Kifo kupitia mikono ya POLISI – Kosa la Marehemu?

Kifo kupitia mikono ya POLISI – Kosa la Marehemu?

zomba kuna wakati mwingine mkuu wangu sio lazima uchangie kitu hasa ktk maswala mazito kama haya kwa ushabiki wa chama. Uchadema na UCCM ni vitu vingine kabisa inapofikia kifo cha raia, mwananchi tena mwandishi wa habari ambaye hakuwa na silaha isipokuwa akiwa kazini. Zaidi ya hapo Polisi waliambiwa wazi kuwa huyo wanayempiga ni mwandishi wa habari na walimwona aki record pande zote mbili na mfarakano na hata huyo mkuu wa Polisi alimwona vile vile.

Unachojaribu kujenga hoja hapa ni sawa na sheria ya Makaburu (Apartheid) ambapo wananchi wafanyakazi waligoma kwenda migodini kwa madai ya nyengeza ya mshahara wakauawa bila huruma halafu kisheria ndio wenye kubeba lawama na makosa kusababisha vifo hata kama walikuwa wakidai haki zao pasipo kumshambulia mwenye mgodi ama kufanya fujo mgodini..Kuna vitu vya kutetea na hasa vinapokuwa vya kisiasa lakini sio hili.

na ifahamike tu kwamba hatuna madaraka mikoani, swala la sensa ni swala la Kitaifa, swala la Jamhuri nzima hivyo huwezi kutoa amri kuzuia watu kutofanya shughuli zao mkoani wakati nchi nzima watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida isipokuwa wneye dhamana ya kuhesabu ndio wanawafuata watu majumbani mwao na kuwahesabu. Ingekuwa hivyo basi hata wale waliokutwa hawapo majumbani wangekamatwa, wote walioenda kazini wakait wa kuhesabu wangewajibishwa vile vile. Ilani pekee iliyotolewa Kitaifa ni kwa wale watakao kataa kuhesabiwa.

Na Polisi hawahusiki kabisa na utoaji tahadhali ikiwa kamati ya sensa haikuomba kuahirishwa kwa shghuli zote ili kuwawezesha wafanye kazi kwa ufasaha na haraka.. Polisi wameingilia kazi isikuwa yao kwa sababu walijua ni Chdema tu mkoani Iringa waliokuwa na shughuli kati ya siku hizo..Hivyo wanaposema ilani ile ni kwa vyama vyote sidhani kama wanasema ukweli maana hapakuwepo na shughuli nyingine yoyote zaidi ya ile ya Chadema.

Hivi ni Polisi wangapi Tanzania hususan FFU ambao hata magazeti hawaruhusiwi kusoma wanaejuwa kuwa huyo Daudi alikuwa Mwandishi?

Hivi ni nani duniani zinapotokea fujo anatoka alikotoka kuja ku cross police line na kumvaa mkubwa wao akasilimika?

Tuache unazi. Kifo ni kifo zilizobaki ni sababu na hizo sababu nilizoweka juu haziepukiki kwa kifo cha huyu Daudi.

Ni nini kilichokuwa kinamtambulisha kuwa yeye ni Mwandishi wa habari lilipotokea tukio? ni nini kilichomfanya akamvae mkuu wa polisi, tusiwe biased kwenye hilo. Nasema huyo amma alikuwa amaemuwa kufa au kupona lakini hakubali mkutano wa chama chake uzuiliwe, au aliigia kujitowa Mhanga aondoke na askari wengine au hajui kujihami au kuhhami mwenzake zinapotokea fujo kama hizo. Yote hayo yanaishi kwenye suicide.
 
Zakumi,
Problem starts with the system itself not The Police force. I believe as long as Regional and District Commissioners wil be voted in by people for the people with no influence to Magogoni.. It may work..
 
Hivi ni Polisi wangapi Tanzania hususan FFU ambao hata magazeti hawaruhusiwi kusoma wanaejuwa kuwa huyo Daudi alikuwa Mwandishi?

Hivi ni nani duniani zinapotokea fujo anatoka alikotoka kuja ku cross police line na kumvaa mkubwa wao akasilimika?

