zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ila inaonekana alikua na mawazo Sana,Jana tu jioni yeye na akina Kinjekitile Ngombale Mwiru walikuwa msibani kwa Membe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila inaonekana alikua na mawazo Sana,Jana tu jioni yeye na akina Kinjekitile Ngombale Mwiru walikuwa msibani kwa Membe
Zile akaunti zake kaajiri watu. Ni jina tuu. Hata Sasa kafara lakini bado zinafanya kaziKiukweli yatupasa tukeshe tukiomba kwa sababu hatujui siku wala saa ya kutwaliwa
RIP Le mutuz!
Kwa mfano kama ikiwa COVID-19 utafanya nn weweMbona hatuambiwi sababu ya kifo chake au covid 19 imerudi tena, maana kufa kupo Ila haraka haraka inastua sana
Kwema lakini .. .R. I. P LE MUTUZ.. Poor Brain 😔...
Kwema dear.. Nikidai utajua tuu😀😀Kwema lakini .. .
Uzima upo maana kimya sana
Kuna nini tena 🤔🤔, Poor Brain
Na uniambie mapema, ili nipost thread jf. Niwakere watu😂😂.Kwema dear.. Nikidai utajua tuu😀😀
Jamaa anakucheki kuhakikisha kuwa haujakata kamba 😄😄Kuna nini tena 🤔🤔, Poor Brain
Ain't giving a shit about yah nigga🤔Jamaa anakucheki kuhakikisha kuwa haujakata kamba 😄😄
Ain't fucck!ng with you either!Ain't giving a shit about yah nigga🤔
Tulia weweeeNa wewe hapa umetoa RIP, unataka kusemaje bwashee?
Kwa iyo kinje anafuatia?Jana tu jioni yeye na akina Kinjekitile Ngombale Mwiru walikuwa msibani kwa Membe
wakatantaAlikuwa anatumia ID gan?
Hizi story zenu za malavidavi jamani ingekuwa vema msimuliane mahome kwenu huko. Tuweni na staha tunapoomboleza misiba mikuu miwili.Kwema dear.. Nikidai utajua tuu😀😀
Taanza kuchukua tahadhariKwa mfano kama ikiwa COVID-19 utafanya nn wewe
Hamna mkuu ni alert tuu kujua mpo au laah ..Kuna nini tena 🤔🤔, Poor Brain
Kuna mafua makali snMbona hatuambiwi sababu ya kifo chake au covid 19 imerudi tena, maana kufa kupo Ila haraka haraka inastua sana
Kwanini isiwe wewe?Wenda leo ikawa ndio mwisho wa WEWE kuchangia JF kwa kweli tuombe tukitubu madhambi yetu.
Naunga mkono hoja Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa WatuKiukweli yatupasa tukeshe tukiomba kwa sababu hatujui siku wala saa ya kutwaliwa
RIP Le mutuz!