Kigamboni Sports Complex: Home of Champions

Kigamboni Sports Complex: Home of Champions

Mtakuja kupata vidonda vya tumbo nyie na presha juu. 😀
Kuna thread humu ndani inasema " kuishi na mwanamke kunahitaji uvumilivu wa chuma"
Na mimi nasema. " kuwa shabiki wa Yanga kunahitaji moyo wa chuma" kwako kashasha.

La vie est belle
 
Uongo mtupu hamna kitu hapo[emoji41]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Iwage kweli aiseee. Japo kwa Ukubwa wa Timu ya Wanachi tumechelewa sana kufika huko ila angalau.

Mana kina mwafulani kuwa na Uwanja usio na majukwaa basi kelele tuppu.
Haswaa na pia viongozi walisema ifikapo mwezi Mei tutarajie Yanga kuingia katika mfumo mpya Wa uwekesaji ngoja tuanze kusubiri hilo kwanza
 
Back
Top Bottom