Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Kwakweli, dah!!!
 

Kwakuwa Kimenuka kawakataa mazima😀😀😀
 

Kwakuwa Kimenuka kawakataa mazima
Kama unamaanisha mimi pole sana! UMEKOSEA! Soma mwisho wa mada na kichwa cha habari nilichoweka
Mimi nimeileta hapa kama mjadala huru..!
 
Kiukweli kifungo sio kizuri kabisa !Hata Paulo alisema kwenye Biblia alipoulizwa na Mkuu ,je wataka kujifanya niwe mkristo?Paulo akajibu si wewe tuu hata Hawa wote,isipokuwa mnyororo (pingu)na kifungo hiki.Mungu na atuepushe,kutekwa,kifungo nk.Tuishi kwa Upendo na Amani.
 
Swali dogo tu kwako Mkuu, umewah fungiwa walau lock up masaa 6. Hakuna kitu kibaya kama kukosa uhuru, pia hawa watKUwa wanawaza tumefungwa maisha (forever) disturbance na mtikisiko wa akili wake sio wa kitoto
 

Ni kweli lakini kwa mazingira ya tukio hili ni ngumu sana kupata ushahidi usio na shaka!
 
Sifa ya kwanza inayomtambulisha mkristo ni kutokuwa na akili ya kufikiri yeye ni mtu wa kushikiwa akili tu mfano hata mimi leo nikisema usiku wa leo nilienda mbinguni na nimekula ugali na Yesu na kanituma nije kuwa nabii wewe Lupweko lazima uje kusali kanisani kwangu
 
Kifungo cha maisha robo yake ni ipi mkuu?😁
Kifungo cha maisha haimaanishi kwamba utakaa jela mpaka siku ya parapanda.....bali utaishi jela maisha yako yote mpaka muumba atakapo mtuma Israel kuitwaa roho yako...sasa ili kupata robo ya kifungo cha maisha.....unachukua life expectancy ya mbongo unafanya kama ndio miaka aliyohukumiwa then unaifanya robo yake......
 
Kwahiyo inakuwa mingapi hapo?
 
kumbe kuna kam2hezo kamechezwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…