Tuache unazi. Kifo ni kifo zilizobaki ni sababu na hizo sababu nilizoweka juu haziepukiki kwa kifo cha huyu Daudi.

Ni nini kilichokuwa kinamtambulisha kuwa yeye ni Mwandishi wa habari lilipotokea tukio? ni nini kilichomfanya akamvae mkuu wa polisi, tusiwe biased kwenye hilo. Nasema huyo amma alikuwa amaemuwa kufa au kupona lakini hakubali mkutano wa chama chake uzuiliwe, au aliigia kujitowa Mhanga aondoke na askari wengine au hajui kujihami au kuhhami mwenzake zinapotokea fujo kama hizo. Yote hayo yanaishi kwenye suicide.
Kuna Picha niliiweka hapa ikionyesha wazi marehemu akimrekodi mkuu wa Polisi tena kwa tabasamu kabisa na hapakuwa na vurugu yoyote.. Ni wapi inaonyesha alimvaa au kuvuka hiyo Policeline au unataka nikusanye picha zote zinazotuonyesha marehemu alivyoonekana ktk matukio yale.
 
Kuna Picha niliiweka hapa ikionyesha wazi marehemu akimrekodi mkuu wa Polisi tena kwa tabasamu kabisa na hapakuwa na vurugu yoyote.. Ni wapi inaonyesha alimvaa au kuvuka hiyo Policeline au unataka nikusanye picha zote zinazotuonyesha marehemu alivyoonekana ktk matukio yale.

Huyo ni nani aliyemvaa mkuu wa kikosi?

attachment.php
 
Huyo ni nani aliyemaa mkuu wa kikosi?

attachment.php

Mkuu wangu hii picha inakosa vielelezo vingi vilivyokuwepo mwanzo. halafu unaiona mande alopigwa jamaa wewe ungefanya nini zaidi ya kumng'ang'ania mkuu wa Polisi..Sema JF wamefanya kuchakachua na kuondoa baadhi ya picha za marehemu lakini zipo picha kibao ambazo marehemu alikuwa akichukua picha karibu kabisa na mkuu huyu huyu na watu wengine pia walikuwepo karibu. Labda wewe nambie huyu alopiga picha hii alikuwa umbali gani? na unaona uzio wowote wa polisi karibu au macho yangu! Mkuu picha nyingi za mauaji yake za mwanzo zimeondolewa isipokuwa hii pekee ndio imebakia..
 
Azimio, Never Get Angry, Never make a Threat, Reason with people... Haina maana kuwa huyu mtu hana hasira, kuwa ni mpole daima or kuwa yeye ni mtu wa ku reason kwa kila jambo. Maana yake haipo hivo literally, ila msingi wake ni kuwa unapo deal na vitu vya msingi hasa ukitaka ku achieve kitu flani kwa mtu haitakiwi utumie hasira hata kama huyo mtu anakuboa, kukuchosha ama kukujudge.

Always keep calm, but upande wa vitendo ni otherwise... Una busara, una simile, hulipuki ovyo ila ACTION thats a whole another lever.... Kama kiongozi nikichukula model ya Don Corleone wa "The God Father" naweza sema inatakiwa uwe JK on the surface and Hitler underneath.

At least I got it ...

Nimefurahia hiyo Key Word ACTION, Kwamba we are not supposed to be feeble and passive but its all about how we are going to be "FULLY OPERATIVE IN ALL OUR GOOD STRENGTH, IN TOTAL ACTION" That IS we try to overcome ANGER and possibly all negative emotions THEN we resort to SUPERB ACTION Which means .. The Tough Love thing in ACTION!!

Hapo kwenye Udiktator naafikiana ... ila binafsi napenda kuwa BENEVOLENT DICTATOR underneath my KINDNESS, charming sweet smile..? When condition dictates ..Lol!! and .... DO WHAT MUST BE DONE ... DO THE IMPOSSIBLE!!! ...Do the Biiiigggg Showww!!!Lol!! and if necessary... make the hell open loose!! .:evil:
 
Hivi ni Polisi wangapi Tanzania hususan FFU ambao hata magazeti hawaruhusiwi kusoma wanaejuwa kuwa huyo Daudi alikuwa Mwandishi?

