistency abudu nature au kama laws zinazoongoza nature yenyewe zina consistency ziabudu hizo, kama wewe mwenyewe una logical consistency jiabudu mwenyewe, au wewe mwenyewe pia hupo au huajiamini kuwa upo?

Akili yako imekuwa sasa?
Kama ulipokuwa mtoto uliamini Mungu au Santa na sasa akili yako imekuwa na umebaini hakuna Mungu wala Santa, kuna/upo wewe, udongo, maji, miti, gari, pc, tv,kioo mbege na kitimoto jichagulie mungu wako katika hivyo na malizia muda wako kwa salama, amani na utulivu kama Watanzania. Karibuni utarudi huko ulikotoka, au umesahau kuwa miaka michache nyuma haukuwa ukijitambua,baadae ukaja(ukaletwa),ukakua kidogo kidogo mpaka umejitambua na utaondoka ukiwa unajitambua na story itakuwa imekwisha. Au story itaendelea?
Nature na laws zinazoongoza nature utaziacha au zitakuacha huku zikiendelea na consistency yake.

Kula maraha ndugu, muda wako unamalizika kwa kasi.

Link The Noble Qur'an - القرآن الكريم
Natafuta logical consistency ya huyo mungu kwa sababu unasema yupo wakati mimi naona hayupo.

Umeweza kuthibitisha kwamba yupo?

Sijaomba mahubiri, nimeomba uthibitisho.
 
Natafuta logical consistency ya huyo mungu kwa sababu unasema yupo wakati mimi naona hayupo.

Umeweza kuthibitisha kwamba yupo?

Sijaomba mahubiri, nimeomba uthibitisho.
Unaona?
Kwani Mungu anaonekana?
 
Logically speaking.

But you wouldn't know anything about that.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Nimekuzoea bandugu...kiswahili kimekupiga chenga baada ya kujishitukia.

Usitafute "kitu " ambacho una uhakika hakipo.Utajipunguzia furaha.

Kama huna uhakika endelea kukitafuta "kitu" hiko/hicho

Ulikuja peke na utaondoka peke.

Link Embryology and human creation between Quran and science

Link Miracles of the Qur'an - Modern Science Reveals New Miracles of the Qur'an

Ukipenda abudu logic yako. au abudu "speaking" yako.
 
Nimekuzoea bandugu...kiswahili kimekupiga chenga baada ya kujishitukia.

Usitafute "kitu " ambacho una uhakika hakipo.Utajipunguzia furaha.

Kama huna uhakika endelea kukitafuta "kitu" hiko/hicho

Ulikuja peke na utaondoka peke.

Link Embryology and human creation between Quran and science

Link Miracles of the Qur'an - Modern Science Reveals New Miracles of the Qur'an

Ukipenda abudu logic yako. au abudu "speaking" yako.
Hata wewe unaabudu logiv, kama usingeabudu logic usingenipa hizo link.

Ambazo hazijathibitisha uwepo wa mungu.
 
Hata wewe unaabudu logiv, kama usingeabudu logic usingenipa hizo link.

Ambazo hazijathibitisha uwepo wa mungu.
Heee!
Kiswahili kimerudi.
Tokea lini link inathibitisha uwepo wa Mungu?
Ni Yaliyomo kwenye link kama utayasoma, kuzingatia na kutafakari ndio utajithibitishia mwenyewe uwepo wa Mungu.
Link PROVING THE EXISTENCE OF ALLAH TO AN ATHEIST

Kwa nini suala la uwepo wa Mungu au kutokuwepo linakusumbua? Unakosa furaha katika maisha yako?
Uzee umepiga hodi na kubaini huna muda wa kutosha wa kuvinjari? Nini unakikosa ndugu katika maisha yako?
Au maisha yako na uwepo wako vimekosa logical consistency?
 
Kama mungu angekuwepo, asingeruhusu vitabu vinavyosemwa kuwa ni vyake vyake viwe na inconsistencies.

Hizo video wapi zinathibitisha uwepo wa mungu?
Swali ulilouliza logically linathibitisha kuwa hukuisikiliza na kuiangalia.

Wewe upo na una inconsistencies kibao, je kwa inconsistencies unazozionesha(zinaonekana kwako) zinathibithisha kuwa wewe hupo?
Kiranga ,mungu ya kinyarwanda unaleta utani au?
 
Heee!
Kiswahili kimerudi.
Tokea lini link inathibitisha uwepo wa Mungu?
Ni Yaliyomo kwenye link kama utayasoma, kuzingatia na kutafakari ndio utajithibitishia mwenyewe uwepo wa Mungu.
Link PROVING THE EXISTENCE OF ALLAH TO AN ATHEIST

Kwa nini suala la uwepo wa Mungu au kutokuwepo linakusumbua? Unakosa furaha katika maisha yako?
Uzee umepiga hodi na kubaini huna muda wa kutosha wa kuvinjari? Nini unakikosa ndugu katika maisha yako?
Au maisha yako na uwepo wako vimekosa logical consistency?
Una hakika na hayo ukiyoandika au unaamini tu kama unavyoamini kuwapo kwa mungu?
 
Swali ulilouliza logically linathibitisha kuwa hukuisikiliza na kuiangalia.

Wewe upo na una inconsistencies kibao, je kwa inconsistencies unazozionesha(zinaonekana kwako) zinathibithisha kuwa wewe hupo?
Kiranga ,mungu ya kinyarwanda unaleta utani au?
Kaa nini swali nililouliza logically linathibitisha sikusikiliza au kuangalia?

Wewe umesikiliza au kuangalia?

Unaweza kuelezea kwa maneno yako?

Unanifananisha mimi na mungu wako kwa kunitaka nisiwe na inconsistencies ili niwepo, mimi ni mungu wako? Niliwahi kusema kwamba mimi ni mungu wako?

Unajua kanuni za kufananisha? Itafananishaje binadamu na mungu?

Siwezi kushangaa kwa kutumia akili hizi unaamini kuwapo kwa mungu asiyekuwapo.
 
..

Unajua kanuni za kufananisha? Itafananishaje binadamu na mungu?

Siwezi kushangaa kwa kutumia akili hizi unaamini kuwapo kwa mungu asiyekuwapo.
Kwako wewe mungu ni nini?
Kwa nini huwezi kufananisha binadamu na mungu?
mungu yupi asiyekuwepo?
 
Kwako wewe mungu ni nini?
Kwa nini huwezi kufananisha binadamu na mungu?
mungu yupi asiyekuwepo?
Mungu kwenye vitabu vyenu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Utamfananishaje na mtu ambaye hana uwezo wote, ujuzi wote wala upendo wote?
 
Back
Top Bottom