Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Has construction really started? Who's financing it? How long will construction take? Pls helpWajameni,
Jana nilikuwa naangalia TBC habari nikamuona Magufuli anakagua kazi ya ujenzi wa daraja la Kigamboni ambayo imeshaanza. Nimefarijika sana maana safari ya kivuko siku za wkend huwa ni kero kabisa.
Tokeo la Picha kutoka Google kwa http://i970.photobucket.com/albums/ae190/tanzan_2010/2-31.jpg
Hapa juu kuna picha za daraja lenyewe inavutia kwa kweli.
Has construction really started? Who's financing it? How long will construction take? Pls help
That is definitely the first step towards construction. But who's financing it?only mobilisation for construction is what has been done so far!
that is definitely the first step towards construction. But who's financing it?
Mfuko wa Hifadhi ya Akiba ya Uzeeni au NSSF tafuta kirefu chake kiingereza mwenyewe! kwa maana nyingine ni pesa zetu ndio zinajenga hilo daraja letu!That is definitely the first step towards construction. But who's financing it?
Thanks chief. I believe we shall soon come up with a major story on Kigamboni city and the bridge. We're seeing positive developments herenssf 60%
got 40%
Hongera. Hio ni Ishara kwamba Tanzania Mambo ni tofauti na picha inayo chorwa kwenye magazeti yenu.Mfuko wa Hifadhi ya Akiba ya Uzeeni au NSSF tafuta kirefu chake kiingereza mwenyewe! kwa maana nyingine ni pesa zetu ndio zinajenga hilo daraja letu!
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akijiridhisha kwa kupima kiwango cha lami inayowekwa upya katika barabara ya Kilwa na Kampuni ya Kajima ya Japan leo jijini Dar es salaam. Wengine wanaoshuhudia kutoka kulia ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki, Balozi wa Japani nchini Tanzania Masaki Okada na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Kajima.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua ujenzi wa daraja la Kigamboni akiwa ameambatana na viongozi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki (wa pili kutoka kulia) Mbunge wa Kigamboni Dkt.Faustine Ndugalile (wa tatu kutoka kulia) leo jijini Dar es salaam. Daraja la Kigamboni linajengwa na kampuni ya China Railways Engineering kwa gharama ya shilingi bilioni 214 na linatarajia kukamilika kabla ya mwaka 2015.
Daraja la Kigamboni likiendelea kujengwa katika bahari ya Hindi eneo la Kurasini. Daraja hilo litakapokamilika litakua na njia 6 pamoja na barabara za juu na kuwa moja ya Daraja kubwa na la kipekee Afrika mashariki na kati.