Hivi ni nani duniani zinapotokea fujo anatoka alikotoka kuja ku cross police line na kumvaa mkubwa wao akasilimika?

Tuache unazi. Kifo ni kifo zilizobaki ni sababu na hizo sababu nilizoweka juu haziepukiki kwa kifo cha huyu Daudi.

Ni nini kilichokuwa kinamtambulisha kuwa yeye ni Mwandishi wa habari lilipotokea tukio? ni nini kilichomfanya akamvae mkuu wa polisi, tusiwe biased kwenye hilo. Nasema huyo amma alikuwa amaemuwa kufa au kupona lakini hakubali mkutano wa chama chake uzuiliwe, au aliigia kujitowa Mhanga aondoke na askari wengine au hajui kujihami au kuhhami mwenzake zinapotokea fujo kama hizo. Yote hayo yanaishi kwenye suicide.

zomba, unatumia vigezo hafifu sana kuhalalisha vitendo visivyokubalika. I wish diamond could be forever...lakini nayo pia with time inapoteza mvuto.
 
zomba, unatumia vigezo hafifu sana kuhalalisha vitendo visivyokubalika. I wish diamond could be forever...lakini nayo pia with time inapoteza mvuto.

Hakuna hata mmoja wenu anaejibu maswali hafifu sana kwenye hoja zangu. Why complicate it? jibuni.

Sipo hapa kuhalalisha wala kuharamisha chochote. Nipo hapa kama mwanajamii mwengine, kila kitu inabidi tukitazame kwa mtazamo wake. Hivi wewe unataka kuhalalisha kutokutii amri za Serikali?
 
Hakuna hata mmoja wenu anaerobe maswali hafifu sana kwenye hoja zangu. Why complicate it? jibuni.

Sipo hapa kuhalalisha wala kuharamisha chochote. Nipo hapa kama mwanajamii mwengine, kila kitu inabidi tukitazame kwa mtazamo wake. Hivi wewe unataka kuhalalisha kutokutii amri za Serikali?

Basi upo kimaslahi zaidi...ngoja nisiumize kichwa maana weekend hii mkuu.
 
Basi upo kimaslahi zaidi...ngoja nisiumize kichwa maana weekend hii mkuu.

Maslahi yangu binafsi, ndio. Hujui maendeleo yamefanya tusikae kwenye barza za gahwa na badala yake hii ndio barza?
 
Mkuu wangu hii picha inakosa vielelezo vingi vilivyokuwepo mwanzo. halafu unaiona mande alopigwa jamaa wewe ungefanya nini zaidi ya kumng'ang'ania mkuu wa Polisi..Sema JF wamefanya kuchakachua na kuondoa baadhi ya picha za marehemu lakini zipo picha kibao ambazo marehemu alikuwa akichukua picha karibu kabisa na mkuu huyu huyu na watu wengine pia walikuwepo karibu. Labda wewe nambie huyu alopiga picha hii alikuwa umbali gani? na unaona uzio wowote wa polisi karibu au macho yangu! Mkuu picha nyingi za mauaji yake za mwanzo zimeondolewa isipokuwa hii pekee ndio imebakia..

Anhaaa, umekubali kuwa kamvaa? sasa kama kasambaratishwa namna ya zile picha tulizoziona na wengine watatu tunaambiwa wamejeruhiwa, Jee, kuna uwezekano huyu alikuwa kajifunga boom? kama hakuna huo uwezekano, jee kuna uwezekano kuwa polisi kamfyatuwa na launcher ya tear gas canisters? kama ndio, huyo polisi haiwezekani kuwa anauhakika mkuu wake kavamiwa na mvunja amani? jiulize taratibu kabla hujatowa majibu rahisi kwa maswali hayo.

Ndio maana nasema kila jibu litaishia kuwa hiyo ni suicide amma kwa kupenda amma kutokupenda kwanini?

1) Hufanyi mkutano au mkusanyiko wa aina yoyote Serikali ikikukataza, ukifanya ujuwe kuna kuuwa au kuuliwa kujeruhi au kujeruhiwa. Hiyo ni suicide.

