Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 374
- 484
Kilichobaki ni amani kutoweka miaka michache ijayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wote Tz tutumikishwe kama zamani mie namwomba Rais wetu anibinafsishe mahali itakuwa poa maana hakuna jipya chini ya jua Bora nikawatumikie waarabu tu wasimsahau Mpwayungu Village huyu ni best yangu kanita tahira mzabzab huyu anazingua akibinafsishwa tutashukuru Carasco Putin huyu anajua mamboo na huyu Hana kazi kabisa Equation x
Huna faida hata nilishakuja darUnataka niuzwe kwa waarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Huna faida hata nilishakuja dar
Sasa wewe unataka uwe unakatwa Kodi Ili kugharamia treni ambalo halina faida kwangu?Tulishafahamu mapema pale yule jamaa wa National housing alipopelekwa kuwa msajili wa hazina. Eti Mchechu ndiye msajili wa hazina! Mtu asiye na ethics. Mtu aliyewekwa na Luhanjo. Luhanjo aliyemleta Katibu mkuu kiongozi mpya toka Iringa.
Sasa kila mtu anahaha. Tukisema Iringa wengine watajisikia vibaya hata kama hawajaonekana kwenye teuzi.
Sasa kinachofuata jamani ni kubinafsisha usafiri wa treni. Mabehewa binafsi ya marais wastaafu, mawaziri na wabunge fulani hivi. Na kutakuwa na mikataba fulani ya kimagumashi ili serikali iwalipe wakipata hasara. Sikieni nawaambia hili linakuja.
Yes tokea juziUpo dar sema kweli basi