Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Kifungo cha maisha kwa wabakaji waliotumwa na afande siyo habari njema

Hii sio good news ever.

Labda huelewi.

Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.

1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.

2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.

- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.

4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.

Huyu anaenda kustarehe...

ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.

Mtakuja kuniambia.

Nilitegemea wafungwe miaka 30

Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.

Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.

PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X

Watatoka kwa rufaa, but something is better than nothing, itawatisha vijana wengine kuogopa kujaribu huo ujinga
 
Leo umeandika kama 20 years old bro
Nisamehe kwa hilo
Labda hujawahi kufungwa au kupata msongo wa mawazo
Umewahi kujifungia ndani hata siku 2 tu ukaona kuta nne ni mbaya?
Imagine wanakaa miaka kwenye jengo moja bila kuwa na uhuru
Hiyo tu psychologically na mentally unaumia sana
Kuna jela duniani wanapewa kila kitu tena kila mfungwa na chumba chake na Choo na tv lakini uhuru wa kutoka nje hakuna
Wewe wife akuambie usitoke leo uone utakavyo haha
 
Walimdo saana yule binti, hatujui round ngapi za mbele na nyuma.
Wacha apate ahueni kwa kulipwa 4m zao, afu wao wakanyee ndoo hadi kifo kiwatenganishe na Dunia.
 
Wee mshana umefikiria kabla ya kuandika...? Yaaani ukafungwe jela halafu useme wananufaika kulalia godoro na kutofanya kazi ngumu nk...?😅😂 Umeandika kama zuchu leo
 

Leo umeandika kama 20 years old bro
Nisamehe kwa hilo
Labda hujawahi kufungwa au kupata msongo wa mawazo
Umewahi kujifungia ndani hata siku 2 tu ukaona kuta nne ni mbaya?
Imagine wanakaa miaka kwenye jengo moja bila kuwa na uhuru
Hiyo tu psychologically na mentally unaumia sana
Kuna jela duniani wanapewa kila kitu tena kila mfungwa na chumba chake na Choo na tv lakini uhuru wa kutoka nje hakuna
Wewe wife akuambie usitoke leo uone utakavyo haha
Ni makala ya Eng. Matarra wa Twitter X nimeileta hapa kujadiliwa.. Mwisho wa mada nimemtaja waziwazi
 
Hii sio good news ever.

Labda huelewi.

Kifungo cha maisha/Life sentence (L.S) haitawafundisha kitu hawa vijana. Kwanini nasema hivi.

1. L.S hawafanyi adhabu nje ya ngome ambazo ndio ngumu kumrekebisha mhalifu. Wao ni watu wa ndani tu kula na kulala. Wanaohukumiwa adhabu chini ya kifungo cha maisha, mfano niliyopata hupokea adhabu kali za nje ya ngome.

2. L.S hawalalii virago vibovu, wao magodoro na blanket ni nzuri na hawalali mabweni (Cells) zilizochakaa wao ni second high class baada ya #condemned.

- Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela

3. Kulingana na sheria zetu hawa wakikaa miaka 20 wanaachiwa like hawakufanya lolote vile, sawa wanakuwa wamepoteza lkn hiyo 4m anayopewa victim haitamsaidia kitu, nikwambie na wakitoka huyo victim atakuwa 40'yrs old na hilo kwake halitakuwa limesahaulika.

4. Mind you huku uraiani ukiwa Public servant ukafanya kosa unachukiwa na kuzomewa ILA ukiingia JELA wewe ni Top Boss siku si chache atapewa mkanda na ataheshimiwa maana kule hakuna anayedeal na ulichofanya uraiani.

Huyu anaenda kustarehe...

ISITOSHE ana rufaa huyu akienda COURT OF APPEAL tutamuona uraiani nimesoma ground za kushinda ni nyingi kwasbb ya ubovu wa sheria zetu.

Mtakuja kuniambia.

Nilitegemea wafungwe miaka 30

Ambayo hii ukiappeal kwenda Court of Appeal kulingana na makosa yao wangekaa gerezani km miaka 5 hivi ndio waitwe Mahakamani.

