Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Wale wa kiporo Cha wali maharage na mchuzi wa nyama tupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una lako jambo comradeHuku kwentu tunayaita manumbu....
Kitu safi sana kwa matumizi ya asubuhiView attachment 1252529
Sawa mkuuSina dhamira mbaya mkuu, nakushauri ufikirie mazuri tu...teh[emoji23]
Comrade, ujuwe leo kila mmoja ameamua kunitazama kwa tafasiri hasi tu..... Huku kwetu viazi ndio tunatumia kama kitafunwa hasa kwenye kifua kinywa karibu kila siku inayo pita moja.Wewe una lako jambo comrade
Vyote vikiwa vibichi au unavikausha na kuvifanya unga ?Naandaa mchaichai na tangawizi napenda viazi vitamu