Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

This hurts, so sorry brother! You are a soldier, you can overcome this. Mungu alikupa watoto kwa sababu aliamini kwa vyovyote vile iwavyo na inacyoweza kutokea watakuwa salama kwako, please do not revenge because itakuwa na madhara kwa mind yako na kwa maisha ya watoto, yaani unaweza usijulikane ulichofanya ila moyoni na akilini mwako ukawa umeharibikiwa sana na baadhi ya watu wanapata msongo wa mawazo zaidi hadi kuwa mentally ill kwa revenge bila kujalisha ni ya aina gani. Hujui mgoni wako anajiamini kwa lipi, kuna watu wanatembea lakini ni zaidi ya uwaonavyo sio kimwili ila kiroho!

Ni kweli inauma kwa sababu ni dharau ila piga moyo konde, ulishinde hilo jaribu. Kaa mbali naye huyo mkeo, ikiwezekana mwache na nyumba na watoto ondoka nenda mbali, poteza hata mawasiliano nao ila weka mazingira yakiusalama kwa watoto na kuwe na mtu anayeweza kuwa anacheki cheki usalama wa watoto ama wahamishia kwa ndugu unayemwamini au wazazi wako then wewe kaanze upya. Amani ya roho ni mhimu zaidi ya mali!

Sisi tuliooa ndio tunaelewa uchungu alionao jamaa, pole sana mkuu. Jipige moyo konde lishinde jaribu na Mungu atakulipia.
 
Kumbe unaogopa jela?
Kuna visasi vingi sio lazima kuua mzee Buji usiwe mshamba[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna jela za serikali, lakini kuna jela ya kiroho, ndio maana utasikia wazee wakisema fulani ana vifungo vya kiroho, hivyo ni noma Sana, Bora ukakae Segedanseeey
 
Binadamu tupo wa aina nyingi sana yaan kuna watu starehe yao kugonga wake za watu tu [emoji34][emoji34][emoji34]
Halafu wanawake nao inakuaje mke wa mtu unashoboka na wanaume nje ya mumeo
...Na unakuta huyo mtu ni Mume wa Mwanamke mwenzie....![emoji853][emoji853]
 
Baba J hali imegeuka? Ulikua unaonekana umekubaliana na hali kumbe bado, pole....ungekaa mbali nao ili usiwaone maisha yaendelee kwa amani, pole sana
Alirudi mguu pande akiwa Bado yupo na jamaa ndio kulichonivuruga
 
JIULIZE KWANINI WIFE WAKO KACHEPUKA!!!
JIULIZE WEWE ULIKUWA NA MAPUNGUFU GANI HADI UKAGONGEWA!!?
KISASI SIYO SULUHISHO .
Ukimuuliza anasema haeliwi kwann anafanya hivo.... Ila binafsi naamini kwakua nimeyumba kiuchumi
 
Kisasi hususan cha mapenzi ni udhaifu mkubwa mno mno mno.Man up,kubaali hali halisi na songa mbele lea watoto wako.
Temana na mavisasi na kubeba watu moyoni.Tafuta hela na furaha kwingine.They (mkeo na mzinzi mwenzie) dont deserve you bruv.
 
Usijiumize hata kidogo.

Hapa ndo JF bana.

Anonymity imetusaidia wengi kupona. Mimi mmoja wapo.

Sasa hivi stress nimetupa kule full kuzingua tu humu na bangi zinazonibangua.

I will say a little prayer for you young man. Mungu atakuponya na hilo kombe litakupita na utakaa sawa tu tupishane kwenye sredi tupeane hi.
Amen.... Thanks bro
 
Kisasi hususan cha mapenzi ni udhaifu mkubwa mno mno mno.Man up,kubaali hali halisi na songa mbele lea watoto wako.
Temana na mavisasi na kubeba watu moyoni.Tafuta hela na furaha kwingine.They (mkeo na mzinzi mwenzie) dont deserve you bruv.
Sure
 
Kiongozi kuna uwezekano MUNGU kakuongoza uje hapa. Utapata mawazo mazuri tu. Nakushauri hizo hasira ulizomuwekea mgoni wako zoooote zipeleke kwa hasira kuu kwenye kusaka pesa. Jitahidi kuumiza kichwa uwe na hela. Msahau kabisa mgoni na mkeo.

Vyote vimefanyika ksbb tu huna hela ya kutosha mkuu.

Kulipiza kisasi kutakupeleka sehemu mbaya. Nakuhakikishia ukimsahau na kusamehe kabisa,utakuwa umewashtakia kwa MUNGU. Watateswa na MUNGU
Sure am trying my best
 
Pole, so amerudi kwake? Ukampokea?
Ila baba j chagua amani kwanza mengine yaweke tu kando....huna haja ya kuwaza kumdhuru mtu
Yaani mimi labda nisijue tu,yaani hata nikikuta una flirt tu kwa msgs kwangu unakua umejitoa pareefu sana,nikathibitisha umeliwa NDO hata kikao hakina haja.NENDA ZAKO KWA AMAN,UZINZI WAKO UMEKUWEKA HURU!
 
Yaani mimi labda nisijue tu,yaani hata nikikuta una flirt tu kwa msgs kwangu unakua umejitoa pareefu sana,nikathibitisha umeliwa NDO hata kikao hakina haja.NENDA ZAKO KWA AMAN,UZINZI WAKO UMEKUWEKA HURU!
Kusema/ kuongea ni rahisi....

Btw, we haufanyi hayo?????
 
Anaepaswa kubeba lawama zote ni huyo mke wako ambaye amekubali kutembea na mwanaume mwingine hali akijua kuwa ameolewa,inawezekana hata alimwambia huyo mwanaume kuwa yeye hana mtu,ila kurahisisha maamuzi yako fuata maandiko ya Mungu yanasemaje unapofumania ili usijekufanya maamuzi mabaya yatakayokufanya uishie jela....
 
Back
Top Bottom