Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kilichobaki ni kuomba Mungu wasitokeTuna frahi hapa wahuni wanaenda kutoka kwenye Appeal.afu nikurekebishe hawaendi ku Appeal moja kwa moja court of appeal ..hapa wata anzia ku Appeal HIGH COURT kwa sababu case ilikua Resident Magistrate court
Hii kesi wakikata rufaa kama rufaa yao ikichukua muda mrefu au mpaka mwakani nyakati za mambo mengii wanakuwa mtaa hawa raia....Na Mimi nimefikitia hivyo hivyo! Kweli walistahili Adhabu, lakini Serikali ilikuwa inataka kupunguza Hasira za Wananchi! Ndio maana Kesi imeendeshwa fasta ! [emoji848]
Ila kwanini tuwaombee wasitoke kama taratibu hazijafuatwaaaa.Kilichobaki ni kuomba Mungu wasitoke
Sio Tanzania hii. Kuna sheria nyingi zinakizana na katiba na mahakama inaelekeza serikali kupitia vifungu na wala serikali haifanyi hivyo.Hivi Wewe una kiwango gani cha Elimu??
Mbona una kichwa kigumu namna hii?
Naamini hali hiyo uliyonayo inatokana na kuwa na elimu ya kutoka shule za kayumba, hili ndiyo tatizo ulilonalo. Je, umesoma hiyo Ibara ya 45 ya Katiba niliyokuwekea hapo juu??? Hivi kwa akili yako unafikiri kwamba hiyo Sheria yako uliyonukuu ipo juu ya Katiba ya nch??
Kwa taarifa yako: Kutokana na mifumo ya Sheria ilivyo duniani kote kabisa, Sheria yoyote ile inayokinzana na Katiba ya nchi husika Basi Sheria hiyo inakuwa BATILI KWA UJUMLA WAKE.
Aidha, kifungu chochote kile cha Sheria yoyote ile ambacho kinapingana na matakwa ya Katiba ya nchi Basi Kifungo hicho cha Sheria kinakuwa BATILI, badala yake matakwa yaliyopo kwenye Katiba ya nchi husika ndiyo yatazingatiwa.
Sasa hiyo Sheria yako uliyonukuu na Katiba ya nchi nani ni mkubwa zaidi kwa mwenzake??
Wanadhani rufaa ni lelemama kwa makosa kama haya. Hawachomoki hawa.Kilichobaki ni kuomba Mungu wasitoke
Tatizo ni kuthibitisha uhusika wa aliyewatuma....je Kuna ushahidi kuwa kawatuma. Hata wakimtaja aliyewatuma Kama hawana ushahidi maneno yao tu hayatoshi kumtia hatiani.Kuna uwezakano hao mkubwa katika kukata rufaa hao jamaa wakaachiwa au kupunguziwa adhabu .
Nilichokiona hapo ni swala la kuifurahisha jamii na sio weredi.
Mfano huyo Afande aliyewatuma wameshindwa vipi kumkamata na kumuunganisha katika hiyo kesi.
Then kumlipa muathirika mil 4 ni hela ndogo Sana.
Umeona kwa usahihi.Adhabu za namna hii huwa sio lazima zimfunze mtenda kosa, bali kuifundisha jamii kwa ujumla kuhusiana na makosa husika na pia kuionyesha jamii kwamba haki imetendeka kwa victim
Hii kesi ilitaka kupotezewaIla kwanini tuwaombee wasitoke kama taratibu hazijafuatwaaaa.
Nadhani tungoje tuone kwanza rufani yao itapokelewa kama wakikataa ama laa
Iwe hivyo tu aiseeWanadhani rufaa ni lelemama kwa makosa kama haya. Hawachomoki hawa.
Kuthibitisha kama uletumwa kwa mdomo tu sio kielelezo cha kumtia mtu hatiani.Hii kesi ilitaka kupotezewa
Hadi watu walivyopaza sauti zao sana.
Wasije wakawa wanapanga uovu nyingine kuipangua..
Halafu na aliyewatuma naye mbona kaachwa?au anafuata naye baadaye?
Vyovyote iwavyo
Mimi namuomba Mungu wasitoke
Watumikie kwanza upuuzi wao.
Soma hiyo Ibara ya 45 ya Katiba ya Tanzania.Raisi hatoi msamaha kwa utashi waki, anatoa kulingana na sheria ya magereza na masharti yake. Na baadhi ya makosa huwezi kuachiwa kwa msaada wa raisi
Wameshindwa kumfuatilia kweli!?Kuthibitisha kama uletumwa kwa mdomo tu sio kielelezo cha kumtia mtu hatiani.
Hao mawakili wenyewe sidhani kama watapoteza muda wao kukata rufaa kwa kesi kama hii. Kwa hela gani walizokuwa nazo hao vijana. Kama wamerubuniwa tu kwa vijisenti wakafanya huo upuuzi watatoa wapi hela ya kuwalipa mawakili kwenye rufaa?Iwe hivyo tu aisee
Wasitoke ili haki iwe haki.
Afande aliyewatuma si yupo?Hao mawakili wenyewe sidhani kama watapoteza muda wao kukata rufaa kwa kesi kama hii. Kwa hela gani walizokuwa nazo hao vijana. Kama wamerubuniwa tu kwa vijisenti wakafanya huo upuuzi watatoa wapi hela ya kuwalipa mawakili kwenye rufaa?
Soma hiyo Ibara ya 45 ya Katiba ya Tanzania.
1. Rais Magufuli alimwachia huru Babu Seya kwa kupitia Ibara hii hii.
2. Rais J.M. Kikwete aliwaachia huru wale wafungwa waliokuwa Askari Polisi ambao walihusika katika kumuua aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) Bw. Kombe kwa kupitia Ibara hii hii.
Afande mwenyewe kabda atakuwa kala kona muda mrefu.Afande aliyewatuma si yupo?
Kuna uwezekano akawasaidia
Rufaa ni haki yao kikatiba,wala hakuna anaewakataza wasikate rufaa,na unaweza kuta huko kwenye rufaa vikaiibuliwa vitu vipya ambavyo vitafanya kesi iwe tamu zaidi au chungu zaidi! Lolote lile linawezekana!!Si week mbili hata siku mbili kesi inamalizika mkuu.
Inategemea aina ya kesi na hukumu yake.
Kwenye hii kesi ukiachia pressure hawa viumbe wanaweka kata rufaa na wakatoka kwa kipengele kidogo sanaaa.
Trust me
mkuu sipo kutetea mtu maana sifurahishwi na makosa kwenye jamii ila naandika kwa ufahamu
Sahihi kabisa na kesi imekosa uwianoo.Rufaa ni haki yao kikatiba,wala hakuna anaewakataza wasikate rufaa,na unaweza kuta huko kwenye rufaa vikaiibuliwa vitu vipya ambavyo vitafanya kesi iwe tamu zaidi au chungu zaidi! Lolote lile linawezekana!!
Aisee watu hawana jema, na ingechukuwa muda mrefu wangelaumu Tena.Tatizo lenu mmekariri kua kesi lazima ichukuwe muda mrefu kuisha, sasa kama uchunguzi umekamilika hata.week mbili zinatosha kumaliza kesi!!
Labda kama walinasa maongezi yao kupitia Tcra hapo kidogo mtumaji anaweza kua na kesi ya kujibu!!Wameshindwa kumfuatilia kweli!?