Bata wapi, kakaMgoni wangu umenivunjia ndoa yangu halafu unanitukana eti nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!
Mzigo nilikuwa nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitoridhika Ila nataka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha hivi hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka halafu watesi wao wakala bata tuu.
Hiyo michezo inaisha lini kama dunia ya leo unasikia mke wa mtu mwenye umri wa miaka 55, amefumaniwa na kuachwa?!!Jamani msiolewe kabla hamjamaliza michezo mtakuja mfe
Maisha ni mafupi sana ndugu yangu. Nakushauri achana na revenge ya kuwaumiza. The best revenge ni KUKAA KIMYA, PRETEND KAMA HAKUNA WALICHOKUFANYA. Inataka moyo wa jiwe sio rahisiMgoni wangu umenivunjia ndoa yangu halafu unanitukana eti nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha!
Mzigo nilikuwa nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitoridhika Ila nataka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake za watu kwa dharau.
Na wife wangu ujiangalie sitokuacha hivi hivi you will pay for it.
Mimi na Watoto wangu hawawezi teseka halafu watesi wao wakala bata tuu.
Ntakuletea mrejesho ntakachomfanya mgoni mwezio
Kisasi ni Cha Mungu, piga chini, chapa lapa
Af hata sio lazima Mungu amlipie.
Wakati fulani haya mambo hata Mungu hayatazami kama tunavyoyatazama.
Ndo alisema.Kisasi ni changu.
Mungu ana namna yake ya kufanya mambo hata haifanabi na sisi wanadamu.
We wakati unafkr Mungu atamlipa,kumbe mwenzio ameshatengeneza na Muumba wake anaishi katika neema ya Msamaha
So tusiwe tunatarajia sana kuona mateso ya watesi wetu.
Mungu yeye ndo anajua kwa haki hasira aipatilize wapi.
Sio kila ndoa ni mpango wa Mungu.
Sio kila ndoa.lazima iishe na kifo.
Sio kila ndoa lazima ikuletee neema.
Some.of marriages ni njia zetu za kupita kwenda ilipo destiny.
Inahitaji akili Njema sana kuelewa hii.
Unaweza kuwa udhaifu machoni kwa wengine lakin out of it kuna Uimara mkubwa sana.
Af hata sio lazima Mungu amlipie.
Wakati fulani haya mambo hata Mungu hayatazami kama tunavyoyatazama.
Ndo alisema.Kisasi ni changu.
Mungu ana namna yake ya kufanya mambo hata haifanabi na sisi wanadamu.
We wakati unafkr Mungu atamlipa,kumbe mwenzio ameshatengeneza na Muumba wake anaishi katika neema ya Msamaha
So tusiwe tunatarajia sana kuona mateso ya watesi wetu.
Mungu yeye ndo anajua kwa haki hasira aipatilize wapi.
Sio kila ndoa ni mpango wa Mungu.
Sio kila ndoa.lazima iishe na kifo.
Sio kila ndoa lazima ikuletee neema.
Some.of marriages ni njia zetu za kupita kwenda ilipo destiny.
Inahitaji akili Njema sana kuelewa hii.
Unaweza kuwa udhaifu machoni kwa wengine lakin out of it kuna Uimara mkubwa sana.
Mkuu una filosophia kali sana.Af hata sio lazima Mungu amlipie.
Wakati fulani haya mambo hata Mungu hayatazami kama tunavyoyatazama.
Ndo alisema.Kisasi ni changu.
Mungu ana namna yake ya kufanya mambo hata haifanabi na sisi wanadamu.
We wakati unafkr Mungu atamlipa,kumbe mwenzio ameshatengeneza na Muumba wake anaishi katika neema ya Msamaha
So tusiwe tunatarajia sana kuona mateso ya watesi wetu.
Mungu yeye ndo anajua kwa haki hasira aipatilize wapi.
Sio kila ndoa ni mpango wa Mungu.
Sio kila ndoa.lazima iishe na kifo.
Sio kila ndoa lazima ikuletee neema.
Some.of marriages ni njia zetu za kupita kwenda ilipo destiny.
Inahitaji akili Njema sana kuelewa hii.
Unaweza kuwa udhaifu machoni kwa wengine lakin out of it kuna Uimara mkubwa sana.
Lmfao [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Mgoni tulia kwanza umeshavunja ndoa ya watu.
Big up , positive thoughtsNiligundua mke wangu anatoka na jamaa fulani anaetumia gari ya serikali kama ndoano,nilichofanya ni kumuacha mwanamke aende zake,siwezi gombana na mwanaume kisa mwanamke never ever.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee ni boya
Ili uendelee kutupigiaBig up , positive thoughts
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Ili uendelee kutupigia
Big NOKisasi ni Cha Mungu, piga chini, chapa lapa