Kigamboni New City Master Plan

Kigamboni New City Master Plan

Serikali yenye kutenda sawa ingechukua hatua ya kuwalipa watakaoathirika uwekaji wa miundobinu kama barabara,mitaro ,madaraja ,shule,Hospitali ,umeme,maji na kwa ujumla vitu vyote amabvyo kiutendaji ni shughuli ya Serikali ,huku ikiweka miongozo ya aina ya mji unaofaa kuwa mahala hapo na ikaacha soko huru la biashara na maendeleo itawale shughuli husika na si kufanya udalali, ununuzi na uuzaji wa Ardhi ya wananchi kwa mbinu ya eti ujenzi wa Mjimpya.

Na mbaya zaidi wanaendesha zoezi hili kifisadi ,wameshindwa kufuata Sheria na wanachokifanya ni kuwatapeli wananchi-Nenda Kibada -Kigamboni utayasika na kujionea.
Ulichosema ni sahihi kabisa na wote tulitegemea itakuwa hivyo lakini sasa Serikali yetu inapoamua yenyewe kuwa dalali wa ardhi hii.
 
Anyone with updates about this project?


Wameshaanza kuweka alama za Barabara za huu Mji mpya!

Nadhani Lukuvi anafaa aitishi Mkutano wa Wananchi ilikuwafahamisha hatua hii na nini kinaendelea au kutoa Taarifa ya maandishi kupitia Wizara yake!. Maana uswahili/mitaani watu hawaishi kuendeleza tetesi-ohoo Barabara za mji huu ni mpaka mita 140 mara 70!
 
hahahaha wakuu nimecheka kwa uchungu sana.
enewei. ninayo video clip ya hii plan. naangalia uwezekano wa kuipunguza na kuiweka vipande vipande kama Mods wataridhia.(NI KUBWA MNO)

Nchi imeuzwa na risiti zipo IKULU ... hii kali kweli kweli
kaka naipataje hiyo,,..daahhhhhhh it painssss,,..yote hayo ni chini ya jk mpuuz
 
Wameshaanza kuweka alama za Barabara za huu Mji mpya!

Nadhani Lukuvi anafaa aitishi Mkutano wa Wananchi ilikuwafahamisha hatua hii na nini kinaendelea au kutoa Taarifa ya maandishi kupitia Wizara yake!. Maana uswahili/mitaani watu hawaishi kuendeleza tetesi-ohoo Barabara za mji huu ni mpaka mita 140 mara 70!
Ni kweli, alama za barabara zishaanza, nyumba ambazo barabara itapita zishawekewa alama,nimeziona. Na mimi nimesikia barabara ni mita 70 nyingine 140
 
Back
Top Bottom