Naandaa mchaichai na tangawizi napenda viazi vitamu
Ukitoka hapo ni mwendo wa kusinzia tu[emoji23][emoji23]
Feysher mambo vipi
Mkuu, asubuhi yote hii unawaza kiwele...!!??Ila huo mchanganyiko hapo ukifyatua yabisi inakuwaga kubwa sana
Mazao ya siku hizi yana maumbo na sura za utatanishi sana!Huku kwentu tunayaita manumbu....
Kitu safi sana kwa matumizi ya asubuhiView attachment 1252529
Labda kwasababu ya mabadiliko ya hali ya hewa mkuu....teh[emoji23]Mazao ya siku hizi yana maumbo na sura za utatanishi sana!
Madhara G M O haya.Labda kwasababu ya mabadiliko ya hali ya hewa mkuu....teh[emoji23]
Una dhamira mbili mkuu kwenye hiyo picha nimekushtukiaHuku kwentu tunayaita manumbu....
Kitu safi sana kwa matumizi ya asubuhiView attachment 1252529
Sina dhamira mbaya mkuu, nakushauri ufikirie mazuri tu...teh[emoji23]Una dhamira mbili mkuu kwenye hiyo picha nimekushtukia