TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
chini ya serikali ya JK yote haya yanawezekana aiseeKudadeki..wabongo tunapenda vitu vya kufikirika.....tunashindwa hata kutunza hivi tulivyonavyo...tutaweza hayo maghorofa?
Sisi wabongo wengi wetu tuna asili ya uchafu..utakuta mtu kajenga ghorofa kwenye slums......Yaani hiyo Kigamboni..its too good to be in bongo..