Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Kwanza nenda hata safari ukapunguze hasira.

Ukirejea fanya moja kati ya haya

1. Msamehe mkeo yaishe au
2. Achana naye aende kwa amani

Utakuja kunishukuru....
 
Tatizo ni mkeo!

Ana mambo ya kitoto sana au Kiswahili.

Atakuwa mke wa mwendokasi huyo!

Kusumbuliwa na wakwe ndio achepuke na kumwambia hawara yake akudhalilishe?

Kuna wanawake wako kwenye ndoa zao miaka wana wendani wao ambao nao wana wake zao na wasio na wale ambao hawajaoa bado lakini wanachepuka kwa adabu na staha kiasi kwamba mume hawezi kujua wala kuzani!
 
Huyo mkeo atakuwa msungo hajafundwa!

Sasa wewe ukimzuru huyo hawara ya mkeo mkeo hajui atakuwa shahidi namba moja kiasi cha yeye naye kuingia matatani?

Hata kama anataka kukukomoa siyo lazima akuoneshe yeye angeishia kuliwa na kupata raha ya nafsi kama anapata ikatosha huku moyoni akiona amekukomesha au kuwakomesha hao ndugu zako wasomtaka.
 
Kwa akili hiyo ya mkeo huenda hata hao wakwe wana sababu za msingi za kumhusudu.

Hajatulia huyo halafu ameshakusoma udhaifu wako!

Huyo mke atakuwa sababu ya yeye kukuingiza kwenye matatizo.

Ikibidi mpige chini tu kwa wema tu.

Wanawake wako wengi sana wa kila aina!
 
Mkeo amekufanyia ndele!

Yani hata hustuki kuwa yeye ndiye chanzo cha kuumia kwako moyo badala yake unalaani hawara yake?

Lakini usimzuru mkeo wala hawara yake.

Sana sana mwache akawe huru na hawara yake Mungu atakulipia.
 
Ingekuwa mwanaume kwenye ndoa amechepuka ningemhukumu hawara kuwa mkosa sababu Wanawake michepuko huwa wanawatega wanaume na kuwaroga lakini kwa mchepuko Mwanaume ni kunyume.

Kwa mchepuko mwanaume juhudi kubwa huwa inafanywa na mke wa kwenye ndoa ingawa hata mchepuko Mwanaume anafanya juhudi kubwa zaidi.

A case of yours mkeo anamchango mkubwa sana katika kile anachokufanyia huyo jamaa.

Mkeo anafurahishwa na hayo vinginevyo angeweza kumwambia aache mara moja.
 
Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu alafu unanitukana et nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!!???

Mzigo nilikua nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitorizika Ila ntaka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.

Na wife wangu ujiangalie sitokuacha Hivi Hivi you will pay for it.

Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka alafu watesi wao wakala Bata tuu.
Mroge mwana usimuache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukateseke jela na wanao uwaache wenyewe.
Dunia ilivyojaa uzandiki hii?
Wafanywe mashoga na majambazi?
Wadhulumiwe Mali zako?
Wakose elimu?
Wanatizamwa na nani?
Ndoa ni nini kiasi isimamishe maisha yako kila leo unapost kuhusu same stuff?

Huyu mwanamke unayelia lia nae kila siku in the name ya kuwa una hasira sijui ntamkomesha mbona hana hata wazo na wewe?
Imeenda iache iende.
KUBALI KUSHINDWA.
Kwani kukubali defeat shilingi ngapi?
Kuna vita kupigana hata ukishinda ulishashindwa mwanzo.

Una mambo mengi ya msingi kutizama kuliko kulipa kisasi.
Watoto wako wanakuhitaji kuliko huyo unayejiapiza kummaliza.
Mwenzio anaendelea na maisha yake wee yako unaweka rehani!!
Mxxxxxxiiiew
Haitakusaidia.
Haitakurudishia mke.
Haitarejesha ndoa yako.
Some of us here we are best losers.
We Win while Defeated.
Think!
Think!
Think!
Asante sana..wote wanaotaka kufanya upuuzi Kama wa mtoa mada wasome hapa.
 
Halafu kwa akili ya mkeo ukienda ishia jera ujue watoto wako watateseka sana!

Na ndugu watawatelekeza watawachoka sababu za wewe kwenda jera wanaona kama umejitakia tu makusudi.

Kuna wanawake kutelekeza watoto kwake siyo tatizo hata kidogo.

Tafakari, visasi huongeza matatizo kwa mwenye kupenda kufanya visasi kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu.
 
Mkeo amekufanyia ndele!

Yani hata hustuki kuwa yeye ndiye chanzo cha kuumia kwako moyo badala yake unalaani hawara yake?

Lakini usimzuru mkeo wala hawara yake.

Sana sana mwache akawe huru na hawara yake Mungu atakulipia.
Af hata sio lazima Mungu amlipie.

Wakati fulani haya mambo hata Mungu hayatazami kama tunavyoyatazama.
Ndo alisema.Kisasi ni changu.
Mungu ana namna yake ya kufanya mambo hata haifanabi na sisi wanadamu.
We wakati unafkr Mungu atamlipa,kumbe mwenzio ameshatengeneza na Muumba wake anaishi katika neema ya Msamaha
So tusiwe tunatarajia sana kuona mateso ya watesi wetu.
Mungu yeye ndo anajua kwa haki hasira aipatilize wapi.

Sio kila ndoa ni mpango wa Mungu.
Sio kila ndoa.lazima iishe na kifo.
Sio kila ndoa lazima ikuletee neema.

Some.of marriages ni njia zetu za kupita kwenda ilipo destiny.
Inahitaji akili Njema sana kuelewa hii.
Unaweza kuwa udhaifu machoni kwa wengine lakin out of it kuna Uimara mkubwa sana.
 
Niligundua mke wangu anatoka na jamaa fulani anaetumia gari ya serikali kama ndoano,nilichofanya ni kumuacha mwanamke aende zake,siwezi gombana na mwanaume kisa mwanamke never ever.
HAHAAA, MBEYA ,MOJA HIYO.
 
Tatizo ni mkeo!

Ana mambo ya kitoto sana au Kiswahili.

Atakuwa mke wa mwendokasi huyo!

Kusumbuliwa na wakwe ndio achepuke na kumwambia hawara yake akudhalilishe?

Kuna wanawake wako kwenye ndoa zao miaka wana wendani wao ambao nao wana wake zao lakini wanachepuka kwa adabu na staha kiasi kwamba mume hawezi kujua wala kuzani!
Sure nilioa kopo la mavi aisey maana badala ya kufanya kwa akili ye anafanya kwa hasira
 
Binadamu tupo wa aina nyingi sana yaan kuna watu starehe yao kugonga wake za watu tu [emoji34][emoji34][emoji34]
Halafu wanawake nao inakuaje mke wa mtu unashoboka na wanaume nje ya mumeo
Ndo hivyo, shetani wa mtu ni mtu.
 
Back
Top Bottom