2) Huendi kumvaa askari mkuu kwa kujisalimisha kwenye machafuko. Hiyo ni suicide.

3) Huendi kufanya shughuli za chama chako kwa pazia ya uandishi wa habari.
 
Zakumi,
Problem starts with the system itself not The Police force. I believe as long as Regional and District Commissioners wil be voted in by people for the people with no influence to Magogoni.. It may work..

You remind me the discussions we had at Bstimes. As I recall a lot of people in that forum were satisfied with what Mkapa was doing back then. They thought if rich people get richer, they will eventually induce the trickle down effect in the economy. But much like you, I was an outcast. I clamored for system change which includes a new constitution and decentralization whereas you stood for the return of moral principals.
 
At least I got it ...

Nimefurahia hiyo Key Word ACTION, Kwamba we are not supposed to be feeble and passive but its all about how we are going to be "FULLY OPERATIVE IN ALL OUR GOOD STRENGTH, IN TOTAL ACTION" That IS we try to overcome ANGER and possibly all negative emotions THEN we resort to SUPERB ACTION Which means .. The Tough Love thing in ACTION!!

Hapo kwenye Udiktator naafikiana ... ila binafsi napenda kuwa BENEVOLENT DICTATOR underneath my KINDNESS, charming sweet smile..? When condition dictates ..Lol!! and .... DO WHAT MUST BE DONE ... DO THE IMPOSSIBLE!!! ...Do the Biiiigggg Showww!!!Lol!! and if necessary... make the hell open loose!! .:evil:

Azimio Jipya,

Tell me why do you need a benevolent dictator? Didn't you have one before? Anyway, the problem facing the country isn't the lack of benevolent dictator, but the lack of will.
 
Anhaaa, umekubali kuwa kamvaa? sasa kama kasambaratishwa namna ya zile picha tulizoziona na wengine watatu tunaambiwa wamejeruhiwa, Jee, kuna uwezekano huyu alikuwa kajifunga boom? kama hakuna huo uwezekano, jee kuna uwezekano kuwa polisi kamfyatuwa na launcher ya tear gas canisters? kama ndio, huyo polisi haiwezekani kuwa anauhakika mkuu wake kavamiwa na mvunja amani? jiulize taratibu kabla hujatowa majibu rahisi kwa maswali hayo.

Ndio maana nasema kila jibu litaishia kuwa hiyo ni suicide amma kwa kupenda amma kutokupenda kwanini?

1) Hufanyi mkutano au mkusanyiko wa aina yoyote Serikali ikikukataza, ukifanya ujuwe kuna kuuwa au kuuliwa kujeruhi au kujeruhiwa. Hiyo ni suicide.

2) Huendi kumvaa askari mkuu kwa kujisalimisha kwenye machafuko. Hiyo ni suicide.

3) Huendi kufanya shughuli za chama chako kwa pazia ya uandishi wa habari.
Tatizo lako unaitazama picha hii na kusema unavyofikiria wewe kwa ushabiki. Huyu mwandishi wa habari alizungumkwa na mapolisi hakuwa na silaha na alipokuwa akienda chini ndio inaonekana kamshika mkuu wa Polisi aidha inaweza kuwa kujizuia kuanguka ama kuomba msamaha maana nimeyaona sana Club au watu wakiwapiga wake au watoto zao, Ukishindwa kukimbia basi kukumbatia huwa ni ishara ya kuomba radhi na nafuu ya kipigo..

Kwa mwandishi wa habari kuwekwa kati kiasi hicho mkuu wangu sintokuwa na wewe ktk hilo kwa sababu polisi wanatakiwa kumwambia yuko chini ya Ulinzi na hata ikiwa kuna machafuko kirungu tu kinatosha na mkuu wa Polisi anaonyesha hapa akikipunga hewani..Ngucvu ya ziada haikutakiwa kabisa.. Ningeomba sana baadhi ya picha za marehemu ambazo zilipigwa akiwa hai bado zingerudishwa wala usingeyasema haya yote. Picha hii inaonyesha wakati wa tukio na sio kabla ama baada..
 
