Kifurushi cha siku 7: Je, mtani huu mziki anauweza?

Huyo mtani asifuruge rekodi ya nchi kuingiza timu mbili robo fainali kwenye michuano mikubwa barani afrika. Anachotakiwa ni kumfunga muarabu nchi iendeleze furaha
 
Huyo mtani asifuruge rekodi ya nchi kuingiza timu mbili robo fainali kwenye michuano mikubwa barani afrika. Anachotakiwa ni kumfunga muarabu nchi iendeleze furaha
 
Teseka kivyakoooo, usituhusisheee, sisi sio shida zetu hizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], poleeeeeeeeeh
Your browser is not able to display this video.
 
Kwani idadi ya magoli inakupeleka wapi, kinachotakiwa ni kufuzu hizo nyingine ni mbwembwe tu
 
Leo ni zamu ya uwanja kunajisiwa na taifa kupata aibu.
Ila kusema kweli sijawahi kuwaombea mazuri hawa ndugu zangu deportivo utopwinyo, wacha waunajisi uwanja tu sisi tutasafisha.
 
Leo ni zamu ya uwanja kunajisiwa na taifa kupata aibu.
Ila kusema kweli sijawahi kuwaombea mazuri hawa ndugu zangu deportivo utopwinyo, wacha waunajisi uwanja tu sisi tutasafisha.
Walishawahi kuunajisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