Bro waadabishe kwa njia nyingine ila sio hii ya kuchukua sheria mkononi ni upumbavu tuNatamani kujua jinsia yako
Bro waadabishe kwa njia nyingine ila sio hii ya kuchukua sheria mkononi ni upumbavu tu
Maisha yako ni bora kuliko maisha ya mtu yoyote hapa duniani, hasira walizokupa zisikufanye usahau hilo
Waadabishe kwa njia nyingine
Yeeeeah!!!!Kweli Mzee
Nikiwaza Sina hata hela yakupeleka mtoto logde ndo napata uchungu was kusalitiwa na mke wangu other wise ningukua kata funua tuuuYeeeeah!!!!
Ukiwa na pesa hata ukiachika pressure inapungua.....
Ila ukiwa hauna lzm uone kutokuwa na pesa ndo chanzo cha kuachika.
Fresh ndugu yangBro waadabishe kwa njia nyingine ila sio hii ya kuchukua sheria mkononi ni upumbavu tu
Maisha yako ni bora kuliko maisha ya mtu yoyote hapa duniani, hasira walizokupa zisikufanye usahau hilo
Waadabishe kwa njia nyingine
KumekuchaMgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???
Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Mke wangu nimemfungulia ofisi maeneo ya mjini.Samahani kwa kuandika Haya lakini naona unatatizo la inferiority complex!
Kwa hiyo wife ndiye bread earner?
Mkeo anafanyakazi au ndio anapewa hela na huyo bwana kisha mnakula Na kujikimu?
Pole kaka, ni mtihani !
Fanya mazoezi, Fanya tahajudi sali, soma Neno nenda kwa psychiatrist atakuhudumia.
Nilichogundua tatizo Ni wifeKwani anafanya kumbaka mkeo?
Kama ni kwa ridhaa ya mkeo shida ni mkeo au huyo jamaa?
Bora kuamua kumuacha mkeo hata kama ataenda kuishi na huyo jamaa haina shida.
Kwanza wahuni wanapendaga kutembea na wake za watu wakiwa na waume zao wakishaachwa na wao huwaacha!
mke anauma jamnyMgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???
Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Nishachepuka saaana bila kudhuru familia Wala heshma yake, ndo Mana nilimsamehe nikampokea alivorudi kumbe wenzangu wanaendelea kubanduana Cha ajabu hawataki kujitegemea wabanduane vizuriKwa hiyo wewe hujawahi kuchepuka tangu umuoe?
Askuambie mtu damyangmke anauma jamny
Niliikuta inaning'inia nkajua mwenzangu keshamaliza tuanze mojaKama ulimuoa bikra basi una haki ya kufanyanya unayotaka kufanya, lakini kama ulimuoa wahuni washakufungulia njia basi piga kimya...
We vimilia kuna msemo unasemwa hapa jukwaani tusioe mwanamke mwenye mtotokwaiyo huyo jamaa kaoa mke wako siku ukimutaji kupasha kiporo utakipasha tuMgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???
Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Jamaa nilimchana amkaze vizuri ili asinisumbueWe vimilia kuna msemo unasemwa hapa jukwaani tusioe mwanamke mwenye mtotokwaiyo huyo jamaa kaoa mke wako siku ukimutaji kupasha kiporo utakipasha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
si bora kwa jamaa zakoUkijifikiria wewe peke yako ukawasahau watoto ambao maskini wala hawana taarifa kama kuna mtu kachepuka,
wakajikuta wewe upo jela ya serikali,wao wapo jela majumbani kwa jamaa zako wanalazimika kulala na shamba boy
maana vyumba havitosi.nakwambia mateso yao yatazidi ya kwako mara mia.
Wenye hasira huwa hawapiga mikwara jf nenda front line umpige huo mkwara,shida ingine mtu akikutombea wife wako sana anakujua huna ubavu wa kumfanya loloteMgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???
Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Huna lolote we ni mnyonge hata unavosound inajidhihirisha, kikubwa we temana na huyo mwanamke kama unaushahidi wa kutosha kuhusu kukucheat, mpige taraka3 endelea kutafuta pesa ili ulee watoto wako.Nimesali saana kukiondoa lakini wanakirudisha kwa nguvu sa nifanyeje?
Mkuu, warembo kibao wanazaliwa kila siku. Angalia mbele. Au ndio mkeo alikuwa anakuweka mjini kifedha? Ya nini kumng'ang'ania?Ntakuletea mrejesho ntakachomfanya mgoni mwezio