Kigamboni New City Master Plan

waheshimiwa, nafikiri itakuwa nimepitwa kama iliwahi kutolewa hapa.hivi huu mpango tunaosikia kuhusu kujengwa upya kigamboni, na wenyeji kuhamishwa,hatima yetu nini? maana hela zetu za misimu na mpaka sasa hata banda la uwani sijamaliza. na huenda vikangia vijisenti vingine ni busara kuendelea kujenga au bora kusubiri kwanza.? maaana ile plani inavoonekana kwenye mtandao ni big city sijui mjengaji nani maana dododma makao makuu mpaka leo bado!!!!!!, waheshimiwa mnashauri nini.
 
Hapo sasa ila sishangai mana tanzania ndivyo ilivyo
 
usijenge kaka . hawa wanamgojea watu wajenge ili waje kubomoa so cool down tafuta maeneoo mengine yaliyopimwa kaka

Ahsante mkuu,na nimeelimika mnoo!.ahsante mod kwa kuniunganisha huku pia. haya mambo sijui yatakuwaje.naona invisible kashindilia msumari.
 
[h=3][/h][h=2]Thursday, April 7, 2011[/h][h=3]Ujenzi daraja la Kigamboni kuanza[/h]


Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli (wa tatu kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Miradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), John Msemo (kulia) katika eneo la Kurasini Vijibweni Dar es Salaam, kuhusu ujenzi wa Daraja la Kigamboni eneo hilo. NSSF inatarajia kuanza ujenzi wa Daraja hilo mapema mwaka huu baada ya zabuni kutangazwa na kumpata mhandisi. Daraja hilo litagharimu zaidi ya bilioni 130 hadi kukamilika kwake.
 
jamani mji huu unaanza lini?,maana hatuelewi kila kukicha mambo yanazidi kuwa mabaya,kuna nini? Hapa
 
Mpaka atakapokuja Mwana wa Adamu kuwahukumu wazima na wafu.Au mpaka SISIMU itakapong'olewa madarakani.
 
Hukumbuki ilitoka taarifa hyo kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu Mdau!
 
ile ilikuwa ni gia ya kura kwa hiyo swala la mji mnatakiwa msahau.. mji bila umeme ni sawa an kugawa vyandaria huku umeme ukiwa hakuna an mbu wanaongezeka matokeo yake ni sifuri
 
Nasikia utakuwa wa ki marekani zaidi na wataweka base yao maeneo ya huko
 
Jamani hyo master plan ni kweli ipo na kuna video yake kabsa, kwa kfupi kigambon itakuwa kama NY. Na phase ya kwanza ya ujenz inaanza mwaka huu na ukamilika kamili kwa ujenz ni 2025.
 
ile ilikuwa ni gia ya kura kwa hiyo swala la mji mnatakiwa msahau.. mji bila umeme ni sawa an kugawa vyandaria huku umeme ukiwa hakuna an mbu wanaongezeka matokeo yake ni sifuri
Mkuu umenichekesha sana na hiyo signature yako hapo chini bahasha la jairo lina nini? Kigamboni city is coming mazee believe it
 

makaratasi yataozea ofisini?
 
Last edited by a moderator:
samahani wadau! kama hii kitu imeshapita humu naomba mnionyeshe thread yake!
Kuna watu wanasema mk.wer.e amesha sign mkataba na wazee wa US!
Nimejaribu kuicheki hiyo video kwenye link hapo chini nikachoka kabisa!
Kigamboni New City
 
duh huu mji utakuwa pouwa ingawa wanadai pameuzwa hapa kigamboni!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…