Kigamboni bridge

Kigamboni bridge

2-31.jpg
 
niliona kwenye tv, construction has already started. bila shaka hadi jk anatoka ofisini atakuwa ameshafungua ndo aondoke....hata DAT si hivyohivyo, kabla hajatoka, anafungua ndo anaondoka ili kutengeneza mazingira ya ccm kuonekana wamefanya kitu. the bridge is financed by NSSF.
 
That is definitely the first step towards construction. But who's financing it?
Mfuko wa Hifadhi ya Akiba ya Uzeeni au NSSF tafuta kirefu chake kiingereza mwenyewe! kwa maana nyingine ni pesa zetu ndio zinajenga hilo daraja letu!
 
Mfuko wa Hifadhi ya Akiba ya Uzeeni au NSSF tafuta kirefu chake kiingereza mwenyewe! kwa maana nyingine ni pesa zetu ndio zinajenga hilo daraja letu!
Hongera. Hio ni Ishara kwamba Tanzania Mambo ni tofauti na picha inayo chorwa kwenye magazeti yenu.
 
CONSTRUCTION UPDATES
SEPTEMBER 2012


WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI NA BARABARA YA KILWA, ASEMA WATAKAOSABABISHA UJENZI CHINI YA KIWANGO KUFUKUZWA KAZI


MICHUZI: WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI NA BARABARA YA KILWA, ASEMA WATAKAOSABABISHA UJENZI CHINI YA KIWANGO KUFUKUZWA KAZI




Picha_no_1.jpg



Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akijiridhisha kwa kupima kiwango cha lami inayowekwa upya katika barabara ya Kilwa na Kampuni ya Kajima ya Japan leo jijini Dar es salaam. Wengine wanaoshuhudia kutoka kulia ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki, Balozi wa Japani nchini Tanzania Masaki Okada na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Kajima.




^^ mmeona mkuu hapo juu anachoma aone lami kiwango gani :lol: vigezo na mashart kuzingatiwa :lol: :cheers:




Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikagua ujenzi wa daraja la Kigamboni akiwa ameambatana na viongozi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki (wa pili kutoka kulia) Mbunge wa Kigamboni Dkt.Faustine Ndugalile (wa tatu kutoka kulia) leo jijini Dar es salaam. Daraja la Kigamboni linajengwa na kampuni ya China Railways Engineering kwa gharama ya shilingi bilioni 214 na linatarajia kukamilika kabla ya mwaka 2015.


Picha_no_7.jpg



Daraja la Kigamboni likiendelea kujengwa katika bahari ya Hindi eneo la Kurasini. Daraja hilo litakapokamilika litakua na njia 6 pamoja na barabara za juu na kuwa moja ya Daraja kubwa na la kipekee Afrika mashariki na kati.


Picha_no_8.jpg

 
WAJENZI WAKIBURUDIKA BAADA YA KAZI NGUMU🙂


siku wanamaliza kujenga tutakua na wanja la basket pia :cheers: , halafu wachina wana matani na wabongo, hizi picha nimechukua kwenye micro blog zao ni kama twitter yao, basi comments za kisengesenge, kuna mtu kasema eti katika huo mchezo wa kuvuta kamba wabongo noma wanavuta kama tembo, halfu kuna mwingine kasema eti wabongo noma floor ya pili eti napanda bila ngazi tumbili :lol:




6b98c673jw1e0eek07arvj_zps6443b63b.jpg





6b98c673jw1dyutaubh3vj_zpsc83fb5e8.jpg

 
MARCH 2013
IMG_3432.JPG



IMG_3441.JPG



IMG_3464.JPG



IMG_3523.JPG



APRIL 2013
tanzania-construction-site---afp_zps3b1891ea.jpg





thumb_zpsce0b6c92.jpg


kutoka kwa mchina shavu dodo





MAY 2013

DSC08191.jpg





 
Shida ya Watanzania n kuwa tunafikiria zaidi mshiko kuliko maendeleo. Mara nyingi tunatumia nguvu kubwa kwenye upuuzi kuliko material.

Hebu jiulize: kujenga Daraja la Kigamboni ni 200billion na kujenga barabara zote za Dar mpaka uchochironi ni 100bn. Kwako wewe ipi ni kipaumbele?
 
Back
Top Bottom