Kwahiyo km wangepewa sentence ya 30's wangefanya adhabu za nje zote ngumu pia wangekuwa na vigezo vya kupelekwa magereza ya adhabu km kule Songea, mpk wanakuja kuitwa Mahakama wamenyooka.

PILI, ikitokea rufaa imegoma inawapandisha kifungo cha maisha ambapo napo kutoka ni mtihani
Credit: Eng_Matarra X
Baada ya muda wanakata rufaa wanashinda kesi wanaachiwa huru imeisha hiyoo
 
Ile video ya binti akimuomba msamaha Afande, probably walimtumia Afande ili kumuonyesha kazi nzito ya kishetani ilipofikia.
Sasa kweli anashindwa kukamatwa?
Watu wa sheria hii imekaaje jamani?
Jeshi letu la Polisi na waendasha mashitaka ni chaka la Ujambazi. Kama umesikiliza clip ya mahojiano na wakili wa waliohukumiwa, Kuna makosa ya makusudi kwenye jalada la mashitaka. Unaweza je kuandika tarehe bila mwaka au siku bila saa. Hapo walicho kifanya ni kuacha loop holes makusudi ili wakili wa utetezi upande wa watuhumiwa atumie makosa hayo kukata rufaa na kushinda.
 
Jeshi letu la Polisi na waendasha mashitaka ni chaka la Ujambazi. Kama umesikiliza clip ya mahojiano na wakili wa waliohukumiwa, Kuna makosa ya makusudi kwenye jalada la mashitaka. Unaweza je kuandika tarehe bila mwaka au siku bila saa. Hapo walicho kifanya ni kuacha loop holes makusudi ili wakili wa utetezi upande wa watuhumiwa atumie makosa hayo kukata rufaa na kushinda.
Wasije wakawa wamefanya huu mchezo ili baadaye watuhumiwa watoke
 
lazima iwaumize akili, fikiria unapangiwa muda wa kulala wa kuamka wa kula tena s ajabu ukichelewa kula imetoka hiyo huoni nje huwez kwenda kwa mshakj wako ukarefresh mind yani circle yako ni ndogo ni hapohapo aloo lazma ujutie moyoni. hakuna kitu kizur kama kua huru kufanya chochote kwenda unakotala ndugu watakua wanakuja kukuona lakini watachoka kuna siku watafululiza hutawaona na uliewazoea s ajabu wasije kabisa
umesahau, papuchi huioni tena kwa macho, achiliq mbali kuichapa 😄. Bwana bwana jela sio wakuu
 
Wale bado vijana watatoka wakiwa vijana kabisa........

Nadhani watakata rufaa alafu watapambania walau walimwe miaka 30.....

Miaka 30 watatumikia pengine miaka 20 au chini ya hapo...... hivyo watatoka wakiwa kwenye 40's hivi hivyo angali vijana wenye nguvu na uwezo wa kuanzisha familia.....
Imagine utumie your 20's and 30's behind bars kwa sababu ya papuchi mnato tu, tena ya hovyo hovyo tu.
 
Mkuu wa Magerez Ukonga apandishwa mahakamani kwa kesi ya rushwa na ya kufoji ma docuemt.

Aliandika addendum ( nyongeza) ya listi ya majina ya msamaha wa wafungwa. Ikasoma inatoka kwa Katibu Mkuu Mambo ya Ndani.

Wachina watatu walitoa milioni 45 ili wanyopolewe kwenye kifungo Ukonga. Baada ya kuona hawatoki lawyet wao akafuatilia. Afande akataka waongeze milioni 18. Wakagoma. Kikasanuka!

Vyombo vya Ulinzi wakafuatilia wakakuta hakuna barua ya msamaha kutoka kwa Katibu Mkuu Mambo ya Ndani kusamehe wachina watatu. Mkuu wa Megereza pamoja na wenzake wawili wako Lupango.

My first ever compliment to the goverment on fighting public service corruption at high places.
Ukiskia ntu ya dili, ndo huyo mkuu wa gereza sasa 😄, Ni basi tu ili backfire, lkn alikua anaiona harrier hii hapa
 
tunaomba tuione hiyo hukumu iliyo wafunga kifungu cha maisha
 
Back
Top Bottom