Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Adhabu pekee unayoweza kuwapa ni 1,Be the best version of yourself 2.Accept the pain with humility 3.Let them know that you love her.4 Love your children 5 Be happy
 
Mtu mwenye hasira kali mara nyingi anatendaga unyama kimya kimya bila kusema.

Ukisimulia watu hasira zako husaidia sana maumivu ya moyo kupungua na mwisho wa siku unjikuta umesamehe na kuacha maisha yaendelee.

Pole mtoa mada, ni kweli kuchapiwa huwa kunauma. Tena ukiongeza na vijembe na dharau wanazokuonyesha, unaweza kujikuta unafanya tukio baya.
 
Binadamu tupo wa aina nyingi sana yaan kuna watu starehe yao kugonga wake za watu tu 😠😠😠
Halafu wanawake nao inakuaje mke wa mtu unashoboka na wanaume nje ya mumeo
Mngekuwa mnawauliza kwann mtu anachepuka ??
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Tafakari kwa makini hatua unazopanga kuchukua... Tafakari kwa makini future ya wanao hao ndio shina lako! Wanawake huja na kuondoka na hata kubadili ubin lakini wanao watabaki kuwa wako mpaka kaburini
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Samahani kwanza

Huyo mgoni hana mke?

Kama anaye na wewe.... kuliko visasi visivyo na faida
 
Tafakari kwa makini hatua unazopanga kuchukua... Tafakari kwa makini future ya wanao hao ndio shina lako! Wanawake huja na kuondoka na hata kubadili ubin lakini wanao watabaki kuwa wako mpaka kaburini
Nataka unisaidie kitu mkuu
 
Mkuu

Pole sana

Naamini unaumizwa na mazoea

Mazoea uliyonayo juu ya huyo unayeimwita mkeo

Jitahidi hayo mazoea uyaweke kwenye kitu kingine

kabisa. Angalia watoto wako halafu fikria kwa kina

unachotaka kukifanya, kabla ya kuhitimisha!

Kumbuka huyo mbilimbi ndiyo mama wa watoto

wako, hakuna mwingine zaidi ya huyo mbilimbi...

Kama una hela jipe safari kidogo, kamata manzi

muzuriiiii akupe shughuli fulani ya kibabe...

Utamsahau huyo mbilimbi anayekupa headache

kwa sasa...

Shukrani!
Best comment ever ndugu,,🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩 am working on it
 
Pole, so amerudi kwake? Ukampokea?
Ila baba j chagua amani kwanza mengine yaweke tu kando....huna haja ya kuwaza kumdhuru mtu
Ingekua Ni Jambo rahisi ningeweza hata kulipia ili Ni ipate.

Nimejaribu kuvuta manzi student mwaka wa tatu kwakweli ananiliwaza japo hajui kinachoendelea.

Sasa na yeye anataka ndoa kabisaa namuonea huruma saana😥😥😥
 
Binadamu tupo wa aina nyingi sana yaan kuna watu starehe yao kugonga wake za watu tu [emoji34][emoji34][emoji34]
Halafu wanawake nao inakuaje mke wa mtu unashoboka na wanaume nje ya mumeo
Wewe hugongi wake za watu but madem sana. Mkeo haumii? Akiumia lazima atafute msawazo kupunguz stress. Kama hupendi kugongewa, heshimu mkeo akuheshimu.
 
Achana nae wewe jifungamanishe na wanao huyo mkeo ngeweza ungempotezea tuu kimya kimya ili usitumie nguvu nyiiingi kwa ajili ya uharibifu na kujiumiza bule.


Najua inauma lakini hata ukilipiza haitabadili ukweli
Let me think again
 
Kama ulimuoa bikra basi una haki ya kufanyanya unayotaka kufanya, lakini kama ulimuoa wahuni washakufungulia njia basi piga kimya...
 
Back
Top Bottom