Tatizo lako unaitazama picha hii na kusema unavyofikiria wewe kwa ushabiki. Huyu mwandishi wa habari alizungumkwa na mapolisi hakuwa na silaha na alipokuwa akienda chini ndio inaonekana kamshika mkuu wa Polisi aidha inaweza kuwa kujizuia kuanguka ama kuomba msamaha maana nimeyaona sana Club au watu wakiwapiga wake au watoto zao, Ukishindwa kukimbia basi kukumbatia huwa ni ishara ya kuomba radhi na nafuu ya kipigo..

Kwa mwandishi wa habari kuwekwa kati kiasi hicho mkuu wangu sintokuwa na wewe ktk hilo kwa sababu polisi wanatakiwa kumwambia yuko chini ya Ulinzi na hata ikiwa kuna machafuko kirungu tu kinatosha na mkuu wa Polisi anaonyesha hapa akikipunga hewani..Ngucvu ya ziada haikutakiwa kabisa.. Ningeomba sana baadhi ya picha za marehemu ambazo zilipigwa akiwa hai bado zingerudishwa wala usingeyasema haya yote. Picha hii inaonyesha wakati wa tukio na sio kabla ama baada..

Sitazami picha pekee natazama scenerio nzima. Kutokutii amri ya Serikali ndio chanzo kikuu kilichplekea mpaka askari na "wapiganaji" kuwepo pale. Laiti viongozi wa chadema wangesema "sitisheni" mikutano na ufunguzi wa hayo matawi mpaka sensa iishe kusingetokea yote hayo, tungekuwa tunaongea mengine. Lakini wakuu wa chadema walikuwa wanajuwa kabisa tukifanya hivi Polisi watakuja na fujo zitatokea na watu watajeruhiwa au kuuliwa, yote ili wapate publicity ya bure. Plan ya viongozi wa chadema imefanikiwa na huyo Daudi ni kingozi wa ngazi ya mkoa. Umesahau ujumbe alioutuma Slaa kwa Saidi Mwema? ambao umetangazwa na waandishi wa habari? au nao ni uongo?
 
Zakumi,

I want you to patiently follow the trend of which the discussion come up with whether we opt for some kind of ACTION which can look like a/or called DICTATORSHIP ... !!

And finally see the concept of two types of DICTATORS a CONSTRUCTIVE DICTATOR AND DESTRUCTIVE DICTATOR against the WILL ..!!

Here we go ...

Nakubaliana na Mario Puzo Pia, ila at the end of the day hata kama haoneshi anger ni mtu wa kuchukua 'action' mradi apata kile ambacho kapanga. Katika hili naweza tumika msemo ambao naukubali sana katika kupanbana na adui hasa katika vita (toka katika kitabu cha The Art of War), ni ya centuries ago but still applicable to any war which could ever occur.

"If your enemy is secure at all points, be prepared for him. If he is in superior strength, evade him. If your opponent is temperamental, seek to irritate him. Pretend to be weak, that he may grow arrogant. If he is taking his ease, give him no rest. If his forces are united, separate them. If sovereign and subject are in accord, put division between them. Attack him where he is unprepared, appear where you are not expected." - sun wu (Chinese Military Strategist).

Here I want you to note that, while preparing to take a serious and meaningful ACTION you must do so after you have tried overcome the NEGATIVE EMOTIONS ..of anger, resentments etc as much as you can! I just want you to note that if you "can not control your negative emotions" what will be your fate when you meet Sun Wu, cause he will make you emit it for his advantage and no any ACTION at that time will be constructive. In that case .. no way we go with negative emotions to the confrontation of an enemy ...

Azimio, Never Get Angry, Never make a Threat, Reason with people... Haina maana kuwa huyu mtu hana hasira, kuwa ni mpole daima or kuwa yeye ni mtu wa ku reason kwa kila jambo. Maana yake haipo hivo literally, ila msingi wake ni kuwa unapo deal na vitu vya msingi hasa ukitaka ku achieve kitu flani kwa mtu haitakiwi utumie hasira hata kama huyo mtu anakuboa, kukuchosha ama kukujudge.

Always keep calm, but upande wa vitendo ni otherwise... Una busara, una simile, hulipuki ovyo ila ACTION thats a whole another lever.... Kama kiongozi nikichukula model ya Don Corleone wa "The God Father" naweza sema inatakiwa uwe JK on the surface and Hitler underneath.

