Kifo ni fumbo Le mutuz juzi katoa RIP kwa Membe kupitia instagram yake Leo amefariki yeye!

Kifo ni fumbo Le mutuz juzi katoa RIP kwa Membe kupitia instagram yake Leo amefariki yeye!

Jana tu jioni yeye na akina Kinjekitile Ngombale Mwiru walikuwa msibani kwa Membe
Ila inaonekana alikua na mawazo Sana,
Screenshot_20230514-194429.png
 
Kwema dear.. Nikidai utajua tuu😀😀
Hizi story zenu za malavidavi jamani ingekuwa vema msimuliane mahome kwenu huko. Tuweni na staha tunapoomboleza misiba mikuu miwili.
 
Back
Top Bottom