Kigamboni bridge

Kigamboni bridge

ok nimekupata mkuu ila pia si wangewea kupunguza urefu kwa maana ya sehemu linapoanzia kushukia??

pale kivukoni ingebidi liwe juu sana ili meli ziweze kupita kwa hiyo inabidi liwe reeefu ili lisiwe too steep,mimi sio civil engineer lakini najaribu tu kujenga logic
 
These pics were taken mid june.


Recent developments include,


  • starting of 3 way road from the bridge to Kisiwani,patr of this raod, about a km or two will have to be constructed by Tanroads,hoping they won't drop the ball

  • construction of the bridge levy collection point for cars as well as administration building has started, as seen on the photo.


  • Majority of those to be paid to clear for the road construction has been paid, Vijibweni mosque has been relocated paving way for a wide 3 way road
  • all main piers have surfaced from the water level

14345082348_78d5f93f47_c.jpg

14528267281_46c43bc6f0_c.jpg

14345195787_16b27dd2ba_c.jpg

14345018280_624eb248b9_c.jpg

14551782923_892d8912a5_c.jpg

14528269791_05de5719eb_c.jpg

14345047449_280bf7fd4f_c.jpg

14345085048_c8d2583264_c.jpg

14530199404_dd802760d5_c.jpg
 
my favorite view of the bridge. can not wait when the real bridge finally stands majestically tall across.


14530652262_100e1645d3_c.jpg



sunset view


14530650552_dea5e55765_c.jpg



work continues through the night, lights on the bridge platform are engineers welding the steel.


14508543716_d1ac0dfa7a_c.jpg
 
Je hili daraja ni maandalizi ya Mji wa Kigamboni....kwa nini limepewa kipambele?Kama hujenzi huu hauendi sambamba na ujenzi wa mji mpya wa kigamboni basi mradi/ujuzi huu hauna tija it will be a bridge to nowhere. Fund should be allocated to serve majority HIYO NDIO TIJA

Natamani kuja kuuona mji wa kigamboni na daraja zuri
 
Je hili daraja ni maandalizi ya Mji wa Kigamboni....kwa nini limepewa kipambele?Kama hujenzi huu hauendi sambamba na ujenzi wa mji mpya wa kigamboni basi mradi/ujuzi huu hauna tija it will be a bridge to nowhere. Fund should be allocated to serve majority HIYO NDIO TIJA

Natamani kuja kuuona mji wa kigamboni na daraja zuri

Kuna familia 3000 za wamarekani zinakuja kukaa kigamboni, nna jamaa yangu yupo kwenye kampuni moja ya waturuki wamepewa tender ya kufunga lift kwenye magorofa yatakayo jengwa
 
Je hili daraja ni maandalizi ya Mji wa Kigamboni....kwa nini limepewa kipambele?Kama hujenzi huu hauendi sambamba na ujenzi wa mji mpya wa kigamboni basi mradi/ujuzi huu hauna tija it will be a bridge to nowhere. Fund should be allocated to serve majority HIYO NDIO TIJA

Natamani kuja kuuona mji wa kigamboni na daraja zuri

kwahio wewe unaona kuwa maelfu ya watanzania wanaoishi kigamboni sasa hivi hawastahili kujengewa daraja ili kuondolewa kero ya usafiri unaosabibishwa na watu/magari kutegemea pantoni mbili za mwaka 1920??!! hili daraja ni kwa ajili ya wananchi wa kigamboni huo mji mpya uje au usije kujengwa kwa hili daraja kuna tija kwa wakazi wa kigamboni.
 
kwahio wewe unaona kuwa maelfu ya watanzania wanaoishi kigamboni sasa hivi hawastahili kujengewa daraja ili kuondolewa kero ya usafiri unaosabibishwa na watu/magari kutegemea pantoni mbili za mwaka 1920??!! hili daraja ni kwa ajili ya wananchi wa kigamboni huo mji mpya uje au usije kujengwa kwa hili daraja kuna tija kwa wakazi wa kigamboni.

Soma tena nilivyoandika...........

Usipoelewa ni tatizo lawengi tu katika jamii yetu hadi viongozi
 
Shida ya Watanzania n kuwa tunafikiria zaidi mshiko kuliko maendeleo. Mara nyingi tunatumia nguvu kubwa kwenye upuuzi kuliko material.

Hebu jiulize: kujenga Daraja la Kigamboni ni 200billion na kujenga barabara zote za Dar mpaka uchochironi ni 100bn. Kwako wewe ipi ni kipaumbele?

Kipaumbele cha CCm ni kuiba zote kama za ESCROW liwalo na liwe! Kumbe mafisadi huwa yana iba madaraja mengi tu ya Kigamboni halafu watawala wanachekacheka, maweeeeh!
 
my favorite view of the bridge. can not wait when the real bridge finally stands majestically tall across.


14530652262_100e1645d3_c.jpg



sunset view


14530650552_dea5e55765_c.jpg



work continues through the night, lights on the bridge platform are engineers welding the steel.


14508543716_d1ac0dfa7a_c.jpg

Mkuu NDINDA asante kwa updates,.. please post more updated pics if there are new developments
 
Last edited by a moderator:
Zoomed from Kariakoo, see the two pillars rising up




250312_1569466799939302_7353848067095289205_n.jpg
 
Back
Top Bottom