Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesali saana kukiondoa lakini wanakirudisha kwa nguvu sa nifanyeje?Kisasi ni Cha Mungu, piga chini, chapa lapa
Moja ya sharti ndo hili nalitimiza ngoja uone uboya wanguWe ni boya huna cha kumfanya huyo mwamba wenye uwezo huwa wanapiga mabomu yao kimyakimya Sasa akipata huu ujumbe si ndo anajipanga anakufanyia kweli
Kila nikitulia situlizikiDogo pole sana. Jitahidi kutuliza akili.
Jizuie kufanya hayo unayoyawaza bado una mda wa kuenjoy maisha sana tu kuliko unavyodhani.
Mbele una baraka nyingi kama utamwachia Mungu.
Mungu akusaidie.
Wewe ni member wa muda mrefu sana.Nimesali saana kukiondoa lakini wanakirudisha kwa nguvu sa nifanyeje?
Hasara ya nani mkuu?Kila nikitulia situliziki
Hivi anaye nunua mbususu na kuenjoy maisha bila stress za kipuuzi na yule anaye teseka kwa stress za kugongewa ni yupi Anaya fupisha maisha yake ? .. wanawake wameumbwa na roho ya kipekee sana, na ukiwa dhaifu wanaweza kukuharibia maisha jumla ..Yes. Kanunue ili uzidi kuyafupisha kama umeona hayana faida.
Piga chini chukua pisi kali utaozea jera mkuu ushawahi kulala ata jera siku mojaMoja ya sharti ndo hili nalitimiza ngoja uone uboya wangu
Jipe muda angalau mwezi mmoja utatulia japo vimaumivu vitakuwa kwa mbali.Kila nikitulia situliziki
Man, its up to you, like really.Hivi anaye nunua mbususu na kuenjoy maisha bila stress za kipuuzi na yule anaye teseka kwa stress za kugongewa ni yupi Anaya fupisha maisha yake ? .. wanawake wameumbwa na roho ya kipekee sana, na ukiwa dhaifu wanaweza kukuharibia maisha jumla ..
Kila nikitulia situliziki nadhani Hivi ndo inatakiwaDogo pole sana. Jitahidi kutuliza akili.
Jizuie kufanya hayo unayoyawaza bado una mda wa kuenjoy maisha sana tu kuliko unavyodhani.
Mbele una baraka nyingi kama utamwachia Mungu.
Mungu akusaidie.
Ok, si lazima uishi tunavyokushauri. Jela zimetengenezwa kwaajli ya binadamu. Kila la heri[emoji120]Kila nikitulia situliziki nadhani Hivi ndo inatakiwa
TATIZO numeenda church wanazinguaDawa ya usaliti kwenye ndoa ni talaka, Kama huwezi kutoa talaka Basi wewe pia una matatizo yanayofanana na yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app