Kigali City "The Singapore of Africa"

Kigali City "The Singapore of Africa"

Usafi ukifanywa na mmlaka zinazohusika na ukawekwa utaratibu mzuri na unaoeleweka wa adhabu tutafanikiwa sana. Kiasi kwamba raia hawatasubiri kila J'mosi ya mwisho wa mwezi. Tatizo kuna mikwara ya kisiasa mingi, na sifa kwa watawala kana kwamba wao ndio wanafanya usafi.

Moshi na Iringa ni safi wakati wote, watu wameelewa na hakuna shida. Kila mfanya biashara yupo responsible na eneo lake la biashara. Huwezi kuta mchoma mahindi au mkaanga mihogo anaacha uchafu akimaliza biashara kwa siku, anachukua fagio na kusafisha kiasi kwamba huwezi gundua kwamba hilo eneo lilikuwa bize na biashara.

Sawa kabisa mkuu,shida wataalamu wanaingiliwa na wanasiasa kwenye shughuli zao.

Pita Arusha, Dar, Mwanza sehemu ambako wamachinga wameruhusiwa kufanya kazi zao, ikifika jioni wakishafunga shughuli zao uchafu waliouacha hapo unabaki mtu unashangaa tu.
 
Sijafika Kigali. Yeah, kwa sehemu zilizopigwa picha zinapendeza, lakini upigaji picha wa hivi (kuchagua maeneo ya picha) unatia shaka kidogo.

Naamini Dar es Salaam, Nairobi, Kampala, nk nao wanaweza kupiga picha vipande vipande namna hii tukabaki tumechanganyikiwa, ilihali kuna sehemu katika miji hiyo huwezi hata kutamani kufika.

Nilitamani nione video ya mtu anatembea kwenye usafiri akikatiza mitaa ama kutuonesha hali ya mitaa yote ya jiji!
 
Rwanda 🇷🇼 imeanza kutumia ma roboti kuwahudumia wagonjwa wa Virusi vya Corona.
681F02B8-9513-4954-9232-4BB57D2F1FAC.jpeg
4D0647B1-2CD7-4D44-8179-3357B14D36BE.jpeg
987B203B-483A-40B8-B374-807C70B41C25.jpeg
D534E122-4EE3-4D18-8CC8-27E579671F06.jpeg
 
Ni hela za madini toka Congo hizo! Hao maaskari wao wanavuna madini congo kama vichaa na mkicheza hata huku Bongo land watatuingilia sana kama hawapo tayari kuchukua rasilimali zetu.Wana sera kama za waisraeli.Popote ulipo iba unavyoweza ili kusaidia nchi yako


Hizo ni sera za kitutsi.
 
Usafi wa kila Jumamosi ya mwisho mwezi tumeiga Rwanda. Kwamfano Dar, serikali ikaamua barabara zote ziwe za kiwango cha lami, kuondoa gereji, biashara zote na wamachinga wote sehemu amabazo sio za biashara na barabarani, wahusika wakishirikiana na Tanesko, Jiji na TANROAD wakapanda maua na miti rafiki pembezoni mwa barabara, Usafi ukafanyika kila siku. Dar itapendeza.
Yote hayo hata yafanyike kwa Dar itakuwa ngumu kupendeza kwa aerial view kwa vile jiji liko disorganised na lina miundombinu dhaifu na misongamano ya hovyo kila sehemu.
Ishu ya usafi Dar na miji mingine Tzn inafaa manispaa ziwe zinatoa tender kwa kampuni na wanalipa baada ya kufanya assessment kama tu kampuni za walinzi au suppliers wengine wanavyolipwa lakini hii ya kutegea jumamosi ya mwisho wa mwezi ni uongo,mabarabara yamejaa michanga nchi nzima
 
Back
Top Bottom