Kifungua kinywa ni chakula muhimu sana. Tamaduni zote huwa na chakula chenye virutubisho

Wale wa kiporo Cha wali maharage na mchuzi wa nyama tupo
 
Naandaa mchaichai na tangawizi napenda viazi vitamu
Vyote vikiwa vibichi au unavikausha na kuvifanya unga ?

Binafsi sijaona wa kumpiku chapati kwenye kifungua kinywa ila naweza kula chochote kilichopo kwa roho upande
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…