Kifo kabla ya uzee, ni mpango wa Mungu?

Naomba uniambie ni wapi katika Qur'an ambapo mtu alikufa tu in a good will pasipokuwa na either mistakes alizofanya au mistakes zilizofanywa na kizazi chake
Kwanza mtu hapati hukumu kutokana na yale waliofanya watu fulani au kizazi chake.

Kabla sijakujibu kwanza kiri ya kuwa Qu'an huijui ili nikusaidie.
 
Kama kila kifo ni Mipango ya mungu kwanini mtu akimuuwa mwenzake inakuwa kosa.
Inakuwa kosa sababu hairuhusiwi mtu kuiua nafsi ya mwenzie kwa dhuluma.
Na huyo muuaji wakati huo anakuwa ni sababu ya kupatikana kifo au kumuua mwenzake.

Kosa la mauwaji linakuwa pale pale.
 
Inakuwa kosa sababu hairuhusiwi mtu kuiua nafsi ya mwenzie kwa dhuluma.
Na huyo muuaji wakati huo anakuwa ni sababu ya kupatikana kifo au kumuua mwenzake.

Kosa la mauwaji linakuwa pale pale.
Tunaamini kila mtu amepangiwa kifo cha dizaini yake ,wengine wanapigwa risasi,wengine visu,wengine wanaenda na mafuriko nk....saaa kama tunajua hivyo kwanini mtu akimchoma mwenzake kisu tusiseme ni maandiko yametimia tu.....
 
Tunaamini kila mtu amepangiwa kifo cha dizaini yake ,wengine wanapigwa risasi,wengine visu,wengine wanaenda na mafuriko nk....saaa kama tunajua hivyo kwanini mtu akimchoma mwenzake kisu tusiseme ni maandiko yametimia tu.....
Sisi huwa tunasema Qadar imetimia.Yaani lile alilolikadiria Allah limetimia.
 
Kwanza mtu hapati hukumu kutokana na yale waliofanya watu fulani au kizazi chake.

Kabla sijakujibu kwanza kiri ya kuwa Qu'an huijui ili nikusaidie.
Unamaanisha nini? Wakati unajua kabisa kuwa sisi binadamu na hata kifo ni matokeo ya dhambi ambayo walifanya babu zetu Adamu na Hawa
 
Unamaanisha nini? Wakati unajua kabisa kuwa sisi binadamu na hata kifo ni matokeo ya dhambi ambayo walifanya babu zetu Adamu na Hawa
Thibitisha hilo.Pili mimi imani yangu ndio inanifundisha ya kuwa haukukiwi mtu kutokana na madhambi ya watu waliopitwa.Wao watalipwa na yao na sisi halikadhalika.
 
Kifo chochote kile si mpango wa Mungu
 
Fafanua na hili kaka MTU kalituma jini lije likuue halafu akafanikiwa je huo ni mpango wa mungu?
 
Huu ubishi ulishaua mtu mtaani kwetu, jamaa 1 anasema kifo hasababishi Mungu, wa pili anasema anasema anasababisha Mungu.
Jamaa 1 kwa mfano nikichukua kisu nikuue sasa hv utasema Mungu kapanga?
Jamaa 2 ndio
Jamaa 1 nikikuacha he
Jamaa 2 Mungu kapanga usiniue
Jamaa 1 nikikuua
Jamaa 2 Mungu kapanga
Mwishoni jamaa 1 akamuua mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…