johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kauli yake ya kupinga nyungu na barakoa za vitambaa ndio imemponzaAna bahati mbaya safari hii ,Mtoto Pendwa kaja!!
Mtoto pendwa alikosea sana kusema maneno haya ambayo baba yake sasa amegundua yame mfarakanisha na viongozi wenzake wakati kumbe yeye ndio anawahitaji zaidi.Ana bahati mbaya safari hii ,Mtoto Pendwa kaja!!
Hata Selemani Methew alikuwa CCM!Si ungesema pia kuwa Profesa Tibaijuka ni wa CCM? Na kuwa alikuwa ana wakilisha serikali ya CCM. Mpango mzima wa Kigamboni New City ulikuwa wa serikali kuu, sio wa serikali ya mtaa. Na ulikwama sio kwa sababu ya mbunge bali wawekezaji kukosekana.
Amandla...
Hata Selemani Methew alikuwa CCM!
Maendeleo hayana vyama!
Ndugulile ni daktari wa binadamu siyo Falsafa!ma ccm ya ajabu sana, yaani unamuacha PhD holder(Dr Ndugulile) halafu uende kuchukua vyeti fake (Makonda sijui Bashite)???!!!.
hiyo ni akili au matope??
Kuendelezwa unamwacha mwenye au unamshirikisha kuuzwa unamwondoa mwenye mali mfano AVIC townTofautisha kuuzwa na kuendelezwa wasingekuwa masikini Hadi Sasa
Hahahaaaa........... Usione vyaelea vimeundwa bwashee!Ana bahati mbaya safari hii ,Mtoto Pendwa kaja!!
Hahahaaaa...... Rudia tena bwashee!Ndungulile bye bye!
...kampeni zilianza mapema...Wananchi wa Kigamboni wanasema hata kama mbunge wa sasa wa jimbo hilo Dkt. Ndugulile hatapitishwa na CCM kugombea bado atakumbukwa daima na wapiga kura.
Wamesema Dkt. Ndugulile alisimama kidete kuwatetea barazani na bungeni ili manyang'au wasipole ardhi yao.
Wamedai waziri mstaafu Prof Tibaijuka na madiwani wakiongozwa na Selemani Methew ambaye kwa sasa ni kiongozi mkubwa wa CHADEMA walipanga kuiuza Kigamboni kwa mabeberu na walipelekwa hadi Ulaya kutalii lakini mbunge Ndugulile alikataa katakata kuwa sehemu ya uchafu huo.
Wananchi wamesisitiza kuwa wako pamoja na Dkt. Ndugulile kwani " usione vyaelea vimeundwa"
Nawatakia Sabato yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!