Watu wengi wataingia mkenge Kigamboniusijenge kaka . hawa wanamgojea watu wajenge ili waje kubomoa so cool down tafuta maeneoo mengine yaliyopimwa kaka
usijenge kaka . hawa wanamgojea watu wajenge ili waje kubomoa so cool down tafuta maeneoo mengine yaliyopimwa kaka
Mkuu umenichekesha sana na hiyo signature yako hapo chini bahasha la jairo lina nini? Kigamboni city is coming mazee believe itile ilikuwa ni gia ya kura kwa hiyo swala la mji mnatakiwa msahau.. mji bila umeme ni sawa an kugawa vyandaria huku umeme ukiwa hakuna an mbu wanaongezeka matokeo yake ni sifuri
The Kigamboni new city master plan is designed to build a core for accommodating new land demand such as residential, commercial, trade and business, industrial, educational and recreational facilities in Dar Es Salaam.
The first purpose is to create well-organized connection between old urban centers and the new city.
The second purpose is to build future-oriented new model city with ICT base and excellent living environment.
The third purpose is to develop urban economic competitiveness through supplying new opportunities in advanced industry fields.
Through the Kigamboni new city project, Tanzania can reinforce the leading position in the African Continent.
Nina Video ya hii master plan toka wizara ya Ardhi si mchezo, pateni picha za hiyo video kwa ufupi.
akili fupi za kusema nchi imeuzwa huwa sipendi hata kusikiliza. hata mlimani city mlipiga sana kelele kuwa tumeuza sehemu ya udsm, lakini sasaivi mmejaa pale kusukuma tolori zimejaa vitu mnavyonunua....watu kama ninyi ni wa kuwapuuzia tu, msema mlieee hadi mchoke, lakini kitu ambacho selikali inaona kuwa kinafaa, bora kifanyike tu.
Umeahidiwa 10% siyo!
Kwa akili yako ya kiwerefu kusukuma toroli na kuwa na maduka ya kuuzia dodoki kama walivyoyageuza magodown na viwanda vyetu toka enzi ya Kambarage kuwa Supermaket kwa ajili ya bidhaa toka China na Ulaya kwako ni deal kubwa na Maendeleo siyo!
Acheni ubinafsi ,Elimu yetu,badari,tanesco,Reli,Hospitali na mengineyo mengi yanahitaji pesa nyigi kuyaweka sawa ilikuwezesha Uchumi kusonga mbele na sikupitia Majengo ambayo hakuna Mtanzania wa Kawaida ataweza kuishi humu na kuendesha maisha zaidi ya Mafisadi unaowashabikia na pengine umoja wao!
Serikali yenye kutenda sawa ingechukua hatua ya kuwalipa watakaoathirika uwekaji wa miundobinu kama barabara,mitaro ,madaraja ,shule,Hospitali ,umeme,maji na kwa ujumla vitu vyote amabvyo kiutendaji ni shughuli ya Serikali ,huku ikiweka miongozo ya aina ya mji unaofaa kuwa mahala hapo na ikaacha soko huru la biashara na maendeleo itawale shughuli husika na si kufanya udalali, ununuzi na uuzaji wa Ardhi ya wananchi kwa mbinu ya eti ujenzi wa Mjimpya.
Na mbaya zaidi wanaendesha zoezi hili kifisadi ,wameshindwa kufuata Sheria na wanachokifanya ni kuwatapeli wananchi-Nenda Kibada -Kigamboni utayasika na kujionea.