Kigali ni uwanja wa nyumbani kwa Yanga kama ulivyo uwanja wa Majimaji

Kigali ni uwanja wa nyumbani kwa Yanga kama ulivyo uwanja wa Majimaji

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)

Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
 
kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. yanga na simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na kagere. halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)

hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa mzizimka
Naunga mkono hoja
 
Kutofika makundi club bingwa Africa imekuwa ni utamaduni wa Utopolo FC kwa robo karne sasa. Nakumbushia tu
 
1998...! Wanautajataja huu Mwaka..! Ndo nini sasa.? Mtu afafanue tafadhari..
 
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)

Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
Yeah.....
 
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)

Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
Mtaje Sibomana basi mkuu
 
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)

Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
 
Kwa mantiki hio, akiwa nyumbani hawezi poteza game?? Game kibao muhimu ashapoteza pale kwa mkapa. Home advantage sio ya kuitegemea sana, cha msingi n kujipanga vilivo kiwakabili hao wasudan. Ukiendekeza uswahili kama huu utakamdwa hata pale avic
 
ITAKUWAJE kama Elmereck watakataa kuuza tiketi za mchezo.

Hivi tumewahi kufikilia hili suala.

Maana WENYE akili ni wawili tu.

🙏
 
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)

Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
ninavyojua, wanayanga wataacha mimba nyingi sana kwa hizo siku tatu rwanda. au la watarudi na ngoma ya kutosha kwa hao wapigwa katerero.
 
ITAKUWAJE kama Elmereck watakataa kuuza tiketi za mchezo.

Hivi tumewahi kufikilia hili suala.

Maana WENYE akili ni wawili tu.

[emoji120]
Shida ya ujinga wa kurithi hautokagi kichwani. Wakatae vipi na wameshatangaza bei za tiketi na zitaanza kuuzwa ijumaa?? Wakatae pesa watakula nini??
 
Back
Top Bottom