snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Love you sweetie , na unajua.I love you Sis.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Love you sweetie , na unajua.I love you Sis.
Yes I do.Love you sweetie , na unajua.
Hajasema kama anaua mkuu.Kisasi chochote unashauriwa kuchimba makaburi mawili.
Lako na la unayempangia kisasj hicho.
Usijiumize hata kidogo.Sijawaza kujiua hata Mara moja zaidi yakupambana nanhali ya kujiumiza kwa stress
Kausha kama hujaelewa kuhusu digging two graves.Hajasema kama anaua mkuu.
Hapa umepiga full P mkuu.Mi niko tofaut na washaur wengi hapo.
Kwanza vipi hicho kisasi chako ulichopanga kina madhara yoyote kwako?? Kama hakuna basi go on mkuu, iridhishe nafsi yako upunguze maumivu.
Ila kama kinahusu kwenda jela na watoto kuteseka basi achana nacho mkuu tafuta namna nyingine tu ya kuachana na mkeo uendelee na maisha yako bila kumfatilia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiona nyuzi hizi naogopa.
Wengi wenu ni uoga tu unawasumbua.Hapa umepiga full P mkuu.
Yaani full Pumba.
🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nimeelewa, na hakitampata kitu chochote kibaya kama kisasi chake hakitahusu uhai wa watesi wake.Kausha kama hujaelewa kuhusu digging two graves.
Utata tu. Nyau we.
Baba J hali imegeuka? Ulikua unaonekana umekubaliana na hali kumbe bado, pole....ungekaa mbali nao ili usiwaone maisha yaendelee kwa amani, pole sanaBora niteseke jela kuliko jinsi nnavyoumia moyoni
Hapa ndo hua nawakubali wale wa siasa kali....sisi wafuasi wa KRISTO tnakosea...hakuna kusubiri kisasi cha MUNGU bila uhakika,natoa hukumu mwenyewe
Lipiza kisasi na uishie jelaAcha ufaller wewe
Kumbe unaogopa jela?Lipiza kisasi na uishie jela