Kifuatacho ni Kubinafsisha usafiri wa treni. Biashara za walioko Ikulu


Unataka niuzwe kwa waarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Sasa wewe unataka uwe unakatwa Kodi Ili kugharamia treni ambalo halina faida kwangu?
 
Kwan reli ya Tazara wasipewe wachina ili waiendeshe kwa ufanisi
 
Hiyo train itauwa sana raia na mifugo ambao itakuwa chanzo cha delays kila uchao. Ngumu kuelewa kwa sasa, halafu atujawahi endesha mfumo wa line inayotumika frequently ni for passengers and cargo.

Yaani hapo management consultant ni lazima kabla ya kuanza kuitumia rasmi kwa mambo mengi sana vinginevyo ni vurugu machi. Kwa Tanzania huwa tunasubiri athari kwanza; halafu maamuzi ndio yanafuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…