Kifuatacho ni Kubinafsisha usafiri wa treni. Biashara za walioko Ikulu

Kifuatacho ni Kubinafsisha usafiri wa treni. Biashara za walioko Ikulu

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Tulishafahamu mapema pale yule jamaa wa National housing alipopelekwa kuwa msajili wa hazina. Eti Mchechu ndiye msajili wa hazina! Mtu asiye na ethics. Mtu aliyewekwa na Luhanjo. Luhanjo aliyemleta Katibu mkuu kiongozi mpya toka Iringa.

Sasa kila mtu anahaha. Tukisema Iringa wengine watajisikia vibaya hata kama hawajaonekana kwenye teuzi.

Sasa kinachofuata jamani ni kubinafsisha usafiri wa treni. Mabehewa binafsi ya marais wastaafu, mawaziri na wabunge fulani hivi. Na kutakuwa na mikataba fulani ya kimagumashi ili serikali iwalipe wakipata hasara. Sikieni nawaambia hili linakuja.
 
Mlima Kilimanjaro ile Hela imekaa Bure Bure tu pale waubinafsishe.
 
Tulishafahamu mapema pale yule jamaa wa National housing alipopelekwa kuwa msajili wa hazina. Eti Mchechu ndiye msajili wa hazina! Mtu asiye na ethics. Mtu aliyewekwa na Luhanjo. Luhanjo aliyemleta Katibu mkuu kiongozi mpya toka Iringa.

Sasa kila mtu anahaha. Tukisema Iringa wengine watajisikia vibaya hata kama hawajaonekana kwenye teuzi.

Sasa kinachofuata jamani ni kubinafsisha usafiri wa treni. Mabehewa binafsi ya marais wastaafu, mawaziri na wabunge fulani hivi. Na kutakuwa na mikataba fulani ya kimagumashi ili serikali iwalipe wakipata hasara. Sikieni nawaambia hili linakuja.
Naomba kumfahamu katibu mkuu Mpya kutoka Iringa!...
 
Wabunge wanaongea kwa tumia HAMASA na kufukuzia TEUZI badala ya kutumia WELEDI
Huku mitaani kuna WASOMI wa kila aina kuliko huko bungeni hivyo lazima wajue kuwa kila wanachoongea na kuchambua watu huku mitaani wanafanyia PERFORMANCE APPRAIAL kwa maslahi mapana ya Tanganyika.
 
Baada ya Bandari yetu
nashauri
Kituo kinachofuata
sasa iwe IKULU
kwa kweli tunahitaji mwekezaji ili kuleta ufanisi pia
 
Back
Top Bottom