soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,341
- 2,113
Mpewe tu pesa zenu๐๐๐Sisi simba tumekubaliana tulipwe kidogo kidogo. Hatukudhamiria kukausha hazina๐๐
Ilikuwa surprise jana.. aende akaongeze helaMsigwa atakuwa alienda na milioni15 tu, zile burungutu sio milioni35..... leo wataenda bank wamalizie kibunda, walijua kama tutashinda ni3 sasa ile mvua ya magoli hawakuwa na namna
Teseka kivyakoooo, usituhusisheee, sisi sio shida zetu hizo.
Tushapataaa kitamboooo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo 35mil wameshapata au bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na bado mwarabu kaja ni kiwembe kikali kuwakeketa leo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiiiiSisi simba tumekubaliana tulipwe kidogo kidogo. Hatukudhamiria kukausha hazina[emoji23][emoji23]
Kwani idadi ya magoli inakupeleka wapi, kinachotakiwa ni kufuzu hizo nyingine ni mbwembwe tuGood morning Tanganyika!
Leo sisi ni shangwe tu Maana akishinda SIMBA limeshinda taifa na huu sio ushindi wa kawaida ni ushindi wa kumfunga mgeni goli nyingi kwenye mechi ya kimataifa. Na si mechi ya kirafiki.
Shirikisho la mpira Africa CAF hawakusubiri kukuche. Wameupa thamani ya pekee ushindi wa SIMBA wa magoli 7 dhidi ya Horoya kama ushindi wa kihistoria tangu kuanzishwa kwa shirikisho hilo. SIMBA imetengeneza rekodi nyingine! Inastahili heshima, inastahili pongezi.
Karamu ya mabao na vipigo vya goli nyingi si jambo geni kwa mnyama. Hata mtani YANGA alishawahi kupokea hamsa nunge yaani 5 kwa sifuri na hajaweza kamwe kulipa hicho kisasi. Ushindi wake mara zote umekuwa wa kinyonge kama vijana wa kileo kitandani.
Niliposema nitasimama na SIMBA nilimaanisha na nilijua kwa hakika ninachokiongea Leo ni zamu ya mtani.. Ana kihoro cha mechi najua hajui matokeo yatakuwaje. Natengeneza uzalendo wa kumuombea ushindi ili asifadhaike sana. Japo kwa vyovyote vile hata akishinda ushindi wake ni ule ule. Baada ya chali kimoko!
Akifungwa je!?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]