Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Unaamini wewe ndo wa kwanza?
Kwamba wengine hawajui uchungu wa mke?
Kwamba wengine hawajawahi kusalitiwa?
Kwamba wengine hawajawahi kuvunjika ndoa zao sababu ya usaliti wa mapenzi?

Unahitaji kuifahamu dunia sana na mwanadamu.
Kiumbe alozaliwa na mwanamke.
Bado hujamjua!
Nimekuelewa!
 
Unaamini wewe ndo wa kwanza?
Kwamba wengine hawajui uchungu wa mke?
Kwamba wengine hawajawahi kusalitiwa?
Kwamba wengine hawajawahi kuvunjika ndoa zao sababu ya usaliti wa mapenzi?

Unahitaji kuifahamu dunia sana na mwanadamu.
Kiumbe alozaliwa na mwanamke.
Bado hujamjua!
Hii ni shule super kabisa
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
WAtoto wako watateseka wewe ukiwa gerezani, mke kaburini na Mgoni wako!

Acha ubinafsi, Lengo lako kwa sasa liwe kukuza na kuwafanikisha watoto.
 
Sending you hugs.
Relax
Omba Mungu akupitishe salama, sisemi ni swala dogo.
Ila linavukika!!
Tizama watoto wako kwa makini sana, utaona vile Mungu alikupa zawadi nzuri sana ya maisha ya kuyalinda,kuyatunza,kuyaongoza na kuishi kwa ajili yao.
Hizi zinatosha sana kuwa sababu za KUONA THAMANI YA MAISHA YAKO NA YAO.

Na ukayaishi.

Nimekuelewa!
 
Nakosa maneno ya kukushauri. Nakuombea mungu akupe uwezo wa kumpuuza huyo mwanamke.
Hajaona thamani yako kwanini wewe unamuonesha kua anathamani kubwa kwako kiasi uko tayari kuyaharibu maisha yako na ya watoto wako kwa ajili yake? Ana thamani kiasi hicho?
Jiulize.
Then muone tu mtu kama watu wengine na wengi tu wamefanyiwa kama wewe au zaidi wakaumia baadae waka move on na wakapata furaha zaidi.Ni swala la muda tu uchungu huo utaisha.
Kinachonisumbua Ni hi Hali ya uchungu moyoni mi natafuta hata dawa ninywe niwe na amani naambiwa hamna sijui Nani wakinisaidia
 
Kinachonisumbua Ni hi Hali ya uchungu moyoni mi natafuta hata dawa ninywe niwe na amani naambiwa hamna sijui Nani wakinisaidia
Nakuelewa.
Inaumiza yes, ruhusu kuumia ili upone.
Life fucks sometimes.
Sio nyakati zote mambo huenda vile tunapanga.
Kuumia sio udhaifu!
Ni ubinadamu,it is being human!
So uko sahihi kuumia but usiruhusu kuumia kwa leo kuondoka kicheko cha kesho.

Wanawake wazuri wako kibao.
Watamu kama saga la asali.
Kujifunza tu kuchukulia hatua za maisha na changamoto zake.
Baaas!
Yani usiruhusu starehe za mtu siharibu maisha yako.
 
Ukateseke jela na wanao uwaache wenyewe.
Dunia ilivyojaa uzandiki hii?
Wafanywe mashoga na majambazi?
Wadhulumiwe Mali zako?
Wakose elimu?
Wanatizamwa na nani?
Ndoa ni nini kiasi isimamishe maisha yako kila leo unapost kuhusu same stuff?

Huyu mwanamke unayelia lia nae kila siku in the name ya kuwa una hasira sijui ntamkomesha mbona hana hata wazo na wewe?
Imeenda iache iende.
KUBALI KUSHINDWA.
Kwani kukubali defeat shilingi ngapi?
Kuna vita kupigana hata ukishinda ulishashindwa mwanzo.

Una mambo mengi ya msingi kutizama kuliko kulipa kisasi.
Watoto wako wanakuhitaji kuliko huyo unayejiapiza kummaliza.
Mwenzio anaendelea na maisha yake wee yako unaweka rehani!!
Mxxxxxxiiiew
Haitakusaidia.
Haitakurudishia mke.
Haitarejesha ndoa yako.
Some of us here we are best losers.
We Win while Defeated.
Think!
Think!
Think!
I love you Sis.
 
Kinachonisumbua Ni hi Hali ya uchungu moyoni mi natafuta hata dawa ninywe niwe na amani naambiwa hamna sijui Nani wakinisaidia
Mama amekupigania sana mpaka hapo ulipofika. Amatokwa na jasho, akamwaga chozi na damu kwa ajili yako halafu uje ujitoe uhai kiboya tu kisa mwanamke asiejielewa?
 
Back
Top Bottom