Mandela5599
Member
- Jul 28, 2020
- 93
- 306
Logic questionYule afande aliyewatuma yuko wapi? na yeye kafungwa mingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Logic questionYule afande aliyewatuma yuko wapi? na yeye kafungwa mingapi?
Sure ni utoto aseeAkili za kitoto zimewaponza wacha wakatulie huko kwanza 2060 watapata msamaha kama watakua hai..
1. Mshana, hakuna masononeko kama kukosa UHURU Man is born to be free! Ukikoa kuwa hru heri kufa!Hii sio good news ever.
Labda huelewi.
Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.
1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.
2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.
- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.
4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.
Huyu anaenda kustarehe...
ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.
Mtakuja kuniambia.
Nilitegemea wafungwe miaka 30
Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.
Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.
PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
MnachihanguuuSiku watakayomrekodi mtu wako wa karibu anabakwa kwa mfumo ule utajua ni hisia au sio hisia
Ilitakiwa waliwe vichwa wale wahuni hukumu wamepata ndogo kwa sababu hukumu ya kuliwa vichwa hakuna kwa hii ya kesi.Wabaki hukohuko
Msamaha wataupata mbinguni.
Life expectancy ya Tanzania ni 65 kwa walalahoi.....sijui kwa wenzetu wanaokula milo mitatu inakuwa ngapi.....hiyo 65 fanya robo yakeKwahiyo inakuwa mingapi hapo?
Siku ya parapanda ,Muumba kumtuma Israel, hizo ni hadithi ambazo sio kila mtu anapaswa kuziamini.Kifungo cha maisha haimaanishi kwamba utakaa jela mpaka siku ya parapanda.....bali utaishi jela maisha yako yote mpaka muumba atakapo mtuma Israel kuitwaa roho yako...sasa ili kupata robo ya kifungo cha maisha.....unachukua life expectancy ya mbongo unafanya kama ndio miaka aliyohukumiwa then unaifanya robo yake......
Sawa tuachane na mambo ya parapanda.......Siku ya parapanda ,Muumba kumtuma Israel, hizo ni hadithi ambazo sio kila mtu anapaswa kuziamini.
Kwa huu unywaji wa visungura life expectancy ya bongo siwatatoka kesho tu mkuu?
😁
Mmh!Life expectancy ya Tanzania ni 65 kwa walalahoi.....sijui kwa wenzetu wanaokula milo mitatu inakuwa ngapi.....hiyo 65 fanya robo yake
Mambo ya Sheria hayoIlitakiwa waliwe vichwa wale wahuni hukumu wamepata ndogo kwa sababu hukumu ya kuliwa vichwa hakuna kwa hii ya kesi.
Ndio wanaweza kutoka kwenye macho ya sheria linaweza kutokea lolote...... kwenye Sheria zinasimama hoja na sio mihemko na vilio.......Mmh!
Kwahiyo ni kweli watatoka jela?
Adhabu sahihi ilikua kifo bahati Yao wanaishi nchi ya raisi mzembe hao ilikua ni kuchinja tu na mabisu makali Tanzania mnahuruma sanahii hatar yn kunawa bd hawajardhika na hii adhabu yn nawaza tu kifungo cha maisha yn kukaa chini ya mtu maisha yk yote no watoto no sex yn kilaa kitu yn bado watu hawaridhiki tuoche roho mbaya
Hivi kumbe walioko jela hawaruhisiwi hayo yote?hii hatar yn kunawa bd hawajardhika na hii adhabu yn nawaza tu kifungo cha maisha yn kukaa chini ya mtu maisha yk yote no watoto no sex yn kilaa kitu yn bado watu hawaridhiki tuoche roho mbaya
AiseeeNdio wanaweza kutoka kwenye macho ya sheria linaweza kutokea lolote...... kwenye Sheria zinasimama hoja na sio mihemko na vilio.......
Hivi Tz adhabu za kifo huwa zinatekelezwa kweli?Adhabu sahihi ilikua kifo bahati Yao wanaishi nchi ya raisi mzembe hao ilikua ni kuchinja tu na mabisu makali Tanzania mnahuruma sana
Tundu Hilo Hilo ukiliingia bila ruhusa UNAKULA nyundo.Kosa la kubaka halina hukumu nyingine zaidi ya hiyo