johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wananchi wa Kigamboni wanasema hata kama mbunge wa sasa wa jimbo hilo Dkt. Ndugulile hatapitishwa na CCM kugombea bado atakumbukwa daima na wapiga kura.
Wamesema Dkt. Ndugulile alisimama kidete kuwatetea barazani na bungeni ili manyang'au wasipole ardhi yao.
Wamedai waziri mstaafu Prof Tibaijuka na madiwani wakiongozwa na Selemani Methew ambaye kwa sasa ni kiongozi mkubwa wa CHADEMA walipanga kuiuza Kigamboni kwa mabeberu na walipelekwa hadi Ulaya kutalii lakini mbunge Ndugulile alikataa katakata kuwa sehemu ya uchafu huo.
Wananchi wamesisitiza kuwa wako pamoja na Dkt. Ndugulile kwani " usione vyaelea vimeundwa"
Nawatakia Sabato yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Wamesema Dkt. Ndugulile alisimama kidete kuwatetea barazani na bungeni ili manyang'au wasipole ardhi yao.
Wamedai waziri mstaafu Prof Tibaijuka na madiwani wakiongozwa na Selemani Methew ambaye kwa sasa ni kiongozi mkubwa wa CHADEMA walipanga kuiuza Kigamboni kwa mabeberu na walipelekwa hadi Ulaya kutalii lakini mbunge Ndugulile alikataa katakata kuwa sehemu ya uchafu huo.
Wananchi wamesisitiza kuwa wako pamoja na Dkt. Ndugulile kwani " usione vyaelea vimeundwa"
Nawatakia Sabato yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!