Kifo kinatisha sana na ni chenye maumivu makali yasiyoweza kuelezeka. Uhai ni wa thamani pindi tu ukiukosa

Kifo kinatisha sana na ni chenye maumivu makali yasiyoweza kuelezeka. Uhai ni wa thamani pindi tu ukiukosa

Mimi simuamini mtu yeyote anayezungumzia kifo wakati hajawahi kufa
 
Analeta uongo wa mtume s.a.w hapa ati maumivu kila kifo kina namna yake na aliye kufa hajijui.
 
hofu ya kitu usichokijua ni mahali dini imewashikia wengi apo
 
Back
Top Bottom