Here see exactly what AshaDii is explaining quite correct! In fact i shouldn't even added a word!!

At least I got it ...

Nimefurahia sana hiyo Key Word ACTION, Kwamba we are not that completely supposed to be feeble and passive but its all about how we are going to be "FULLY OPERATIVE IN ALL OUR GOOD STRENGTH, IN TOTAL ACTION" That IS we try to overcome ANGER and possibly all negative emotions THEN we resort to SUPERB ACTION Which means .. The Tough Love thing in ACTION!!

Hapo kwenye Udiktator naafikiana ... ila binafsi napenda kuwa BENEVOLENT DICTATOR underneath my KINDNESS, charming sweet smile..? When condition dictates ..Lol!! and .... DO WHAT MUST BE DONE ... DO THE IMPOSSIBLE!!! ...Do the Biiiigggg Showww!!!Lol!! and if necessary... make the hell open loose!! .:evil:

I just decided to rephrase this way cause I wanted to come up with two types of Dictators after seeing ADii using HITLER to explain the Tough Actions which sometimes must follow after one has attempted to conquer his wrong emotions!! It is believed that all ACTIONS with no influence of any negative emotions are CONSTRUCTIVE in some ways ... They may be Painful to the recipient but sometimes there is no option for that ... I called this TOUGH LOVE ...or TOUGH ACTION (Liwalo na Liwe .. Maamuzi Magumu Thing) Motived by total Love of achieving the good of the community etc!

Azimio Jipya,

Tell me why do you need a benevolent dictator? Didn't you have one before? Anyway, the problem facing the country isn't the lack of benevolent dictator, but the lack of will.

So you see I thought Hitler is Destructive DICTATOR and I opted for a CONSTRUCTIVE DICTATOR!! But its very important this to strictly follow the context of what has bee explained here!! That is why I agree to"Don Corleone of "The God Father"" model of meeting stressful situation/opponent etc in this fashion and when I meet JK at state house? I would suggest him the same, cause to me constructive Dictator isn't a bad Idea/Option sometimes its the only alternative!

Example! Yesterday we all saw, People demonstrating in hundreds in the middle of Dar CITY... have no any authority to do so etc! analyzing/evaluating the whole situation? Highly emotional charged, uncontrollable, risk to let then in that situation for a long, do anything else .. within the Law and regulation etc, couldn't wait for that, .. was not wise at all, !

So"? As a Leader I would opt for the impossible! AND Do what must be done ... Totally accept the demands of the demonstrators while knowing there will be lots of noise against that!!!

Lots of People will call that ..A DICTATORSHIP DECISION ... But I would call it a good dictator to serve a specific special situation!!!
 
Maslahi yangu binafsi, ndio. Hujui maendeleo yamefanya tusikae kwenye barza za gahwa na badala yake hii ndio barza?

zomba hizi tetezi zako kwenye baadhi ya thread mbona zinatukimbiza kupanga namna ya kucheza big games ambazo leo wanacheza wazungu koko wanaokuja kuvuna Tanzania? I don't believe in hurting or persecuting my fellow,good country men. Rather I would be interested to see most of us coming together and synergize of what should we do to make ourselves and the country move forward.
Tunatumia nguvu na resources nyingi sana sehemu zisizo na tija...hizi siasa za maji taka hazitamsaidia yeyote anayezitumia iwe sasa na hata baadae.Zitatuletea chuki na migongano tu kwenye jumuiya zetu.
 
Hivi ni Polisi wangapi Tanzania hususan FFU ambao hata magazeti hawaruhusiwi kusoma wanaejuwa kuwa huyo Daudi alikuwa Mwandishi?

Hivi ni nani duniani zinapotokea fujo anatoka alikotoka kuja ku cross police line na kumvaa mkubwa wao akasilimika?

Tuache unazi. Kifo ni kifo zilizobaki ni sababu na hizo sababu nilizoweka juu haziepukiki kwa kifo cha huyu Daudi.

