waheshimiwa, nafikiri itakuwa nimepitwa kama iliwahi kutolewa hapa.hivi huu mpango tunaosikia kuhusu kujengwa upya kigamboni, na wenyeji kuhamishwa,hatima yetu nini? maana hela zetu za misimu na mpaka sasa hata banda la uwani sijamaliza. na huenda vikangia vijisenti vingine ni busara kuendelea kujenga au bora kusubiri kwanza.? maaana ile plani inavoonekana kwenye mtandao ni big city sijui mjengaji nani maana dododma makao makuu mpaka leo bado!!!!!!, waheshimiwa mnashauri nini.