Kifo ni fumbo Le mutuz juzi katoa RIP kwa Membe kupitia instagram yake Leo amefariki yeye!

Hapo kwenye kifo Mungu alitia ufundi Kweli Kweli[emoji23]

Yaani mwamba anajua hutapitisha muda fulani kabla hajakuchukua afu anauchuna tu
[emoji16][emoji23][emoji1787]
kabisa mkuu muumba mbingu ni fundi
anajua kufinyanga na kubomoa tena msimpangie cha kufanya sio bure hata wewe tunaongea kumbe asubuhi kesho tukakupeleka futi sita chini ....[emoji116][emoji116][emoji116]..[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…