Yanga mbovu hawawezi kuwafunga el merekh hata wakacheze avic town
Naunga mkono hojakama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. yanga na simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na kagere. halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)
hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa mzizimka
Sawa Bin Kazumari. Mdomo ni mali yako.Yanga mbovu hawawezi kuwafunga el merekh hata wakacheze avic town
Yeah.....Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)
Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
Mtaje Sibomana basi mkuuKama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)
Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
Baada ya mechi ulivyompumbavu utakuja kusema hapa yanga imecheza na kibonde!!.Yanga mbovu hawawezi kuwafunga el merekh hata wakacheze avic town
Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)
Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
Sasa hii sio Yanga mbovuYanga mbovu hawawezi kuwafunga el merekh hata wakacheze avic town
ninavyojua, wanayanga wataacha mimba nyingi sana kwa hizo siku tatu rwanda. au la watarudi na ngoma ya kutosha kwa hao wapigwa katerero.Kama timu ya yanga isipoifunga El Mereikh pale Kigali basi wanayanga tusitegemee makubwa hapa nyumbani. Yanga na Simba zina mashabiki na wapenzi wengi wa soka pale Kigali kwa sababu ya uhusiano mzuri uliooneshwa kuwasajili Nionzima na Kagere. Halafu mbali na usajili huo kiswahili kinatuunganisha vizuri na wanyarwanda ambao wataona yanga ni timu ya tukae(nyumbani)
Hivyo tutegemee kupata ushindi mzuri kote kote Rwanda na hapa Mzizima
Shida ya ujinga wa kurithi hautokagi kichwani. Wakatae vipi na wameshatangaza bei za tiketi na zitaanza kuuzwa ijumaa?? Wakatae pesa watakula nini??ITAKUWAJE kama Elmereck watakataa kuuza tiketi za mchezo.
Hivi tumewahi kufikilia hili suala.
Maana WENYE akili ni wawili tu.
[emoji120]