Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Hii sio good news ever.

Labda huelewi.

Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.

1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.

2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.

- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.

4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.

Huyu anaenda kustarehe...

ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.

Mtakuja kuniambia.

Nilitegemea wafungwe miaka 30

Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.

Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.

PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
1. Mshana, hakuna masononeko kama kukosa UHURU Man is born to be free! Ukikoa kuwa hru heri kufa!

2. RUFAA: Ushihidi sijasoma hukumu partucularly MWENEDO WA KESI..CASE RECORD, lakini kutokana na briefing ya Wakili Mwasonga, likeyhood ya kuachiwa ni kubwa!

Sikiliza hii clip fupi

View: https://x.com/i/status/1840811237396959556
 
Kifungo cha maisha haimaanishi kwamba utakaa jela mpaka siku ya parapanda.....bali utaishi jela maisha yako yote mpaka muumba atakapo mtuma Israel kuitwaa roho yako...sasa ili kupata robo ya kifungo cha maisha.....unachukua life expectancy ya mbongo unafanya kama ndio miaka aliyohukumiwa then unaifanya robo yake......
Siku ya parapanda ,Muumba kumtuma Israel, hizo ni hadithi ambazo sio kila mtu anapaswa kuziamini.

Kwa huu unywaji wa visungura life expectancy ya bongo siwatatoka kesho tu mkuu?
😁
 
Siku ya parapanda ,Muumba kumtuma Israel, hizo ni hadithi ambazo sio kila mtu anapaswa kuziamini.

Kwa huu unywaji wa visungura life expectancy ya bongo siwatatoka kesho tu mkuu?
😁
Sawa tuachane na mambo ya parapanda.......

Wewe hujui kuwa mama kaongeza miaka ya kuishi kutoka 56 mpaka 65 kwa walalahoi.......kwa wenzetu wanaokula milo mitatu inaweza kuwa zaidi ya hiyo.......kule ngome hakuna visungura
 
Kama hujawahi kukaa rumande angalao siku 3 basi kila hukumu kwako ni ndogo.
Kwa mtu timamu kabisa kufungwa hata mwezi ni adhabu ya nguvu na inaharibu saikolojia vibaya mno.
Niliwahi kukaa msimbazi siku 5, nilivyotoka akili haikuwa sawa mwezi mzima.
 
lazima iwaumize akili, fikiria unapangiwa muda wa kulala wa kuamka wa kula tena s ajabu ukichelewa kula imetoka hiyo huoni nje huwez kwenda kwa mshakj wako ukarefresh mind yani circle yako ni ndogo ni hapohapo aloo lazma ujutie moyoni. hakuna kitu kizur kama kua huru kufanya chochote kwenda unakotala ndugu watakua wanakuja kukuona lakini watachoka kuna siku watafululiza hutawaona na uliewazoea s ajabu wasije kabisa
 
hii hatar yn kunawa bd hawajardhika na hii adhabu yn nawaza tu kifungo cha maisha yn kukaa chini ya mtu maisha yk yote no watoto no sex yn kilaa kitu yn bado watu hawaridhiki tuoche roho mbaya
 
hii hatar yn kunawa bd hawajardhika na hii adhabu yn nawaza tu kifungo cha maisha yn kukaa chini ya mtu maisha yk yote no watoto no sex yn kilaa kitu yn bado watu hawaridhiki tuoche roho mbaya
Adhabu sahihi ilikua kifo bahati Yao wanaishi nchi ya raisi mzembe hao ilikua ni kuchinja tu na mabisu makali Tanzania mnahuruma sana
 
hii hatar yn kunawa bd hawajardhika na hii adhabu yn nawaza tu kifungo cha maisha yn kukaa chini ya mtu maisha yk yote no watoto no sex yn kilaa kitu yn bado watu hawaridhiki tuoche roho mbaya
Hivi kumbe walioko jela hawaruhisiwi hayo yote?
Je, vipi kama ni mwanamke, akahukumiwa akiwa tayari mjamzito?
Huwa inakuwaje hapo?
Mnaojua Sheria tuelimishe.
 
Back
Top Bottom