Kifo hakipangwi na Mungu

Kifo hakipangwi na Mungu

kiranga! sasa tufanye hivi niruhusu nikuombee upate matatizo makubwa wewe na familia yako, Hapo utathibitisha mwenyewe kuwa Mungu yupo au hayupo. Je unaniruhusu?

Go ahead.

Even better. Niombeee nife kesho. Nisije JF kujibu hii thread. Ili kuwepo na uwezo wa wote kuthibitisha.

Unaweza kufanya hivyo ili kuthibitisha uwepo wa mungu?
 
kiranga! sasa tufanye hivi niruhusu nikuombee upate matatizo makubwa wewe na familia yako, Hapo utathibitisha mwenyewe kuwa Mungu yupo au hayupo. Je unaniruhusu?
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji38]
 
Yafanyayo watu kuamini uwepo wa mungu kama yapi?
Mie nikijibu hilo swali tutaanza kubishana na lengo langu siyo hilo,maadamu kwamba wewe uliweza kuhoji hili suala la mungu pindi ulipokuwa basi ni wazi hata hayo mambo yenyewe kufanya watu waamini kuwepo kwa mungu ulikutana nayo na ukaona kuwa hayana uhusiano na kuwepo kwa mungu.
 
Go ahead.

Even better. Niombeee nife kesho. Nisije JF kujibu hii thread. Ili kuwepo na uwezo wa wote kuthibitisha.

Unaweza kufanya hivyo ili kuthibitisha uwepo wa mungu?

Sawa nitakuombea ili wewe mwenyewe uthibitishe uwepo wa Mungu katika maisha yako.
 
kiranga! sasa tufanye hivi niruhusu nikuombee upate matatizo makubwa wewe na familia yako, Hapo utathibitisha mwenyewe kuwa Mungu yupo au hayupo. Je unaniruhusu?
SIFA ZA MUNGU WENU.

1) ni muumbaji wa kila kitu.

2) ni muweza wa kila kitu.

3) ana upendo mkuu /yaani ana upendo kupita chochote ukijuacho na usichokijua.

4) yeye huujua mwisho kabla ya mwanzo na mwanzo kabla ya mwisho.

5) hujua njia zetu zote hata kabla ya kutuumba, au kabla ya kuzaliwa

6) yeye ni mungu mpangaji wa kila kitu!
7) ametupa uhuru wa kuchagua ilihali alitujua pamoja na njia zetu hata kabla ya kuwepo kwetu, na bado ataenda kutuhukumu kwa haya tuyatendayo ambayo yeye ndio alieyaweka ndani yetu [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Yapo mengi yasiyoeleweka kuhusu huyu mungu wenu wa kufikirika.

Je! Sifa za huyo mungu wako zunaruhusu umuombee kiranga mabaya? Bila shaka wewe na huyo mungu wako mnajitekenya alafu mnacheka [emoji4]
Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote, aliyejua mambo yote kumhusu kiranga kabla hata ya kiranga kuzaliwa, pia kisabanishi cha kiranga kuwepo, haimpasi kutenda hayo unayosema wewe.
 
Sawa nitakuombea ili wewe mwenyewe uthibitishe uwepo wa Mungu katika maisha yako.
Mkuu mimi naomba uniombee kwa huyo mungu nikute kiasi cha sh millions 100 kwenye chumba changu kesho asubuhi ili niamini yupo.
 
Mijadala ya Uwepo wa Mungu ni moja ya midahalo isio na ukomo mana kila mtu anasimamia pake na hataki kupokea kitu kipya, Nafikiri tunashindwa kutafisiri Maaana Ya Neno Mungu ndo mana tuna dabate bila Ukomo Nashauri upuuzaji wa imani ya mwenzio sio kuwa utafanya yako ionekane Bora Kama umeamua kusimamia upande wa atheist na hauko opened kuamini chochote basi ni bora usibishane tu mana u won't change or gain info anymore, Dunia ni pana ndugu zangu leo baadhi ya watu wanapingana na uwepo wa vitu kama witchcraft ,Mzungu anatuaminisha mengi sana Nafikiri dharau ni za kuweka kando na kujaribu kusikiliza hoja za kila mtu kuliko kujiona bora kwa kuwa na maarifa machache sanaa mana mwanadamu tu hawezi kuwa competent katika field mbili tofauti Ndo mana kuna selection
 
SIFA ZA MUNGU WENU.

1) ni muumbaji wa kila kitu.

2) ni muweza wa kila kitu.

3) ana upendo mkuu /yaani ana upendo kupita chochote ukijuacho na usichokijua.

4) yeye huujua mwisho kabla ya mwanzo na mwanzo kabla ya mwisho.

5) hujua njia zetu zote hata kabla ya kutuumba, au kabla ya kuzaliwa

6) yeye ni mungu mpangaji wa kila kitu!
7) ametupa uhuru wa kuchagua ilihali alitujua pamoja na njia zetu hata kabla ya kuwepo kwetu, na bado ataenda kutuhukumu kwa haya tuyatendayo ambayo yeye ndio alieyaweka ndani yetu [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Yapo mengi yasiyoeleweka kuhusu huyu mungu wenu wa kufikirika.

Je! Sifa za huyo mungu wako zunaruhusu umuombee kiranga mabaya? Bila shaka wewe na huyo mungu wako mnajitekenya alafu mnacheka [emoji4]
Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote, aliyejua mambo yote kumhusu kiranga kabla hata ya kiranga kuzaliwa, pia kisabanishi cha kiranga kuwepo, haimpasi kutenda hayo unayosema wewe.

Sio kama unavyofikiria wewe, Maombi yangu apeta kuthibitisha kuwa Mungu yupo, kwa hivyo Mungu atajithihilisha kwake kwa njia ya ajabu isiyo ya kawaida kwake na familia yake. Hapo atathibitisha kuwa Mungu yupo.
 
Sio kama unavyofikiria wewe, Maombi yangu apeta kuthibitisha kuwa Mungu yupo, kwa hivyo Mungu atajithihilisha kwake kwa njia ya ajabu isiyo ya kawaida kwake na familia yake. Hapo atathibitisha kuwa Mungu yupo.
Ukimuombea apatwe na matatizo hapo ni kuudhihirisha udhaifu wa mungu.
 
😀😀😀😀😀
Mungu hashindwi na chochote ndio maana nikaomba hilo.
Kwani kuna mtu kwenu mwanae akimuomba samaki atampa nyoka? Au kuna mtu kwenu mwanae akimuomba mkate atampa jiwe? Basi na mungu anipe sawasawa na niliyoomba.
 
Mungu hashindwi na chochote ndio maana nikaomba hilo.
Kwani kuna mtu kwenu mwanae akimuomba samaki atampa nyoka? Au kuna mtu kwenu mwanae akimuomba mkate atampa jiwe? Basi na mungu anipe sawasawa na niliyoomba.

Jiangalie sana! Usimjaribu Bwana Mungu wako.
 
Mungu anauwezo wowote! wewe ungependa ajithihilishe kwake kwa jinsi gani?
Kwa sababu mungu wenu ni mungu wa upendo, mimi ningeomba ajidhihirishe kwake kama alivyijidhihirisha kwa mussa kama maandiko yasemavyo.
 
Back
Top Bottom