Ni nini kilichokuwa kinamtambulisha kuwa yeye ni Mwandishi wa habari lilipotokea tukio? ni nini kilichomfanya akamvae mkuu wa polisi, tusiwe biased kwenye hilo. Nasema huyo amma alikuwa amaemuwa kufa au kupona lakini hakubali mkutano wa chama chake uzuiliwe, au aliigia kujitowa Mhanga aondoke na askari wengine au hajui kujihami au kuhhami mwenzake zinapotokea fujo kama hizo. Yote hayo yanaishi kwenye suicide.

Kimsingi unachosema zomba ni kwamba kosa la polisi ni kutojua kama Daudi ni mwandishi wa habari tu! Kwamba mtanzania mwingine ambaye si mwandishi wa habari is a fair game, polisi wana ruhusa ya kumuua!

Katiba yetu (pamoja na ubovu wake) iko very clear. Jeshi la polisi ni sehemu ya law-enforcement ili raia waishi kwa usalama. Na kama mtu/raia anakwenda kinyume na sheria zilizoweka, basi polisi wanatakiwa kumkamata mtu huyo na kumpeleka kwenye mhimili mwingine - mahakama ili taratibu za kisheria zifuatwe kwa ama kumtia hatiani, au vinginevyo. Mtu peke mwenye mamlaka ya kutoa kibali cha kuuwa ni rais wa nchi, tena baada ya mahakama kuridhika beyond reasonable doubt kwamba mtuhumiwa ana hatia na anastahili adhabu ya kifo.

Polisi wanaweza tu kuuwa pale wanapojikuta wako kwenye hatari. Kwa picha ambazo zimezagaa kila kona ya nchi hii, marehemu Daudi Mwangosi hakuwa na silaha and most certain hakuwa na uwezo wa kupambana na askari 6 waliokuwa wamemzunguka. Hivyo, concept ya jeshi la polisi kuwa hatarini haipo.

Zaidi ya hapo, marehemu Daudi Mwangosi anafahamika kwa RPC Kamuhunda ambaye kwa bahati nzuri (or mbaya) alikuwepo kwenye eneo la tukio. Na sio tu kuwepo, RPC huyu ndiye aliyekuwa na sauti ya mwisho (commanding officer) juu ya nini polisi wengine wafanye. Ni RPC ndiye aliyeleta polisi mahali pale, na ndiye aliyekuwa anatoa orders. Tunajua (kupitia kauli za mashuhuda) RPC aliguaka kuwa pilato na kumkabidhi Daudi Mwangosi kwa watesi/wauji wake.

Hoja yako kwamba hakuna askari anayesoma gazeti na kujua kama 'victim' wao ni mwandishi wa habari ama la is foundamentally flawed maana aprox 20 min kabla ya kuuwawa, marehemu Daudi Mwangosi alikuwa anamhoji RPC. Pia hoja yako kuwa marehemu Daudi Mwangosi alimvaa RPC is very shaky. Mashuhuda wanasema kabisa kuwa marehemu alisema wengi wa askari waliofika mahali pale walikuwa ni wageni except RPC. Hivyo ni wazi, wakati anapigwa, 'alimwangukia' (asking for help) RPC kwa sababu kati ya sura ngeni zilizokuwa zinamzunguka alimtambua mkubwa huyo (RPC). Lakini RPC akaondoka!

Pia hoja yako kwamba marehemu alikuwa kwenye 'suicide' mission is also foundamentally flawed. Mashuhuda wanasema kabisa kuwa kabla ya kuuliwa marehemu alipigwa sana na polisi. Ni watanzania wachache sana (kama wapo) ambao hawajui kipigo cha polisi wa Tanzania, tena FFU! Sasa unaposema kuwa marehemu amejiuawa unataka pia kutuambia kuwa marehemu pamoja na kipigo cha FFU bado alikuwa na uwezo wa kujiuwa? Na kwa kuangalia picha hivi kweli inaingia akilini mtu aliyezingirwa vile bado akaweza kujiua?

