snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
Bado haitakusaidiaBado sijaona nnachokitaka mzee nataka mateso yawe makali zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado haitakusaidiaBado sijaona nnachokitaka mzee nataka mateso yawe makali zaidi
So what?Kwa taarifa ya jamaa ni kwamba mshkaji alimtongozea mkewe akiwa bado yupo kwenye ndoa
Hutapona milele.Sio uoga ndugu Ninatafuta unafuu moyoni mwangu kwakua Sasa Hivi nnagadhabu kubwa mnoo inaniumiza mwenyewe
Unaamini wewe ndo wa kwanza?Mzee subiri yakukute assey
Umesoma ukaelewa au umeamua kujibu tu....????Wee ni boya
Aliyekumbia tumeachana Ni Nan?Washaachana hao
Sasa anataka akimuacha mwanamke asiwe na mahusiano mengine?
Nimekuelewa!Unaamini wewe ndo wa kwanza?
Kwamba wengine hawajui uchungu wa mke?
Kwamba wengine hawajawahi kusalitiwa?
Kwamba wengine hawajawahi kuvunjika ndoa zao sababu ya usaliti wa mapenzi?
Unahitaji kuifahamu dunia sana na mwanadamu.
Kiumbe alozaliwa na mwanamke.
Bado hujamjua!
Hii ni shule super kabisaUnaamini wewe ndo wa kwanza?
Kwamba wengine hawajui uchungu wa mke?
Kwamba wengine hawajawahi kusalitiwa?
Kwamba wengine hawajawahi kuvunjika ndoa zao sababu ya usaliti wa mapenzi?
Unahitaji kuifahamu dunia sana na mwanadamu.
Kiumbe alozaliwa na mwanamke.
Bado hujamjua!
WAtoto wako watateseka wewe ukiwa gerezani, mke kaburini na Mgoni wako!Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???
Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Acha ufaller weweKisasi ni Cha Mungu, piga chini, chapa lapa
Nimekuelewa!
Kinachonisumbua Ni hi Hali ya uchungu moyoni mi natafuta hata dawa ninywe niwe na amani naambiwa hamna sijui Nani wakinisaidiaNakosa maneno ya kukushauri. Nakuombea mungu akupe uwezo wa kumpuuza huyo mwanamke.
Hajaona thamani yako kwanini wewe unamuonesha kua anathamani kubwa kwako kiasi uko tayari kuyaharibu maisha yako na ya watoto wako kwa ajili yake? Ana thamani kiasi hicho?
Jiulize.
Then muone tu mtu kama watu wengine na wengi tu wamefanyiwa kama wewe au zaidi wakaumia baadae waka move on na wakapata furaha zaidi.Ni swala la muda tu uchungu huo utaisha.
Karibu!!!Hii ni shule super kabisa
Mkuu ungefanyia kazi swala la tako mbili bao kwanza.Ntakuletea mrejesho ntakachomfanya mgoni mwezio
Hapa ndo hua nawakubali wale wa siasa kali....sisi wafuasi wa KRISTO tnakosea...hakuna kusubiri kisasi cha MUNGU bila uhakika,natoa hukumu mwenyeweKisasi ni Cha Mungu, piga chini, chapa lapa
Nakuelewa.Kinachonisumbua Ni hi Hali ya uchungu moyoni mi natafuta hata dawa ninywe niwe na amani naambiwa hamna sijui Nani wakinisaidia
I love you Sis.Ukateseke jela na wanao uwaache wenyewe.
Dunia ilivyojaa uzandiki hii?
Wafanywe mashoga na majambazi?
Wadhulumiwe Mali zako?
Wakose elimu?
Wanatizamwa na nani?
Ndoa ni nini kiasi isimamishe maisha yako kila leo unapost kuhusu same stuff?
Huyu mwanamke unayelia lia nae kila siku in the name ya kuwa una hasira sijui ntamkomesha mbona hana hata wazo na wewe?
Imeenda iache iende.
KUBALI KUSHINDWA.
Kwani kukubali defeat shilingi ngapi?
Kuna vita kupigana hata ukishinda ulishashindwa mwanzo.
Una mambo mengi ya msingi kutizama kuliko kulipa kisasi.
Watoto wako wanakuhitaji kuliko huyo unayejiapiza kummaliza.
Mwenzio anaendelea na maisha yake wee yako unaweka rehani!!
Mxxxxxxiiiew
Haitakusaidia.
Haitakurudishia mke.
Haitarejesha ndoa yako.
Some of us here we are best losers.
We Win while Defeated.
Think!
Think!
Think!
Mama amekupigania sana mpaka hapo ulipofika. Amatokwa na jasho, akamwaga chozi na damu kwa ajili yako halafu uje ujitoe uhai kiboya tu kisa mwanamke asiejielewa?Kinachonisumbua Ni hi Hali ya uchungu moyoni mi natafuta hata dawa ninywe niwe na amani naambiwa hamna sijui Nani wakinisaidia