Uwezo sio tatizo, tatizo linakuja kwenye kutimiza ahadi, 200m ilikuwa kizaazaaUwanja wa KMC unaojengwa Mwenge kwa gharama ya 3 bilioni...Chapa GSM na Taifa gas ($1 B Rostam+$500m GSM)watashindwa vipi kujenga kiwanja cha 3B kwa mfano...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo sio tatizo, tatizo linakuja kwenye kutimiza ahadi, 200m ilikuwa kizaazaaUwanja wa KMC unaojengwa Mwenge kwa gharama ya 3 bilioni...Chapa GSM na Taifa gas ($1 B Rostam+$500m GSM)watashindwa vipi kujenga kiwanja cha 3B kwa mfano...
Nasikia ile mechi ya tarehe 08 walifanyaga kumpokonya simu eti. 🤣🤣Huku hakuna kuzira zira mkuu kupitia twitter kama yule wenu
Ikiwa ana nia matokeo sio sababu.Mjengaji GSM. Na hayo matokeo yenu ya sare sare, sijui kama atajenga
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣 bora umelijua hilo.Waanzage hata kidogo tupate nguvu ya kuongea sio makaratasi tu hayo kwani kuna mwaka na sehemu siikumbuki ni wapi pale 🤔 walipelekwaga hadi wachina wakaanza kupima pima mwisho wake ikawa hola.
Tukuamini wewe nani? Mbona unaaguaagua kama mganga Wa kienyeji?Hamna kitu trust me
Ila naamini GSM hatatuangusha safari hii.🤣🤣 bora umelijua hilo.
Si unajua tena wanasemaga Adui muombee njaa.Tukuamini wewe nani? Mbona unaaguaagua kama mganga Wa kienyeji?
Mtani mbona kama karoho kameuma? 😅😅Hii picha humo ndani majukwaani sio.
Hii picha nahisi ina walakini maana sijaona ipostiwe kwenye official account za vyura.
200 zishatolewa? Kutwa unalala unamuwaza jirani yako ilihali wewe kwako huna uhakika Wa kula kwa sababu unamtegemea mtuUwezo sio tatizo, tatizo linakuja kwenye kutimiza ahadi, 200m ilikuwa kizaazaa
Na hawa ni wezi wakishapokonya hawarudishi ng'oooNasikia ile mechi ya tarehe 08 walifanyaga kumpokonya simu. 🤣🤣
😀😀😀 hawafai hao.Na hawa ni wezi wakishapokonya hawarudishi ng'ooo
Iwage kweli aiseee. Japo kwa Ukubwa wa Timu ya Wanachi tumechelewa sana kufika huko ila angalau.Daaa watu humu washachanganyikiww siku ukianza kujengwa hapo June sijui wwtafanyaje. Mo atazira kupitia twita na viongozi na washabiki wake a.k.a vibwengo watazira kupitia fesibuku, Jeief,yutyubu wasapu n.k
Subiri tu ila niseme mtakuja kupata vidonda vya tumbo nyie na presha juu. 😀 Mana hamtaamini.
Nasema hivi Yanga ni sawa na baiskeli ya kunolea visu kelele nyingi halafu iko hapo hapo.Troisième Ceil habari ndio hii. 😎
Hapo tutakapoanza ujenzi ndio utajua kwamba hiyo baskeli ya kunolea visu huwa inasogeaga au inabakiaga hapo hapo.Nasema hivi Yanga ni sawa na baiskeli ya kunolea visu kelele nyingi halafu iko hapo hapo.
La vie est belle