Ndani ya masaa 24 baada ya mauaji ya Daudi Mwangosi, msemaji wa polisi alitoa statement iliyotaka kuturudisha kwenye mauaji ya Morogoro - kwamba marehemu ameuliwa na kitu kizito! Tofauti na mauaji ya Morogoro na sehemu zingine ambazo polisi wamekuwa wanatuhumiwa, this time picha (still/moving video) zili-surface almost immidiately. And as soon as those pictures zilivyotoka, mood na kauli za polisi zikaanza kubadilika. Na sasa tuna kamati (or tume) 2 toka upande wa serikali pamoja na ile jukwaa la wahariri zinachunguza hili jambo.

Watu wengi wanaweza kabisa kuamini kuwa kama si 'ushuhuda' uliotolewa na watu mbalimbali including pictures, hiki kifo kingekuwa just another statistic. Na tayari polisi walishaanza kutuimbia muziki wa 'kitu kizito'.

Mwisho, hii hoja naona zomba unaingelea in isolation. Unasahau ndani ya miezi 18 zaidi ya watanzania 50 wamepoteza maisha mikononi mwa polisi na hakuna maelezo yoyote (report LHRC). Kama nilivyosema kilichosaidia ni picha/mashuhuda. It will be interesting kusikia hatma ya camera na laptop ya marehemu na kama contents bado zimo - intact.

Jambo moja lililo wazi, wakubwa wengi wameingia madarakani kwa msaada wa kalamu - waandishi wa habari.Wanaona hatari inayoweza kuwapata kama hawakuonekana kuguswa na haya mauaji. Whether watafanikiwa kukurabati huu ufa kati ya watawala na wanahabari we have to wait and see.
 
Sitazami picha pekee natazama scenerio nzima. Kutokutii amri ya Serikali ndio chanzo kikuu kilichplekea mpaka askari na "wapiganaji" kuwepo pale. Laiti viongozi wa chadema wangesema "sitisheni" mikutano na ufunguzi wa hayo matawi mpaka sensa iishe kusingetokea yote hayo, tungekuwa tunaongea mengine. Lakini wakuu wa chadema walikuwa wanajuwa kabisa tukifanya hivi Polisi watakuja na fujo zitatokea na watu watajeruhiwa au kuuliwa, yote ili wapate publicity ya bure. Plan ya viongozi wa chadema imefanikiwa na huyo Daudi ni kingozi wa ngazi ya mkoa. Umesahau ujumbe alioutuma Slaa kwa Saidi Mwema? ambao umetangazwa na waandishi wa habari? au nao ni uongo?
Kwa hiyo marehemu kama mwandishi wa Habari anatakiwa kutii AMRI ipi ya serikali?.. sijui kama unaelewa kazi ya mwandishi wa Habari ktk tukio hili na wapi alivunja sheria. Kazi yake inamruhusu kuwepo pale hata kama ingekuwa kuna vita ku report matukio na sio yeye kuwa sehemu ya watu waliokatazwa. Jambo ambalo Polisi wangeweza kumwambia ni kwamba hawawezi kumhakikishia usalama wake na sio yeye kuwa ndiye target yao..

Hii ndio kazi za waandishi wa habari mkuu wangu na Uhuru wao huenda pasipo na mipaka hata ingekuwa Kenya au Marekani sheria ingesema waandishi wa habari hawaruhusiwi na still bado ingetakiwa maelezo ya kina kwa nini waandishi wa habari hawatakiwi. Amri ya serikali siku zote ni ktk kuwalinda wananchi hakuna amri au sheria inayowaswaga kama mawindoni serengeti. Polisi sio serikali, Polisi inatakiwa kuwalinda wananchi na sio wao kutoa amri ya kuvunja mikutano sijui kwenu Bongo.

Amri inatolewa na kiongozi wa serikali na Polisi wanatii amri hiyo sio Polisi wenyewe kuwa na maamuzi yanayohusiana na Sensa.. Nimeshakwambia sensa ilikuwa swala la KITAIFA wala sii la Mkoa na wala Mkoa wa Iringa hawana mamlaka juu ya sensa ile isipokuwa kuhesabu watu ktk mazingira ambayo serikali iliyaweka nchi nzima. Again marehemu alikuwa kazini hakuwa pale kujiandikisha kama mwanachama mpya wala kugawa kadi..Africa jamani hata tunavyofikiri tu inatisha - kama wanyama pori vile..
 
Back
Top Bottom