We Sun tzu wa KUCHONGWA.
Kiranga,
Kamba bado ninayo tena aina yeyote unayoitaka, ipo ya manila, katani na hata ya michongoma.
Nani kasema chochote kuhusu kamba? Inaonekana unahitaji hizo kamba zako kujifunga serawilini kabla hujanywa "pingu"
Kigamboni itajengwa tu, hata ikiwa miaka mia moja ijayo.
Right, na mimi nitaweza kusema Tanzania itaweza kupeleka mtu mwezini tu, hata kama ni miaka mia moja.Ridiculous. Kila Project inatakiwa kufanywa kwa a reasonable timeframe and cost effectiveness, sasa hizi alinacha za miaka mia moja ijayo ambayo hata hatutakuwepo umuhimu wake ni nini? Of course Kigamboni itajengwa, si mjini pale, tatizo itajengwa vipi, kwa mpango gani, bajeti gani na muda gani.Kama uanepuka maswali haya unaepuka the essence of the fabric of this discussion.
Unataka solidi masterplan gani zaidi ya hiyo uliyoonyeshwa?
Wapi nimesema nahitaji solid masterplan? Unaweza kunionyesha? Au comprehension ndogo?
Watanzania hasa wa humu JF mmezidi kupiga domo tu, na mnadhania maendeleo yatakuja kwa kukosoa tu.
Kati ya Watanzania wanaoikosoa serikali na mipango yake hewa, na hiyo serikali ambayo zaidi ya miaka 30 ya kusema inahamia Dodoma haijatimiza maneno yake nani anapiga domo hapa? Kama serikali haijatimiza ahadi za kuhamia Dodoma kwa miaka 30 utatulaumu tukiwa skeptics kuhusu huu mpango wa Kigamboni?
Mwanzo wa ngoma lele na hakuna vigelegele viso kelele. Tatizo letu hatuna tabia ya critical observation, tunataka kupakana mafuta kwa migongo ya vyupa tu, kusifiana hata unapoona hamna sababu ya kuwa na matumaini.Wishful thinking nyingi, maazimio mengi, mipango mingi, utendaji zero.
Ukitaka nikuelewe unataka kuendeleza Kigamboni wala sihitaji mikabrasha mingi sana, anza kutandika daraja hapo nitakuelewa, otherwise unacheza tu. This is what I mean by "something solid". Hiyo mi plan mbona unaajiri watoto watatu makini katika urban planning unawapa AutoCAD/ CAD Software na mwezi mmoja, wanakupa bonge la plan.Tena wanaweza hata kuibia mtandaoni siku hizi kila kitu kinapatikana, this does not impress me at all. Fanyeni kitu solid mtaongea.Sio mwaka wa uchaguzi talalila nyiingi, kumbe vitu vyenyewe vinapangwa miaka mia moja ijayo ?
na wengine ushabiki usio na msingi na wengine humu JF hakuna lolote ni siasa tu za CCJ na CCK na wakati mwingi kelele za Chadema na matusi kwa vyama vingine. Kama kweli hili Jukwaa linataka kupata heshima yake, acheni ushabiki na siasa zisizo na msingi na maslahi kwa taifa wekeni pembeni.
Mimi naongelea Kigamboni hapa, sijataja chama wala nini. Wewe ndiye unayeanza kutaja vyama, kati yangu na wewe nani kaleta ushabiki wa kisiasa hapa?
Kila tukiaka inakuwa kama JF imetekwa nyara na chama fulani jina kapuni ((.......))
We dare speak openly hapa, chama gani? Unaweza kunitajia na kusema kwa uhakika kwamba mimi ni mshabiki wa chama fulani? I dare you, go ahead, make my day.
Kumbe mtu mwenyewe kwenu uchina ? Ndiyo maana hata mambo ya bongo uelevu wako zero.
tunasema hivi maendeleo hayaletwe kwa kupiga domo.
Exactly, ndiyo maana tukiona watu wanapiga domo na mikabrasha bila vitendo ni lazima tuwamulike vilivyo.
Anayekasirika kuhusu kujengwa mji mpya Kigamboni au chuo kikuu cha Dodoma kamba ya kujinyongea ya kila aina hata ya mpingo ukitaka ipo, njoo uchukuwe
Wapi nimesema nimekasirika? Mbona unaleta uelewa wa nzi? Hebu nionyeshe wapi nimekasirika kujengwa "mji mpya"
Hiyo kamba utaihitji wewe baada ya kulewa pombe ya pingu za kukubali mipango ya kusadikika bila kuona kitu. Utakapoanza kuhara hakikisha hizo kamba zimefunga suruali ili usituachie harufu chafu.